screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Hataki kukiri kama kuna uzembe alifanya, jamaa inaonesha ni wale watu wanaojiona hawawezi kukosea
Hataki kukiri kama kuna uzembe alifanya, jamaa inaonesha ni wale watu wanaojiona hawawezi kukosea
Hata mi nimegundua ni mtu wa aina hiyo. Waliomshauri aangalie Phone book yake kulitafuta hilo jina ni wengi, lakin kaamua kutojibu.Hataki kukiri kama kuna uzembe alifanya, jamaa inaonesha ni wale watu wanaojiona hawawezi kukosea
Mchezo uliofanyiwa hapo ni huu,
Kuna mtu alishika simu yako, akasave namba zake kwa jina la tigopesa.
Kisha akakutumia msg ya kawaida na ikaja kwa jina la tigopesa ambalo limesaviwa kwenye simu.
Huyo mtu aliangalia Salio lako kwenye msg za tigopesa. Hivo akawa anatuma msg akiongeza hizo amounts.
Umeibiwa kwa staili hiyo bila shaka
Watakuwa walishika simu yake wakasave namba zao kwa jina la TIGOPESA, au kule tigo wanatuma meseji mithili ya zile za tangazo a la ‘AFYA CORONA’ au ‘TATU MZUKA’ ila badala yake wanaandika ‘TIGOPESA’, kama unatumia smartphone utagundua maana utaona inaanza chat mpya na si ya zamani, ila kwa kitochi huwezi juambona namba iliyoleta text zote inaonekana ni TIGOPESA?
Watakuwa walishika simu yake wakasave namba zao kwa jina la TIGOPESA, au kule tigo wanatuma meseji mithili ya zile za tangazo a la ‘AFYA CORONA’ au ‘TATU MZUKA’ ila badala yake wanaandika ‘TIGOPESA’, kama unatumia smartphone utagundua maana utaona inaanza chat mpya na si ya zamani, ila kwa kitochi huwezi jua
Sidhani ka ni maelekezo ya kazi zao... But nadhan kwa kuwa Vito hi vinatunza chaji na pia havina mambo mengi.Mawakala hawatumii ‘smartphones’ kufanya miamala, nadhani ni maelekezo ya kazi yao.
Kuna watu wawili wamekuja kutoa pesa kwangu 'wakala' .. wa kwanza katoa 450,000 na wa pili katoa 500,000 Wote hawa namba yao ni moja 252659 234042 lakini majina ni tofauti. Mmoja jina lilikuwa 'Daniel Michael' na wa pili jina lilikuwa ' Jonh Joseph'.
Wakati wa kutoa waliomba namba ya wakala na meseji kwangu ilikuja kawaida kama miamala mingine... na pia salio liliongezeka kama ilivyotakiwa.
Baada ya muda, kuangalia salio naona pungufu ndipo nikapiga simu tigo na kuambiwa kwamba hakuna miamala hiyo iliyofanyika.. sasa angalieni hizi picha na muweze kutoa majibu.
View attachment 1475195View attachment 1475196View attachment 1475197View attachment 1475199
Mzee tupe mkasa jinsi walivyo chukua 3mhao jamaa wamekufatilia muda mrefu,wakafanikiwa kushika simu yako ya uwakala wakasave hiyo namba kama Tigopesa cha kufanya kwa haraka sana check contact za kwenye hiyo simu yako ya uwakala utakuta hiyo namba imesaviwa kama Tigo pesa ukiona hivyo ujue ushaliwa tayari,
Salio wanapata kwenye hayo mavitabu mnayojaza au anakuja mtu anajifanya katoka Tigo ni mfanyakazi anakuuliza harafu fasta wanajumlisha na mauchafu yao jamaa akikufowadia sms ya muamala wa Tigo pesa inakuja kama Tigopesa kaka pole sana me nishapoteza kama 3.2 ml,
Chakufanya simu yako ya Uwakala piga marufuku hapo ofisini kwako asishike mtu yeyote zaidi ya mhudumu tu, marufuku kutumika kupiga au kupokea sms na ww kazi yako kila mara ni kuclear contact za kwenye hiyo simu hapo umemaliza mchezo
Otherwise Tigo hawatakupa msaada wowote utapoteza muda
Pole sana