Kaka wa Michael Jackson ashtakiwa kwa Ubakaji na Unyanyasaji wa Kimwili

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1703917273568.png

Mwanamuziki Jermaine Jackson ambaye ni ndugu wa Nyota wa Muziki wa Pop, Marehemu Michael Jackson amefunguliwa mashtaka ya Unyanyasaji na Ukatili wa Kingono dhidi ya Rita Butler Barrett aliyedai alibakwa na kutakiwa kukaa kimya ili kulinda heshima ya Mwanamuziki huyo.

Nyaraka za Mashtaka zinadai, Jermaine aliingia kwa nguvu nyumbani kwa Mwanamke huyo na kumshambulia kisha kumsababishia hasara ya kiuchumi, majeraha makali ya kihisia, kimwili na kiakili kumwachia mfadhaiko wa kudumu wa kihisia.

Jeff Anderson, wakili wa Barrett, amesema mteja wake aliamua kuwasilisha kesi hiyo baada ya kufahamu kuhusu kuwa Sheria ya Unyanyasaji wa Kijinsia ya California inaruhusu kufufuliwa kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia

Kesi hii ni mwendelezo wa Kesi nyingine zinazozidi kuwakumbua Watu Maarufu ambapo hadi sasa baadhi ya Mastaa waliokumbana nazo ni Diddy, Vin Diesel, Cuba Gooding Jr, Snoop Dogg na R. Kelly ambaye tayari anatumikia kifungo Gerezani.

============

Jermaine Jackson, one of Michael Jackson’s older brothers and a founding member of the Jackson 5, was accused of sexual assault in a civil suit filed Wednesday in California.

In the suit, filed in Los Angeles Superior Court, Rita Barrett accuses Mr. Jackson, 69, of sexual abuse, sexual battery, sexual assault, harassment and rape relating to an incident that she says happened at her Los Angeles home in 1988. In the court papers, Ms. Barrett says that Mr. Jackson forcefully entered her home and assaulted her, inflicting “severe emotional, physical and psychological injury, including humiliation, shame, and guilt, economic loss, economic capacity and permanent emotional distress.”

The suit lists Mr. Jackson, Jermaine L. Jackson Music Productions and Work Records, a business Mr. Jackson founded, as defendants. Mr. Jackson could not be reached for comment.

Ms. Barrett’s court filing says she came into contact with Mr. Jackson through her role as a musician’s contractor and as a member of a union that represents musicians. The complaint says she also knew Mr. Jackson through Berry Gordy, the founder of Motown Records, who had a personal and business relationship with Mr. Barrett’s husband. Mr. Gordy could not be reached for comment.

In her suit, Ms. Barrett says that she told Mr. Gordy what happened the following day, but he “withheld and concealed the acts, further perpetuating the coverup and allowing Mr. Gordy, Defendant Jackson and others in the business relationship to continue to reap profits derived from Mr. Jackson’s work and reputation for years to come.”

Ms. Barrett is requesting a jury trial.

Michael Pellegrino, president of Artists Management Agency, which has represented Mr. Jackson since 2014, said the agency would be parting ways with the musician because of the suit.

“We have a zero-tolerance policy concerning these matters,” Mr. Pellegrino wrote in an email to The Times on Friday. “We wish him well but we must feel comfortable about who we represent and unfortunately at this moment we must take in consideration our other clients who do not feel comfortable with the current allegations.”

Jeff Anderson, a lawyer for Ms. Barrett, said that his client decided to file the suit after learning that California’s Sexual Abuse and Cover-Up Accountability Act allows certain sexual abuse claims to be revived that would otherwise be barred by the statute of limitations.

“The first thing that she and we want by having brought this case is for it to be known that Jermaine Jackson committed a very serious crime,” Mr. Anderson added.

NEW YORK TIMES
 
Kwahyo ni watu weusi tu au sio.

Aya twende tuendelee na hii movie.Baadae watamuunganisha na mweupe m1 ili tuwaone wanafanya fair.

Kwa upande wangu nasimama na hawa wanaopewa hizi kesi naamini kuna walakini.
 
