Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Habari wadau,
Kuna jamaa anaitwa Hussein Pamba Kali ana maduka ya kuuza nguo sehemu mbali mbali, huyu jamaa muda mwingi yeye anatembelea maduka yake na Range Rover Vogue ya kisiasa.
Cha kujiuliza, ni nguo tu ndio zinampa utajiri au mambo yetu ya kuuza Dona? Kuna jamaa naye alikuja na style hizi hizi za HPK ndugu Tipo Zizzou Fashion, ila naye amedondokea pua.
maduka mengi ya nguo pale kinondoni studio kona ya kwenda mwananyamala wanauza zaidi ya nguo,maidi azan wengi wapo pale ila km ni mjinga mjinga huwezi kugundua lolote pale.
