The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,300
Great Thinkers.
Hali ya upatikanaji wa umeme nchini inatisha na bahati mbaya Serikali na Tanesco wanatuficha ukweli uliopo.
Dotto Hakuna lolote la maana alilolifanya toka aingie Hapo. Kwa kweli shuguli za watu zinaathirika Sana.
Tuna Zaidí miezi sita ni kata kata tu na sababu zisizoluwa na mashiko..
Nawashangaa Sana wanaomkingia kifua Mama she is the worst president of all time watu hawaelewi Kesho Yao
Wawekezaji wamechoka. Wameshasema enough is enough
Hali ya upatikanaji wa umeme nchini inatisha na bahati mbaya Serikali na Tanesco wanatuficha ukweli uliopo.
Dotto Hakuna lolote la maana alilolifanya toka aingie Hapo. Kwa kweli shuguli za watu zinaathirika Sana.
Tuna Zaidí miezi sita ni kata kata tu na sababu zisizoluwa na mashiko..
Nawashangaa Sana wanaomkingia kifua Mama she is the worst president of all time watu hawaelewi Kesho Yao
Wawekezaji wamechoka. Wameshasema enough is enough