Huu ni mwaka wangu wa mwisho kuajiriwa

bro hao PSSSF huwa wanazingua kutoa helaaaaa!
UWE NA UHAKIKA KABLA YA KUTEMA KAZI
Mkuu tambua FAO la kujitoa hakuna mpaka umri wa kustaafu vinginevyo labda kama umechangia kwa muda walau miaka 15.
 
Anz harakat kam ujaach kaz mkuu, alafu unakuj kuziendeleza

Mark my Word
 
Take a risk bro usiogope kama hujaweza kusave mshahara ukapata mtaji basi ulipoteza muda bure
 
Hongera kwa uwamuzi naotaka kuchukua, kwenye maisha inabidi uthubutu hakuna kuogopa.
Pia kama unaweza kupata hizo m4 ukatafuta na watenda kazi wakaanza kufanya hicho unachotaka kufanya halafu mke akawa anawasimamia na kwenda mara kwa mara mpaka hapo mambo yatakavyoenda vizuri
Ndio uamue kuacha kazi kabisa
Maana hizo m4 sijui ni zitanunua eneo la ufugaji na kilimo au zitajenga mahala pa kuishi wewe na wafanyakaz wako au zitanunua mbegu za kuruwe au kuku au mbegu za kilimo cha nyanya?
Zitanunua chakula cha mifugo unaotaka kufuga?
Au zitanunua mbolea kwaajili ya kilimo?
Au zitatumika kwenye matumizi mengine kama chakula n.k?
NAKUSHAURI ANZA KABLA UJAACHA KAZI ILI CHANGAMOTO ZINAZOTOKEA HUSUSANI ZA KIFEDHA UWEZE KUZITATUA KWA HARAKA MAANA UTAKUA UNAINGIZA KIPATO KUPITIA AJIRA YAKO.
 
Hongera kwa uwamuzi naotaka kuchukua, kwenye maisha inabidi uthubutu hakuna kuogopa.
Pia kama unaweza kupata hizo m4 ukatafuta na watenda kazi wakaanza kufanya hicho unachotaka kufanya halafu mke akawa anawasimamia na kwenda mara kwa mara mpaka hapo mambo yatakavyoenda vizuri
Ndio uamue kuacha kazi kabisa
Maana hizo m4 sijui ni zitanunua eneo la ufugaji na kilimo au zitajenga mahala pa kuishi wewe na wafanyakaz wako au zitanunua mbegu za kuruwe au kuku au mbegu za kilimo cha nyanya?
Zitanunua chakula cha mifugo unaotaka kufuga?
Au zitanunua mbolea kwaajili ya kilimo?
Au zitatumika kwenye matumizi mengine kama chakula n.k?
NAKUSHAURI ANZA KABLA UJAACHA KAZI ILI CHANGAMOTO ZINAZOTOKEA HUSUSANI ZA KIFEDHA UWEZE KUZITATUA KWA HARAKA MAANA UTAKUA UNAINGIZA KIPATO KUPITIA AJIRA YAKO.
Wanaofanya hivyo wakishastaafu kila kitu kinaondoka sababu pesa ya ajira na mikopo ya mshahara ndio inakuwa inasustain biashara lakini akianza mapema kujifunza kukopa ktk microfinance na kurudisha mdogo mdogo anakua.
Wa namna hiyo akistaafu ndani ya miaka 5 anakufa na stress wengi wao sababu anaona reality ambayo alitakiwa apambane nayo akiwa na nguvu but now hana nguvi tena.

Utaniambia aweke asset za nyumba zitamsaidia
Nikuulize swali labda wazazi wako ama wazee waliostaafu hawana nyumba za kuishi? Its an asset according to them lakini kwa nini kutwa wanawaomba pesa watoto wao wanaofanya kazi ilhali wanapata pensheni?

