Huu upweke huu

Huu upweke huu

ahahahhahahahhaha huyu bana ana angle zako ukizipatia he is all urs!
for the time being Ennie ndo kboko yake!
ha ha ha...!!!! washindwe wakuondolee uparoko wako? wakati waumini wapya ndo tunataka tujiunge

eti snowhite ya kweli hayo? au anajikosha tu hapa kwangu kwa vile muumini mpya?
 
Last edited by a moderator:
Ndo hapo ushangae na wewe. Labda kuna mmoja anampenda na kumtaka awe wake but hampati. Angetuambia tu upweke unatokana na nini. Au sio best ?


Inaonekana hivyo ila aseme wazi tuu ni nani kazimikiwa ili baba paroko ahudumiwe bana
Baba paroko anatoa huduma na yeye anahitaji kuburudika vyema bana

Hao uliowataja wanaijia huduka kutoka kwake
Na yeye je nani anamhudumia ...??

Hao hao wahudumiwaji angalia miongoni mwao ambaue anafaa kutoa huduma umwambie wazi nahitaji service yako ya karibu
Kila mbuzi hula urefu wa kamba yake bana
 
Hao hao wahudumiwaji angalia miongoni mwao ambaue anafaa kutoa huduma umwambie wazi nahitaji service yako ya karibu
Kila mbuzi hula urefu wa kamba yake bana

Tayari nishasema .........
We angalia tu mtu anavyojing'ata vidole hapa ......!!!!!!!!!
 
ahahahhahahahhaha huyu bana ana angle zako ukizipatia he is all urs!
for the time being Ennie ndo kboko yake!
Kiboko wa nini wewe?
Nimekuambia hicho ki ajira chako cha ualimu kwenye shule ya chekechea ya parokia nitakafutilia mbali,shauri yako ..!!!!!
 
Inaonekana hivyo ila aseme wazi tuu ni nani kazimikiwa ili baba paroko ahudumiwe bana


Hao hao wahudumiwaji angalia miongoni mwao ambaue anafaa kutoa huduma umwambie wazi nahitaji service yako ya karibu
Kila mbuzi hula urefu wa kamba yake bana

Huyu baba paroko anahitaji maombi ya ziada. Sikuhizi upako umepungua sana
 
Ndo hapo ushangae na wewe. Labda kuna mmoja anampenda na kumtaka awe wake but hampati. Angetuambia tu upweke unatokana na nini. Au sio best ?

Hivi nlishawahi kukuambia kuwa nakupenda. Basi ndo hivyo.
 
Ndo hapo ushangae na wewe. Labda kuna mmoja anampenda na kumtaka awe wake but hampati. Angetuambia tu upweke unatokana na nini. Au sio best ?

Baba paroko anatoa huduma na yeye anahitaji kuburudika vyema bana

Hao uliowataja wanaijia huduka kutoka kwake
Na yeye je nani anamhudumia ...??

Huyu baba paroko anahitaji maombi ya ziada. Sikuhizi upako umepungua sana

Valentina ashaanza kuona nyota nyota na kuhisi kihindi hindi ndo maana inakuwa ngumu sana kwake kusimamia kondoo wake
 
Last edited by a moderator:
miye tena? niko tayari halafu huwa napenda maombi ya muumini mmoja mmoja si huwa unaombea? kama huwa unatoa huduma hiyo ndo vizuri nikija kwenye maombi ndo tutaondoana upweke vizuri mana roho wa Mungu atakuwa katikati yetu

Usimpe shetani utukufu. njoo nikufanyie maombi. Natangulia kwenye inbox ya PM. usichelewe tafazali.
 
Yaani hata wale kondoo wangu wanaokuja hapa parokiani kunichangamsha leo siwaoni sijui wako wapi ...!!!!!!!!

YaaaH it is common?

 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    9.5 KB · Views: 19
Back
Top Bottom