tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,422
Robby Morro ni mdada anaejitambu hawezi beba sembe yule! Yupo vizuri upstair na isitoshe ukiachana na ulimbwende aliojaaliwa nao, kipindi anaanza biashara alikuwa muajiriwa katika taasisi moja ya fedha hapo mjini na ndiko alipata mtaji wa biashara zake!
Ndiyo maana nasisitiza hapa, kuna watu wametoil kitambo wamejipanga wakapangika hivyo acheni kutumbua mimacho yenu ya husda pindi waamuapo kutumia pesa zao hadharani!
Umesoma vzr thread yangu huyo robby marro nimemtaja wapi.?? Kwanza ndio nani ndio namsikia leo mimi nimemtaja ROBBY ONE FASHION jina halisi ni robert i think huyu ni kijana mdgo wa KIUME ana maduka kadhaa dar es salaam je we ni mkazi wa dar km humjui basi huishi dar...next tym usikurupuke