Jibu rahisi ni cashflow

Ukiweza kujifunza kutengeneza cash flow na kumanage kuishi bila kutegemea mshahara bali wewe ndio unawalipa watu mshahara kutokana na unachozalisha utapata faida hizi:
1, no stress wakati unazeeka kama waajiliwa watakaosubiri pensheni ndio waanze biashara ambao 99% hela zao hupotea katika biashara
2.ukomavu
3.maisha marefu
 
Hongera kwa uwamuzi naotaka kuchukua, kwenye maisha inabidi uthubutu hakuna kuogopa.
Pia kama unaweza kupata hizo m4 ukatafuta na watenda kazi wakaanza kufanya hicho unachotaka kufanya halafu mke akawa anawasimamia na kwenda mara kwa mara mpaka hapo mambo yatakavyoenda vizuri
Ndio uamue kuacha kazi kabisa
Maana hizo m4 sijui ni zitanunua eneo la ufugaji na kilimo au zitajenga mahala pa kuishi wewe na wafanyakaz wako au zitanunua mbegu za kuruwe au kuku au mbegu za kilimo cha nyanya?
Zitanunua chakula cha mifugo unaotaka kufuga?
Au zitanunua mbolea kwaajili ya kilimo?
Au zitatumika kwenye matumizi mengine kama chakula n.k?
NAKUSHAURI ANZA KABLA UJAACHA KAZI ILI CHANGAMOTO ZINAZOTOKEA HUSUSANI ZA KIFEDHA UWEZE KUZITATUA KWA HARAKA MAANA UTAKUA UNAINGIZA KIPATO KUPITIA AJIRA YAKO.
Wanaofanya hivyo wakishastaafu kila kitu kinaondoka sababu pesa ya ajira na mikopo ya mshahara ndio inakuwa inasustain biashara lakini akianza mapema kujifunza kukopa ktk microfinance na kurudisha mdogo mdogo anakua.
Wa namna hiyo akistaafu ndani ya miaka 5 anakufa na stress wengi wao sababu anaona reality ambayo alitakiwa apambane nayo akiwa na nguvu but now hana nguvi tena.

Utaniambia aweke asset za nyumba zitamsaidia
Nikuulize swali labda wazazi wako ama wazee waliostaafu hawana nyumba za kuishi? Its an asset according to them lakini kwa nini kutwa wanawaomba pesa watoto wao wanaofanya kazi ilhali wanapata pensheni?

Jibu rahisi ni cashflow

Ukiweza kujifunza kutengeneza cash flow na kumanage kuishi bila kutegemea mshahara bali wewe ndio unawalipa watu mshahara kutokana na unachozalisha utapata faida hizi:
1, no stress wakati unazeeka kama waajiliwa watakaosubiri pensheni ndio waanze biashara ambao 99% hela zao hupotea katika biashara
2.ukomavu
3.maisha marefu
 
Plan yako ya ufugaji na kilimo cha nyanya ni nzuri endelea nayo itakupa pesa nyingi sana kinachotakiwa ukakae huko huko shambani na si kulima kwa tigopesa.
 
Habari wakuu,

Baada ya kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda sasa bila ya kuyafikia maisha ya ndoto zangu, pia baada ya kuishi maisha nisiyopendezwa nayo (kukosa uhuru wa kipato) nimekaa na kutafakari kwa kina juu ya hatma ya maisha yangu na kufikia maamuzi yafuatayo.

Mosi, kuna 4.3m PPF, hiki ni kiasi ambacho nilishindwa kukitoa enzi za mwendazake baada ya kupoteza ajira. Sasa niko kwenye kampuni nyingine ambapo michango yangu mpaka sasa ni 5m,so nataka nizihamishie huku na mpaka March mwakani unapoisha mkataba wangu nitakuwa na si chini ya 10m.

Pili,kabla ya December mwaka huu nitaenda Morogoro kufanya ziara maana kuna mshikaji wangu yupo kule naye alikuwa mwajiriwa somewhere akaamua kuacha kazi na kujikita katika kilimo na ufugaji (yuko njema sana), huyu jamaa yangu atakuwa msaada sana kwangu katika kutimiza matarajio yangu.