Wanasheria mtusaidie hizi kesi za hivi zinapataje ushahidi mpaka mtu anafungwa wanaepushaje chuki binafsi na ukweli ? Mwingine inaweza kuwa kisasi cha kuachwa au maadui zako kwenye Tasnia wanaweza kukuchezea mchezo mradi tu ufilisike.
Maana issue kama ya R-Kelly nilijaribu kusoma ila sikuelewa !

Je! kuna mikanda ya video labda ilitegwa kipindi hicho yaan kwa mhusika alidhamiria kwamba kuna siku atamshitaki mwamba maana 1988 mpaka leo asee ni miaka 34 sio
mchezo.
Nahitaji kuelewa mahakama zinathibitishaje mpaka hukumu inakua ya haki ?
 
View attachment 2857225
Mwanamuziki Jermaine Jackson ambaye ni ndugu wa Nyota wa Muziki wa Pop, Marehemu Michael Jackson amefunguliwa mashtaka ya Unyanyasaji na Ukatili wa Kingono dhidi ya Rita Butler Barrett aliyedai alibakwa na kutakiwa kukaa kimya ili kulinda heshima ya Mwanamuziki huyo.

Nyaraka za Mashtaka zinadai, Jermaine aliingia kwa nguvu nyumbani kwa Mwanamke huyo na kumshambulia kisha kumsababishia hasara ya kiuchumi, majeraha makali ya kihisia, kimwili na kiakili kumwachia mfadhaiko wa kudumu wa kihisia.

Jeff Anderson, wakili wa Barrett, amesema mteja wake aliamua kuwasilisha kesi hiyo baada ya kufahamu kuhusu kuwa Sheria ya Unyanyasaji wa Kijinsia ya California inaruhusu kufufuliwa kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia

Kesi hii ni mwendelezo wa Kesi nyingine zinazozidi kuwakumbua Watu Maarufu ambapo hadi sasa baadhi ya Mastaa waliokumbana nazo ni Diddy, Vin Diesel, Cuba Gooding Jr, Snoop Dogg na R. Kelly ambaye tayari anatumikia kifungo Gerezani.

============

Jermaine Jackson, one of Michael Jackson’s older brothers and a founding member of the Jackson 5, was accused of sexual assault in a civil suit filed Wednesday in California.

In the suit, filed in Los Angeles Superior Court, Rita Barrett accuses Mr. Jackson, 69, of sexual abuse, sexual battery, sexual assault, harassment and rape relating to an incident that she says happened at her Los Angeles home in 1988. In the court papers, Ms. Barrett says that Mr. Jackson forcefully entered her home and assaulted her, inflicting “severe emotional, physical and psychological injury, including humiliation, shame, and guilt, economic loss, economic capacity and permanent emotional distress.”

The suit lists Mr. Jackson, Jermaine L. Jackson Music Productions and Work Records, a business Mr. Jackson founded, as defendants. Mr. Jackson could not be reached for comment.

Ms. Barrett’s court filing says she came into contact with Mr. Jackson through her role as a musician’s contractor and as a member of a union that represents musicians. The complaint says she also knew Mr. Jackson through Berry Gordy, the founder of Motown Records, who had a personal and business relationship with Mr. Barrett’s husband. Mr. Gordy could not be reached for comment.

In her suit, Ms. Barrett says that she told Mr. Gordy what happened the following day, but he “withheld and concealed the acts, further perpetuating the coverup and allowing Mr. Gordy, Defendant Jackson and others in the business relationship to continue to reap profits derived from Mr. Jackson’s work and reputation for years to come.”

Ms. Barrett is requesting a jury trial.

Michael Pellegrino, president of Artists Management Agency, which has represented Mr. Jackson since 2014, said the agency would be parting ways with the musician because of the suit.

“We have a zero-tolerance policy concerning these matters,” Mr. Pellegrino wrote in an email to The Times on Friday. “We wish him well but we must feel comfortable about who we represent and unfortunately at this moment we must take in consideration our other clients who do not feel comfortable with the current allegations.”

Jeff Anderson, a lawyer for Ms. Barrett, said that his client decided to file the suit after learning that California’s Sexual Abuse and Cover-Up Accountability Act allows certain sexual abuse claims to be revived that would otherwise be barred by the statute of limitations.

“The first thing that she and we want by having brought this case is for it to be known that Jermaine Jackson committed a very serious crime,” Mr. Anderson added.

