Nimekusikia sasa hivi katika matokeo ya wiki ITV ukiwa Mwanza unaongea na wakulima kuwa kuna watu Kule Kagera walisema Baraza la Mawaziri hatujausoma mkataba. Ukasema ni waongo tuliusoma, tukauelewa vizuri.
Kama mliusoma mkaupitisha, basi akili zenu ni MATOPE.
Hatuna nchi nyingine ya kwenda Watanganyika, wewe unaweza kurudi Somalia!
Kama mliusoma mkaupitisha, basi akili zenu ni MATOPE.
Hatuna nchi nyingine ya kwenda Watanganyika, wewe unaweza kurudi Somalia!