mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,912
- 132,230
Wote wanaanzaga hivyo hivyohussein mkangala mtoto wa mjini kazaliwa magomeni mikumi mtaani kwetu anajulikana kuwa ni muuza unga ila hakuna mwenye ushahidi alianza na kaduka kinondoni manyanya,sasa ana maduka kariakoo,kinondoni,sinza na tegeta.namfahamu vizuri sana
Beka ranger naye alikuwa fundi maredio nakumbuka. ...Ila badaye ndy hivyo
Ovaaaaa