Nawe unawachunguza mno,wanavyovaa,wanavyotembea,wanavyokaa!Biashara matangazo?
Halafu mnavaa viatu ambavyo vinawashinda kutembelea, mkitembea utadhani mna majipu kwenye visigino.
Mkitaka kukaa sasa ndio shida, maana vinguo haviruhusu kukaa, hadi muanze kusumbuka na vitenge na kanga, loh!
mauwa mazuri ya pendeza
ukiyatazama yanafurahisha
yaita wanaume twende guest...
weather!
Duh! kwa hiyo huwa mnajiamini sana kutembea nje huku mkiwa mmevaa nguo za ndani?
Wanawake wote wanatakiwa wavae hijabu hii ndiyo madhara ya ki-magharibi.itabidi matawi ya Bokakharam yasogee hadi huku.
Tunarudi tulikotoka....kwanza Waafrika nguo mliletewa so nsijifanye mnajua kuvaa sana
daaah mabata ushungu..
Kwako nguo ya ndani kwangu nguo ya nje,inakukera funga macho usintizame.
This is free world
fanya utakavyo cha maana usivinje tu sheria za nchi husika,kama uvaaji
wao unakutia majaribuni ni BORA kutowakodolea macho tu
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Piga fimbo haoooooooooo pumbavu zao................Habari wakuu,
Inasikitisha kuona mwanadada amevaa kasuruali kama neti, mwili wote unaonekana halafu anakatisha mtaani, anataka nani aone sasa kama sio matangazo ya biashara yasiyolipiwa kodi?
Unakuta mwingine kajeans hakafiki hata kiunoni, makalio nusu yanapunga upepo, mwingine ana michirizi na makovu, hii ni kwa faida ya nani?
Mwingine manyonyesheo yako sabasaba kabisa kila mtu aone, huu ni ujuha wakuu, biashara hii ipigwe marufuku au itozwe kodi sasa.
Mnataka kutuonesha ili iweje sasa?
Wengine hatutaki kuona sasa. Au miili yenu ni mali ya umma?
ID inakuumbua kwenye huu mwezi.
Hayo yooote uliyoyataja
wanawake wa kikuffar ndo wavaavyo wanawake musilimat,muuminat,hawavai
hivyo ni chukizo kubwa kwa Mola wao.
huyu ni ustaazi sio ustadh...