NEW YORK TIMES
Hivi huwa ni nyege gani hizo mpaka wanabaka? Mastaa wakubwa kama wao wenye ushawishi mkubwa kwa wanawake huwa wanakoswa nini?
 
Inaonekana muda umefika..
Hii kitu inatia aibu..
Iwe funzo kwa wasanii wadogo wajilinde haswa kutokutenda matendo maovu.

Ila wote hadi hukumu itoke..
 
View attachment 2857225
Mwanamuziki Jermaine Jackson ambaye ni ndugu wa Nyota wa Muziki wa Pop, Marehemu Michael Jackson amefunguliwa mashtaka ya Unyanyasaji na Ukatili wa Kingono dhidi ya Rita Butler Barrett aliyedai alibakwa na kutakiwa kukaa kimya ili kulinda heshima ya Mwanamuziki huyo.

Nyaraka za Mashtaka zinadai, Jermaine aliingia kwa nguvu nyumbani kwa Mwanamke huyo na kumshambulia kisha kumsababishia hasara ya kiuchumi, majeraha makali ya kihisia, kimwili na kiakili kumwachia mfadhaiko wa kudumu wa kihisia.

Jeff Anderson, wakili wa Barrett, amesema mteja wake aliamua kuwasilisha kesi hiyo baada ya kufahamu kuhusu kuwa Sheria ya Unyanyasaji wa Kijinsia ya California inaruhusu kufufuliwa kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia

Kesi hii ni mwendelezo wa Kesi nyingine zinazozidi kuwakumbua Watu Maarufu ambapo hadi sasa baadhi ya Mastaa waliokumbana nazo ni Diddy, Vin Diesel, Cuba Gooding Jr, Snoop Dogg na R. Kelly ambaye tayari anatumikia kifungo Gerezani.

============

Jermaine Jackson, one of Michael Jackson’s older brothers and a founding member of the Jackson 5, was accused of sexual assault in a civil suit filed Wednesday in California.

In the suit, filed in Los Angeles Superior Court, Rita Barrett accuses Mr. Jackson, 69, of sexual abuse, sexual battery, sexual assault, harassment and rape relating to an incident that she says happened at her Los Angeles home in 1988. In the court papers, Ms. Barrett says that Mr. Jackson forcefully entered her home and assaulted her, inflicting “severe emotional, physical and psychological injury, including humiliation, shame, and guilt, economic loss, economic capacity and permanent emotional distress.”

The suit lists Mr. Jackson, Jermaine L. Jackson Music Productions and Work Records, a business Mr. Jackson founded, as defendants. Mr. Jackson could not be reached for comment.

Ms. Barrett’s court filing says she came into contact with Mr. Jackson through her role as a musician’s contractor and as a member of a union that represents musicians. The complaint says she also knew Mr. Jackson through Berry Gordy, the founder of Motown Records, who had a personal and business relationship with Mr. Barrett’s husband. Mr. Gordy could not be reached for comment.

In her suit, Ms. Barrett says that she told Mr. Gordy what happened the following day, but he “withheld and concealed the acts, further perpetuating the coverup and allowing Mr. Gordy, Defendant Jackson and others in the business relationship to continue to reap profits derived from Mr. Jackson’s work and reputation for years to come.”

Ms. Barrett is requesting a jury trial.

Michael Pellegrino, president of Artists Management Agency, which has represented Mr. Jackson since 2014, said the agency would be parting ways with the musician because of the suit.

“We have a zero-tolerance policy concerning these matters,” Mr. Pellegrino wrote in an email to The Times on Friday. “We wish him well but we must feel comfortable about who we represent and unfortunately at this moment we must take in consideration our other clients who do not feel comfortable with the current allegations.”

Jeff Anderson, a lawyer for Ms. Barrett, said that his client decided to file the suit after learning that California’s Sexual Abuse and Cover-Up Accountability Act allows certain sexual abuse claims to be revived that would otherwise be barred by the statute of limitations.

“The first thing that she and we want by having brought this case is for it to be known that Jermaine Jackson committed a very serious crime,” Mr. Anderson added.

