Huu upweke huu

Huu upweke huu

Eiyer simba ni mkali sana akiwa porini na kwenye himaya yake na hata simba ambaye sio wa kundi lao akiingia kwenye himaya yake wanapambana nae hata kumuua
Simba jike ni mkali ila linapokuja swala la kuwa anahitaji kwenza wa kuwa nae ukali wote unawekwa pembeni na anakuwa mpole na kukukubali simba dume
Ukali wote wa kiume sometime inabidi uwe pembeni then unamkubali kiumbe wa jinsia ya kike kukuondolea upweke na usipokuwa down to earth na ukaendelea na ukali wako wa kiGadaffi mkuu upweke utakukaa sana

Mkuu kwa hili umenilainisha aiseee!!!!!!!
 
ahahhahahahahhahahahhahhahaha mweeee ODM heb niwache mimi!
hiv mam anna mkapa yupogu?
Mwalimu unaifahamu EOTF? Basi tulia, usicheke kwa sauti usijeachia ushuzi ukaharibu tabia nchi mchana wa jua kali.
 
lol... sikujua hilo, kumbe na wewe baba paroko utaweza maombi yangu lakini? mana me napenda maombi ya wawili tu halafu iwe usiku

Mie si viparoko uchwara, mi ni mtume na nabii. Utakapokuja kwenye upako hakikisha unakuja without.
 
jana brenda18 alinipa ushauri wa kuogea maji ya magadi, kama na wewe hadi sasa hujafankiwa naamin ushauri unakuhusu Eiyer
 
Last edited by a moderator:
oh kaka vipi tena,... pole sana fanya kitu unachopenda kufanya sanaa inaweza saidia
 
Hata ADAM alikuwa hivyo hivyo Mungu akamuona na kumshushia HAWA. wewe je? tafuta mwenyewe ili upweke uishe.
 
Back
Top Bottom