Huu hapa uongo wa Manara kuhusu pesa za Bakhresa

View attachment 1888042

MANARA anadai eti bilioni 223 za mkataba wa Azam na TFF zinaweza kupanga elfu kumi kumi zikafika brazil na kurudi
umbali wa kutoka dar es salaam hadi brazil ni kama kilometa 9000 na kurudi ni karibu kilometa 18000

Noti moja ya shilinigi elfu kumi ina urefu wa sentimita 14

unahitaji noti za elfu kumi kumi 128,571,428 ambayo ni sawa na shilingi 1,285,714,285,714 (trilioni moja na ushei)

View attachment 1888044View attachment 1888049View attachment 1888045
Hivi wewe unafikiri Manara ana akili timamu, yule hata shule hajasoma....kakariri tu juhuzuu na Qur'an kichwani. Hata 1 + 1 hajuwi jibu lake.
 
Manara aombe Mungu hizi drama zake zisiwe na matatizo na kufanya Simba iyumbe. Hapo ndio ataiona Tanzania chungu
Ifanye vizuri au ifanye vibaya manara ni mjinga hana jipya,Manara ni tapeli tu..Simba ni taasisi uyo zungu ni sisimizi tu.
 
View attachment 1888042

MANARA anadai eti bilioni 223 za mkataba wa Azam na TFF zinaweza kupanga elfu kumi kumi zikafika brazil na kurudi
umbali wa kutoka dar es salaam hadi brazil ni kama kilometa 9000 na kurudi ni karibu kilometa 18000

Noti moja ya shilinigi elfu kumi ina urefu wa sentimita 14

unahitaji noti za elfu kumi kumi 128,571,428 ambayo ni sawa na shilingi 1,285,714,285,714 (trilioni moja na ushei)

View attachment 1888044View attachment 1888049View attachment 1888045
Sawa tumekuelewa chawa wa Mudi ... Ehneeee za bukubuku zinafika wapi .... Lete makalukulesheni ....
 
Kwenye masuala ya mpira jokes hua nyingi mno...asa wew utaonekana ndio hamna kitu maana kauli izo hua ni jokes ..siku manara akisema ile kauli ya kuny** hapa mpaka morogoro nawe utapiga hesabu
Atapiga mzingo wa kimba , kipenyo na umbali mpaka morogoro yatakuwa ni makimba mangapi ...🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yani kabisa tunapoteza muda wetu kujibizana na kauli za Manara?

Yani umechukua kabisa rula ukaipima noti ya elfu kumi...., ukatafuta kabisa na umbali tokea Bongo mpaka Brazil??
Mzee hawa vijana hawathamini kabisa mida yao..
 
Boss Mo hataki kukosolewa, ukimkosoa ataachana na wewe kama alivyowafanyia hakina Dr. H. Manara, Chama!
 
Back
Top Bottom