Awae, haika san! Wandu wose wangekuwa kama wewe ama hakika mentor ningekuwa nakaribia sana kuingia chamani...nimeanza kupatamani sasa!
Swadakta, nitafute ujue vyote, na zaidi!!!
( Mr Rocky, jifanye hujaona hapa)
halafu wewe.................Bado tu hujaogea????unathubir nin changamka
halafu wewe.................
Ni kweli kabisa haya uliyoandika manake upendo wa kweli hufunika yote hasa mapungufu yetu kama vitabu vya dini vinavyozungumza juu ya upendo Yaani upendo haujivuni , hautafuti mambo yake na palipo na pendo kuna kuheshimiana, kujaliana bahati mbaya wengi hawaamini kama upendo wa kweli bado unaexist. Jambo la msingi ni kumwendea muumba na kumweleza haja ya moyo wako.Hilo ni tatizo kubwa sana na wanaposoma kwenye magazeti ya udaku mke wa fulani kafumaniwa au mume wa fulani kakamatwa kwenye nyumba ndogo na wakija kwenye mitandao ni malalamiko tuu ya ndoa imekuwa hivi na ndoa imekuwa vile hakuna story hata moja ya kuisifu ndoa lazima wakate tamaa na waone ndoa zote ziko hivyo. Kumbe hakuna kuna maisha ya ndoa ambayo ni raha na yana furaha baina ya wanandoa wawili na familia zao
Hakuna atakayeoa mtu ambaye ni kama malaika hana mapungufu ila mkishaingia kwenye ndoa hayo mapungufu yenu mnayaweka pembeni au mnayabeba kwa pamoja na kusaidiana kuyafunika yasionekane ndio maana ya upendo ila kila siku ukichukulia mwenzako ni mbaya au ana mapungufu haya na haya ni lazima utaishia kutompenda na utawaona hao wa nje ndo wazuri kumbe wale nao wanatafuta sana hiyo hiyo nafasi wakukamate na wakufaidi. Mungu akiwepo kati yenu hakuna litakaloshindikana
muone kwanzaAbeeee.....nimeitwa????
haya bana maana nilisikia ndoa ya mkeka ilikuhusu hapo kabla kidogo :wink2::wink2::wink2:
muone kwanza
Awae, haika san! Wandu wose wangekuwa kama wewe ama hakika mentor ningekuwa nakaribia sana kuingia chamani...nimeanza kupatamani sasa!
Swadakta, nitafute ujue vyote, na zaidi!!!
( Mr Rocky, jifanye hujaona hapa)
kibichwa??? kipi hicho?
siwezi kuwa wa msaada kwake labda nimpeleke hapa
View attachment 132540 View attachment 132539
mi nnakingine kidogo zaidi ila kinaakili hicho....Kwan unavibichwa vingap...kibichwa kinachofanana na cha kwangu...unamleta wapi????
mi nnakingine kidogo zaidi ila kinaakili hicho....
namtafuta nimkabidhi
kidogo kulinganisha na nini ndio ishu...usijichanganye!!Lol mapi...sipend vitu vidogo...aya nendeni uko safar njema
Wanaume tutaendelea kuvutiwa cna na wanawake mbali2 iwe umeoa au la, mwanamke huyo awe ameolewa au la, swala ni kuwa 'how do you handle that atraction from super sexiest women??' So just find yours n control your emotions.Mkuu sio swali la kichokozi hilo
Sasa huenda anaenivutia ana mtu tayari,what can i do??
Bado nakusubiria ujue...Abeeee.....nimeitwa????
Cc The secretaryHuwezi nijuza hapa hapa jukwaani? Mpaka tutafutane? Basi huo mzigo si mchezo