rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Noted.Manara aombe Mungu hizi drama zake zisiwe na matatizo na kufanya Simba iyumbe. Hapo ndio ataiona Tanzania chungu
Noted.Manara aombe Mungu hizi drama zake zisiwe na matatizo na kufanya Simba iyumbe. Hapo ndio ataiona Tanzania chungu
Hivi wewe unafikiri Manara ana akili timamu, yule hata shule hajasoma....kakariri tu juhuzuu na Qur'an kichwani. Hata 1 + 1 hajuwi jibu lake.View attachment 1888042
MANARA anadai eti bilioni 223 za mkataba wa Azam na TFF zinaweza kupanga elfu kumi kumi zikafika brazil na kurudi
umbali wa kutoka dar es salaam hadi brazil ni kama kilometa 9000 na kurudi ni karibu kilometa 18000
Noti moja ya shilinigi elfu kumi ina urefu wa sentimita 14
unahitaji noti za elfu kumi kumi 128,571,428 ambayo ni sawa na shilingi 1,285,714,285,714 (trilioni moja na ushei)
View attachment 1888044View attachment 1888049View attachment 1888045
Ifanye vizuri au ifanye vibaya manara ni mjinga hana jipya,Manara ni tapeli tu..Simba ni taasisi uyo zungu ni sisimizi tu.Manara aombe Mungu hizi drama zake zisiwe na matatizo na kufanya Simba iyumbe. Hapo ndio ataiona Tanzania chungu
Huyu ana tatizo kuliko hata ManaraYani kabisa tunapoteza muda wetu kujibizana na kauli za Manara?
Yani umechukua kabisa rula ukaipima noti ya elfu kumi...., ukatafuta kabisa na umbali tokea Bongo mpaka Brazil??
Kwa hapa mjinga ni ww unasemaje kwahilo mi kwa mtoa uz nimejua waitaj not ngp uzipang mpaka huko blazil au we waonaje?Huyu ana tatizo kuliko hata Manara
Kwa uandishi huu ntashangaa kama kiongozi Deo Corleone atapoteza muda wake kukujibuKwa hapa mjinga ni ww unasemaje kwahilo mi kwa mtoa uz nimejua waitaj not ngp uzipang mpaka huko blazil au we waonaje?
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Mbona huwezi kuandika vizuri?Kwa hapa mjinga ni ww unasemaje kwahilo mi kwa mtoa uz nimejua waitaj not ngp uzipang mpaka huko blazil au we waonaje?
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Sawa tumekuelewa chawa wa Mudi ... Ehneeee za bukubuku zinafika wapi .... Lete makalukulesheni ....View attachment 1888042
MANARA anadai eti bilioni 223 za mkataba wa Azam na TFF zinaweza kupanga elfu kumi kumi zikafika brazil na kurudi
umbali wa kutoka dar es salaam hadi brazil ni kama kilometa 9000 na kurudi ni karibu kilometa 18000
Noti moja ya shilinigi elfu kumi ina urefu wa sentimita 14
unahitaji noti za elfu kumi kumi 128,571,428 ambayo ni sawa na shilingi 1,285,714,285,714 (trilioni moja na ushei)
View attachment 1888044View attachment 1888049View attachment 1888045
Atapiga mzingo wa kimba , kipenyo na umbali mpaka morogoro yatakuwa ni makimba mangapi ...🤣🤣🤣🤣🤣Kwenye masuala ya mpira jokes hua nyingi mno...asa wew utaonekana ndio hamna kitu maana kauli izo hua ni jokes ..siku manara akisema ile kauli ya kuny** hapa mpaka morogoro nawe utapiga hesabu
Changamoto za ajira ndugu yanguYani kabisa tunapoteza muda wetu kujibizana na kauli za Manara?
Yani umechukua kabisa rula ukaipima noti ya elfu kumi...., ukatafuta kabisa na umbali tokea Bongo mpaka Brazil??
Well said.....manara ajue hawa wahindi inapofika kwenye masilahi wanaongea lugha moja aisje akafananisha ngozi yake na kina mo na baresa
Mbona huwezi kuandika vizuri? Shule za kata wamemaliza form 6 hao wako kitaa.
Mzee hawa vijana hawathamini kabisa mida yao..Yani kabisa tunapoteza muda wetu kujibizana na kauli za Manara?
Yani umechukua kabisa rula ukaipima noti ya elfu kumi...., ukatafuta kabisa na umbali tokea Bongo mpaka Brazil??