Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Haaaaha punguza kuunda maneno ambayo hayapo.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark, President wa Shirika lake ambalo limemkuza na kumsomesha. Na amekuwa mwakilisha kwa mambo ya policy for youth in Developing Countries kwa Danish Development Agency na Malkia Margerethe 11 wa Denmark.

Hao kina Maria Sarungi wanakua shavu lá Pole pole, ndio maana hakuna siku Maria Sarungi na NGOS karibu zote watamzungumzia vibaya Pole pole.

NGOs zinatamani arudi uwanjani wale shavu.
Youth uyo ni youth na mabeberu si alikuwa hawapendi kumbe Denmark wapo
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Na v8 letu aache hapo
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Aisee, kumbe amewatumikia sana mabeberu na bado anaweza kurudi kuwatumikia...asante kwa taarifa...

So, zile maneno dhidi ya mabeberu zilikuwa mbwembwe za kudanganyia wajinga a.k.a wanyonge...
 
Hilo kila mtu analijua sana lkn pia anaweza akawa na gari la kibunge lisiwe VIIII EIGHT
Duh! mna usongo naye!!! Ila alikuwa anajidai sana sana. Hata mimi nimefurahi kutolewa hapo maana alikuwa vuvuzela sana!!!
 
Wakati wa baba yenu yupo ikulu mlikuwa mnajua au kufikiria kuwa mtaishi kwenye nafasi zenu milele.

Ndiyo maana mlikuwa mnaomba katiba ibadilishwe ili atawale milele kisa ni shujaa wa Afrika.
Haya majibu ya baba yenu au mama yenu ni majibu ya kipumbavu.
 
IMG-20210524-WA0003.jpg

Hapa Mzee wa Vieitee alikuwa bado vumbi tu 😄
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
sasa mambo ya unaijua V8 aliyatoa wapi ?au ndio ushamba na ulimbukeni wa madaraka ulimlevya
 
Daa sasa mbwembwe zote hizo za nini mpk kuweka box kichwani sasa, cheki hyo shaka makwapa yake yalivyolowana kwa uchafu wa jasho.
 
Ila wewe unanizidi kwa upumbabvu kwani unaandika mambo kama vie kichwani umejaza tui la nazi tu; hamna ubongo hata chembe moja.
Hiyo haikuhusu tulia uangalie jinsi nchi inavyo ongozwa kwa weledi,kisayansi na kamwe hutosikia kutumia maguvu.
 
Waondoke hao, wakishirikiana na baba yao mwendazake walituharibia sana chama chetu!! sasa tunataka kuijenga upya CCM yetu.

Afu asiondoke na chenji yetu, lile fungu la kununua wabunge na madiwani wa CDM nasikia masalia kibao bado anayo.
 
Back
Top Bottom