kuwa serious leo ni tar 11😀Kingine: Leo ni tar 10/06/2020, meseji zinaonesha pesa ilitolewa tar 11 yaani kesho. Poleee
Kingine: Leo ni tar 10/06/2020, meseji zinaonesha pesa ilitolewa tar 11 yaani kesho. Poleee
soma vizuri ameambiwa hakuna muamala uliofanyika. Tigo wamemjibu.Ni kweli izo code 252 zipo tofauti kweny miamala yote sio sababu maana anavyodai muamala mmoja ameuona
Hii inamake sense...😢😢😢Jibu kama simu zako zilishikwa na hao matapeli, leo au days before...
Kama walizishika tafuta mtu anaitwa TIGOPESA kwa phonebook yako ukimkuta, liaaaaaa... Kisha endelea na bness, chukulia kuwa umelipa ada ya mafunzo as hutaibiwa tena na hakuna mtu atagusa yo phone again!
Hao wezi mmoja wao atakuwa wanafahamiana kwa sababu uwizi wa hivyo lazima sim ya wakala ishikwe na huyo wakala kwenye sim yake aangalie kwenye contact zake Kuna namba imeseviwa tigopesaWalishika simu yako?
Nliwah kuibiwa kwa style hii ila kwa comment yako sijui nicheke au nimhurumie jamaa aloibiwaJibu kama simu zako zilishikwa na hao matapeli, leo au days before...
Kama walizishika tafuta mtu anaitwa TIGOPESA kwa phonebook yako ukimkuta, liaaaaaa... Kisha endelea na bness, chukulia kuwa umelipa ada ya mafunzo as a hutaibiwa tena na hakuna mtu atagusa yo phone again!
Hiyo simu ilishikwa na hao watu wamesave namba yao humo kwa jina la TIGOPESA, Kama anabisha aangalie phonebook ataona.
Yaani watu wana hesabu kali mkuu. Mjinga kavuta karibu M hivihivi. Watu wana dhambi sana😢Afu mission hii sio ya siku moja hii ilikuwa ni mpango wa muda sana ila jamaa aliefanya hivi ni Scofield aise dahh
Hawajashika simu zaidi ya kutoa kupitia namba ya wakala kawaida kabisaWalishika simu yako?
Ulisema salio lako shs ngap baada ya wakwanza kutoa...au aliona kupitia simu yako zen tafuta namba kwenye simu kama kuna namba imeseviwa TIGO PESA.Hawajashika simu zaidi ya kutoa kupitia namba ya wakala kawaida kabisa
Na ndio ukweliHii inamake sense...😢😢😢
Mbona code no. ni 252 na siyo 255?
Mbona code no. ni 252 na siyo 255?
Kama uliimpa simu akacheki muamala wa mwisho uliofanya anaweza kujua salio lako.Salio lililokuepo mwanzo limeongezeka vizuri tu... angekuwa kasave namba angejuaje salio lililopo kabla yeye hajatoa? Lazima salio lingepishana tu