Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,861
- 43,781
Jmn🤣🤣🙌Dili ni kumkwepa mapema msifike point ya kuonana, imagine ukutane na mdada ambae hata katika mazingira ya kawaida sio vitu vyako kabisa unakuta kavaaa kama Ndalichako.
😂😂😂😂 daah hivi zamani watu walikuaga wanaanda gathering wanakutana kwanini isisrudishwe hii jamani!?
Tukate ngebe za kuambiwa wanawake wa jf tunafanana na baba zetu mambiligisi 😂
Sijajua sana, ila suala la uzuri ni mtazamo wa mtu binafsi. Hujawahi kuona mdada watu wanamsifia ni mkali kaumbika ila we ukiangalia unamuona yupo average sana.Duh
Eti Mpaji Mungu ya kweli haya?
😁😁😁😁unaongea kwa experience au changamsha genge? nachojua % kubwa ya wadada wa humu ni vibonge ila kuna pisi kali sana humu. Ngoja niishie apa nisijeachika![]()
ExactlySijajua sana, ila suala la uzuri ni mtazamo wa mtu binafsi. Hujawahi kuona mdada watu wanamsifia ni mkali kaumbika ila we ukiangalia unamuona yupo average sana.
Alooh nipe fursambona kulombwa? huwa najibaka mwenyew😂
Wanaosema hvo wasipuuzwe labda wameona mengi.Exactly
So msiseme wadada wa humu wavaya jmn ? Uzuri wa mtu upo nachoni pa mtu
🤣🤣
Na ile ya I'd ya kupiga ramli na kudai mganga kuanzia kazi mpake mume apatikane. Ramli elfu 15000Yaani watu hawana akili kabisa, kadanganyq kaolewa, kumbe kabadili ID, halafu uandishi hajabadili, ni mbovu vile vile hajishtukii.
Sijui yupo wapi aje atuchekesheWewe na Bibi damu zenu haziendani kabisa. Kumbuka ndiyo ubavu wa Babu yako huo 😱
Watakufa vibayaAu tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.
Hii nilikuwa sijui kupe wale mafala wanatomba😲😲😲😲
Huko international forum hawapaoni,, huko jukwaa liko empty aende.Hivi si kuna majukwaa tofauti?
Km hutaki mapenzi , mahusiano nenda jukwaa la elimu etc
ExactlyHuko international forum hawapaoni,, huko jukwaa liko empty aende.
Kiranga mwenyewe na logical fallacy zake,, lakini huwa anakujaga kwenye hizi isidingo the need
Humu watu hawapo serious, ukiwa serious kichwa kitakuuma watu wanapenda kuchangamsha kijiwe akiwemo huyu SweetycandyHuko international forum hawapaoni,, huko jukwaa liko empty aende.
Kiranga mwenyewe na logical fallacy zake,, lakini huwa anakujaga kwenye hizi isidingo the need
Pole yako mkuu,Hakuna pisi kali humu, niliwah kuamin hivyo mpaka siku nakutana na madem wana uchebe kama Osama bin Laden
Hivi ephen unakumbuka aliye kuwa anasema ana majini ya uganga. Akawa anasema ili aanze kazi yawe yanatoka dawa ni mpka aoleweHumu watu hawapo serious, ukiwa serious kichwa kitakuuma watu wanapenda kuchangamsha kijiwe akiwemo huyu Sweetycandy
Ni vile tu watu kujiona wako perfectExactly
Huwezi kuwa muda wote unawaza au kufanya kitu kimoja
Kila kitu kwa sehemu... , kwa kiasi