NEW YORK
Na hivi ndivyo mamilionea wakike wanavyopatikana
 
Huyo ni malaya tu kachangamkia fursa akishirikiana na maadui wa Jarmaine kwenye game ya muziki, wameona mhuni kibunda kimetuna.
Wameamua kupita nae ki-R Kelly, au mwana kawakataa maIlluminati ndo michezo yao hao
 
😎😎😎 hivi huku bongo hiyo kitu ikitokea itakuwaje ?
Wengi watafufua cases za wanaume zao wa kwanza especially kama wanaume hao wana vipato. Imagine kama aliyekuwa "mke" wa mwakilishi mstaafu wa Mbeya! Ni hatari sana.
 
View attachment 2857225
Mwanamuziki Jermaine Jackson ambaye ni ndugu wa Nyota wa Muziki wa Pop, Marehemu Michael Jackson amefunguliwa mashtaka ya Unyanyasaji na Ukatili wa Kingono dhidi ya Rita Butler Barrett aliyedai alibakwa na kutakiwa kukaa kimya ili kulinda heshima ya Mwanamuziki huyo.

Nyaraka za Mashtaka zinadai, Jermaine aliingia kwa nguvu nyumbani kwa Mwanamke huyo na kumshambulia kisha kumsababishia hasara ya kiuchumi, majeraha makali ya kihisia, kimwili na kiakili kumwachia mfadhaiko wa kudumu wa kihisia.

Jeff Anderson, wakili wa Barrett, amesema mteja wake aliamua kuwasilisha kesi hiyo baada ya kufahamu kuhusu kuwa Sheria ya Unyanyasaji wa Kijinsia ya California inaruhusu kufufuliwa kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia

Kesi hii ni mwendelezo wa Kesi nyingine zinazozidi kuwakumbua Watu Maarufu ambapo hadi sasa baadhi ya Mastaa waliokumbana nazo ni Diddy, Vin Diesel, Cuba Gooding Jr, Snoop Dogg na R. Kelly ambaye tayari anatumikia kifungo Gerezani.

============

Jermaine Jackson, one of Michael Jackson’s older brothers and a founding member of the Jackson 5, was accused of sexual assault in a civil suit filed Wednesday in California.

In the suit, filed in Los Angeles Superior Court, Rita Barrett accuses Mr. Jackson, 69, of sexual abuse, sexual battery, sexual assault, harassment and rape relating to an incident that she says happened at her Los Angeles home in 1988. In the court papers, Ms. Barrett says that Mr. Jackson forcefully entered her home and assaulted her, inflicting “severe emotional, physical and psychological injury, including humiliation, shame, and guilt, economic loss, economic capacity and permanent emotional distress.”

The suit lists Mr. Jackson, Jermaine L. Jackson Music Productions and Work Records, a business Mr. Jackson founded, as defendants. Mr. Jackson could not be reached for comment.

Ms. Barrett’s court filing says she came into contact with Mr. Jackson through her role as a musician’s contractor and as a member of a union that represents musicians. The complaint says she also knew Mr. Jackson through Berry Gordy, the founder of Motown Records, who had a personal and business relationship with Mr. Barrett’s husband. Mr. Gordy could not be reached for comment.

In her suit, Ms. Barrett says that she told Mr. Gordy what happened the following day, but he “withheld and concealed the acts, further perpetuating the coverup and allowing Mr. Gordy, Defendant Jackson and others in the business relationship to continue to reap profits derived from Mr. Jackson’s work and reputation for years to come.”

Ms. Barrett is requesting a jury trial.

Michael Pellegrino, president of Artists Management Agency, which has represented Mr. Jackson since 2014, said the agency would be parting ways with the musician because of the suit.

“We have a zero-tolerance policy concerning these matters,” Mr. Pellegrino wrote in an email to The Times on Friday. “We wish him well but we must feel comfortable about who we represent and unfortunately at this moment we must take in consideration our other clients who do not feel comfortable with the current allegations.”

Jeff Anderson, a lawyer for Ms. Barrett, said that his client decided to file the suit after learning that California’s Sexual Abuse and Cover-Up Accountability Act allows certain sexual abuse claims to be revived that would otherwise be barred by the statute of limitations.

“The first thing that she and we want by having brought this case is for it to be known that Jermaine Jackson committed a very serious crime,” Mr. Anderson added.

NEW YORK TIMES
Hivi hizi kesi mbona zimekuwa nyingi sana kwa wanamziki wa kiiafrica? Waishio marekani
 
Back
Top Bottom