Hussein Pamba Kali anauza nguo tu?

Hussein Pamba Kali anauza nguo tu?

Biashara ni Biashara tu kiongozi,Ukweli Wauza Nguo % Kubwa yao ni wauza Poda,Hiyo ni Gear tu ya kusafiri,We unasafiri bila na bizness si utastukiwa? Ndio maana wanazuga na maduka ya nguo,Wapi Zizzou? Mbona Amefirisika kama Biashara ya nguo inamlipa?
Aisee....hizi ni habari mubashara...hatari sana.
 
maduka mengi ya nguo pale kinondoni studio kona ya kwenda mwananyamala wanauza zaidi ya nguo,maidi azan wengi wapo pale ila km ni mjinga mjinga huwezi kugundua lolote pale.
Mitaa yetu ile, siku hizi walivyoingia hawa wauza nguo basi tumefanywa wagenii,kiukweli mule ndo mizigo inasambazwa kimya kimya. Matokeo unawaona Kina chid mitaani nyaka nyaka huelewi kilichowapata.
 
Wamiliki wengi wa maduka ya nguo ya kike na kiume wengi wao ni watu wa mitkasi....tu
Ndomana mwisho wa siku utaskia flani mwenye duka "a" kakamatwa china kwa kosa la kusafirisha u buy

Ovaaa

picha la kikorea, baadae kila mttu anajikuta ni mkosaji
 
Mitaa yetu ile, siku hizi walivyoingia hawa wauza nguo basi tumefanywa wagenii,kiukweli mule ndo mizigo inasambazwa kimya kimya. Matokeo unawaona Kina chid mitaani nyaka nyaka huelewi kilichowapata.
Dah! nimekumbuka JOSHUA FASION.. jamaa marehemu alimuachia mkewe duka kumbe walikuwa wanauza unga maskini mke sijui uoga au mbinu hafufu nikaja kusikia kakamatwa china sasa anatumikia kifungo maskini mwanamke yule mzuri katoka familia ya kilokole kaja kuolewa na muuza unga tamaa mbaya.
 
Habari wadau,

Kuna jamaa anaitwa Hussein Pamba Kali ana maduka ya kuuza nguo sehemu mbali mbali, huyu jamaa muda mwingi yeye anatembelea maduka yake na Range Rover Vogue ya kisiasa.

Cha kujiuliza, ni nguo tu ndio zinampa utajiri au mambo yetu ya kuuza Dona? Kuna jamaa naye alikuja na style hizi hizi za HPK ndugu Tipo Zizzou Fashion, ila naye amedondokea pua.
Ebwanae kumbe nguo zinalipa eh,ndomana naduka yanguo yapo mengi.
 
Dah! nimekumbuka JOSHUA FASION.. jamaa marehemu alimuachia mkewe duka kumbe walikuwa wanauza unga maskini mke sijui uoga au mbinu hafufu nikaja kusikia kakamatwa china sasa anatumikia kifungo maskini mwanamke yule mzuri katoka familia ya kilokole kaja kuolewa na muuza unga tamaa mbaya.
watu walikua wanapiga kazi kimya kimya na vi butiki vilikua vya kuhesabu,joshua fashion mwenyewe kaingia juzi,kulikua na kina frida fashion miaka hiyo maimatha hajazaliwa au yuko kwao huko matombo.hiyo ndo ilikua kino.siku hizi mafala hawa wakiuza bwimbi dola 1000 zinawatia wehu picha kibao insta mara video caption "i gat maney",wanasahau kwamba hawafanyi biashara halali.
 
watu walikua wanapiga kazi kimya kimya na vi butiki vilikua vya kuhesabu,joshua fashion mwenyewe kaingia juzi,kulikua na kina frida fashion miaka hiyo maimatha hajazaliwa au yuko kwao huko matombo.hiyo ndo ilikua kino.siku hizi mafala hawa wakiuza bwimbi dola 1000 zinawatia wehu picha kibao insta mara video caption "i gat maney",wanasahau kwamba hawafanyi biashara halali.
Dah! lakini wengi wameishia china mkuu hata kama walijificha ila walishikwa hukohuko.
 
Washawishi kwanza Wanadaslam(wateja) watembee uchi mwaka mzima ndo tutajua kama jeuri yake ni hayo maduka. Vinginevyo mkuu unatuchosha vichwa tu!
Sana sana cha kukushaauri ni kuachana na mambo ya mtu jali hamsini zako.
Hahaaa lisemwalo lipo na kama halipo laja upo mdau?
 
Jishi la polisi linafanya kazi kwa hisia????kweli??kama maslahi yako yameguswa atleast have some respect kwa jesh letu
Hata polisi wanafanya kazi kutegemea taarifa kutoka kwa raia. Na hzo taarifa zinaweza kuwa hisia tu.
 
Vipi kuhusu chidi mapenzi naye ni nguo tu? Maoni yamesikilizwa
1486989069725.jpg
 
Back
Top Bottom