elimikamtanzania
Senior Member
- Feb 7, 2017
- 141
- 46
Mtanzania akishindwa yeye ata hakikisha mwengine anashindwa piaWatu mna roho mbaya sana wewe unashinda unachati mwenzako anaangaika badae mnasema anauza unga daa
Mtanzania akishindwa yeye ata hakikisha mwengine anashindwa piaWatu mna roho mbaya sana wewe unashinda unachati mwenzako anaangaika badae mnasema anauza unga daa
Kweli aisee umeongea kitu hapoNgwair na Chid Benz Walikuwa Wasanii Chini ya Zizzou.
Huyo hana bif na mak Ana bif na kigw.halafu sio wa chama cha upande wa piliDr. Mwaka tu ndio kashindwa kuzushiwa haya madudu.
Lakini Husen Pamba Kali katajwa mkuuHalafu majibu yako ni as if tayari ushatoa hukumu na sio kama unauliza kulingana na kichwa cha habari.
KUTOKA MAKITABAHabari wadau,
Kuna jamaa anaitwa Hussein Pamba Kali ana maduka ya kuuza nguo sehemu mbali mbali, huyu jamaa muda mwingi yeye anatembelea maduka yake na Range Rover Vogue ya kisiasa.
Cha kujiuliza, ni nguo tu ndio zinampa utajiri au mambo yetu ya kuuza Dona? Kuna jamaa naye alikuja na style hizi hizi za HPK ndugu Tipo Zizzou Fashion, ila naye amedondokea pua.
Chidi Mapenzi ametajwa leo na Makonda, hongera mkuu kwa kuwasilisha.Chiddi mapenzi...robby one fashion nao vipiiii
Usiwe mchoyo wa fadhila. Kama pesa zipo tele benki, wapatie mbinu za kuchemsha bongo ili watoke.Mtu akiendesha gari nzuri anauza unga.hela zipo tele benki chemsheni bongo tu,majungu sio mtaji
Unao mradi,una dhamana?kama vipo sema nikulengeshe benki ukapate mkopo wa biashara yakoUsiwe mchoyo wa fadhila. Kama pesa zipo tele benki, wapatie mbinu za kuchemsha bongo ili watoke.
Unao mradi,una dhamana?kama vipo sema nikulengeshe benki ukapate mkopo wa biashara yakoUsiwe mchoyo wa fadhila. Kama pesa zipo tele benki, wapatie mbinu za kuchemsha bongo ili watoke.