Tatu,nikishachukua hicho kiasi namfungulia wife mradi wa 2m nyumbani then mimi nasepa zangu porini ambapo nitafanya yafuatayo

. Kufuga nguruwe na kuku
. Kulima nyanya za kumwagilia

Hayo hapo juu nitayafanya kwa 4m na kiasi kilichobaki ambayo itakuwa ni 4m nitaiweka akiba then nitakitumia kununulia mazao kama mahindi nk kipindi cha mavuno.

Karibuni wakuu kwa ushauri zaidi.
Fuga Cobra...wanalipa sana
 
#Save the date Miaka kumi ijayo...Mwenyezi MUNGU akitujalia uhai Tutarud kukomenti......

Ukianza kutangaza tangaza kua una acha Kaz jua haupo sahihi.....ngoja nikueleze kitu Huwa tuna acha Kazi then tunakuja kuwasimulia watu...after make it happen...
 
#Save the date Miaka kumi ijayo...Mwenyezi MUNGU akitujalia uhai Tutarud kukomenti......

Ukianza kutangaza tangaza kua una acha Kaz jua haupo sahihi.....ngoja nikueleze kitu Huwa tuna acha Kazi then tunakuja kuwasimulia watu...after make it happen...
Kwaiyo work in silence au sio??
 
Hadi umeleta huku maana yake hujiamini na huna uwezo huo na unataka kuona watu watasema nini, bad enough hujafanya research ya kina unachotaka kukifanya, maelezo yako yanasema huyo rafik yako ndio atakua msaada ktk kukuongoza hilo nalo tatizo...
Ok ni hivi hizo ni akili za vijiwe vya watu walioajiriwa hasa wenye umri mdogo kazini, hukaa kupeana maneno kama hayo kuwa ukienda sehem fulani na 5m au 10m unatoka kimaisha... Nikuambie hivi hio 10m itakutokea puani na kazi utaipoteza, maisha yangekua rahis hvyo kilamtu angekua kafanikiwa, take time jifunze tena tena na tena kilimo na ufugaji si lele mama sio story za ktk makaratasi. All in all nina kupa changamoto tu nikutakie kila lakheri
 
Habari wakuu,

Baada ya kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda sasa bila ya kuyafikia maisha ya ndoto zangu, pia baada ya kuishi maisha nisiyopendezwa nayo (kukosa uhuru wa kipato) nimekaa na kutafakari kwa kina juu ya hatma ya maisha yangu na kufikia maamuzi yafuatayo.

Mosi, kuna 4.3m PPF, hiki ni kiasi ambacho nilishindwa kukitoa enzi za mwendazake baada ya kupoteza ajira. Sasa niko kwenye kampuni nyingine ambapo michango yangu mpaka sasa ni 5m,so nataka nizihamishie huku na mpaka March mwakani unapoisha mkataba wangu nitakuwa na si chini ya 10m.

Pili,kabla ya December mwaka huu nitaenda Morogoro kufanya ziara maana kuna mshikaji wangu yupo kule naye alikuwa mwajiriwa somewhere akaamua kuacha kazi na kujikita katika kilimo na ufugaji (yuko njema sana), huyu jamaa yangu atakuwa msaada sana kwangu katika kutimiza matarajio yangu.

Tatu,nikishachukua hicho kiasi namfungulia wife mradi wa 2m nyumbani then mimi nasepa zangu porini ambapo nitafanya yafuatayo

. Kufuga nguruwe na kuku
. Kulima nyanya za kumwagilia

Hayo hapo juu nitayafanya kwa 4m na kiasi kilichobaki ambayo itakuwa ni 4m nitaiweka akiba then nitakitumia kununulia mazao kama mahindi nk kipindi cha mavuno.

Karibuni wakuu kwa ushauri zaidi.
Safi sana, ila huku mtaani, yaani kujiajiri siyo mchezo mchezo mwamba, karibu na ufanye kazi ikiwezekana mara 3 zaidi ya ulivyoajiriwa, umakini na kutumia akili zaidi kuliko nguvu kunahitajika, akiba 60% ya income yako, ubahili na anasa utupe kule mkuu maana kutokuwa na ajira kwaweza sababisha songombingo kwa mama watoto na familia yako ulipotoka..
All the best..
 
Back
Top Bottom