Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

Tatizo wanaochat ni walewale kila post jf haina watu ina mrundikano wa i'ds
🤝
Sahihi kabisa.

Na mademu wa humi walivyo mafala, anatongozwa na I'd h anakataa, anatongozwa na jamaa huyo huyo kwa I'd nyngn anakubali 😂 kisa tuu I'd ya kwanza hua inapost pumba na I'd ya pili inajikosha humu 😂
 
Watu wa humu mpo .?

Humu wengi sana mnaonekana mnahamu ya mapenzi na wapenzi wenyewe hamna wanaoeleweka .

Kama huna je upo tayari kulea au kuishi maisha ya kawaida upewe watoto wa elfu mbili wakuoe wakupige mashine mpaka uache kuja huku kujiabisha .

Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.

Hii ni kwa wanawake wanaopost post za kujiabisha humu .

Kwa wanaume mtu anatoa post eti mashine yake haifanyi kazi nakama ukikuta mtu mashine haifanyi kazi mnafanyaje .??
Shame on you huku watu wamemove on acheni kujiabisha .

Yaani tokea uingie humu hujawahi pata hata wakujitolea, kama mtu anauwezo wakutangaza alivyo mpweke atapata lini mtu serious .

Wengi ambao mashine zao hazifanyi kazi sio hao waliacha condoms zao kila mahali wakafungiwa au nimashoga au hawana nguvu zakiume .

Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.

ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .

Nipovu tu ........
Mtu akitoa post hata iwe ya mapenzi iwe ya heshima sio aonyeshe anahitaji mtu wa kudo something haileti picha nzuri . Nenda na codes kwanza hatuonani ...
Kama Umeongea ukweli hv 😎
 
Jamii Forums ina majukwaa kibao
Ya Siasa biashara mpka mapishi
Mtu hatembelei hayo majukwaa kwanini?

Na kwanini tupangiane maisha?
Ukiona mada imeenda hewani na haijafutwa ujue hakuna uvunjaji sheria wowote umefanyika

Ila JF 🤣🤣
NB : kulombana ni afya sio anasa
Hiyo afya mbona siipati aisee😅
 
Basi wacha sisi waharibu soko tukalombwe na mapadri tupate mimba tu hakuna namna🤡
Achana na ma padri utajipatia gono lisilosikia azuma.
Nichagulie zangu askofu na hivi siku hizi papa anachagua vijana.......
Anajilia zako askofu mtroombo unausikilizia pembeni radio maria aiiiiiiii!
Halafu washenzi wale wanaujua uchi na Kona zake na wanajua kuttoomba mbona utawasahu hawa kina Mbaga Jr
 
Achana na ma padri utajipatia gono lisilosikia azuma.
Nichagulie zangu askofu na hivi siku hizi papa anachagua vijana.......
Anajilia zako askofu mtroombo unausikilizia pembeni radio maria aiiiiiiii!
Halafu washenzi wale wanaujua uchi na Kona zake na wanajua kuttoomba mbona utawasahu hawa kina Mbaga Jr
Kila muda nachungulia huu uzi kuangalia kama mleta uzi kasharudi
 
Achana na ma padri utajipatia gono lisilosikia azuma.
Nichagulie zangu askofu na hivi siku hizi papa anachagua vijana.......
Anajilia zako askofu mtroombo unausikilizia pembeni radio maria aiiiiiiii!
Halafu washenzi wale wanaujua uchi na Kona zake na wanajua kuttoomba mbona utawasahu hawa kina Mbaga Jr
Astakafirilah, mm nimefikaje humu.
Mm bado bikra, uboo wangu bado una lailon yake, sijapata baby girl wa kunifanyia unboxing
 
Back
Top Bottom