Kavirondo
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 751
- 1,593
Watu wengi wanasahau asilimia kubwa ya walioajiriwa kuna muda watastaafu na itawalazimu kujitegemea/kujiajiri..Ukiacha wanasiasa wachache na makundi mengine machache yenye uhakika wa kiuchumi kwa vizazi vyao,wengi ni pangu pakavu..Ajira ikakata/kuisha ndio watu tunashtuka na kuwekeza kwa kupanic/ kuingia kwenye "quick rich schemes" .Fuata ndoto zako na nafsi yako inavyokutuma .
Usiwasikilizs walimwengu.
Amini unachokitaka na fuata unachoamini .
Ajira zinachosha sometime hasa Kama maslahi Ni duni kazi nyingi muda huna ,watu wale wale hawakupi changamoto.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ni vizuri kuanza mapema shughuli za ujasiriamali (side hustles) zinatujenga baada ya muda..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app