Aisee....hizi ni habari mubashara...hatari sana.Biashara ni Biashara tu kiongozi,Ukweli Wauza Nguo % Kubwa yao ni wauza Poda,Hiyo ni Gear tu ya kusafiri,We unasafiri bila na bizness si utastukiwa? Ndio maana wanazuga na maduka ya nguo,Wapi Zizzou? Mbona Amefirisika kama Biashara ya nguo inamlipa?