selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 450
- 613
Kama unauzoefu wa kutosha kwenye sekta ya kilimo&ufugaji basi kila la kheri...
Ila kama huna uzoefu basi usithubutu kuacha kazi...nakushauri kazi usiache na ndoto zako usizipuuze Bali tafuta vijana waandae vzur then waingize Chaka wawe Wana run hizo shughuli hadi pale itakapo enda vizuri ndio uache kazi Sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app