Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Pole afisa habari wa chakubanga. Au ndio chakubanga mwenyewe,maana kwa detail hizo unamjua chakubanga kuliko anavyojijua mwenyewe!
Kama siyo mwenyewe Polepole basi ni mkewe
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena.

View attachment 1795398
Tatizo macho yamefunikwa na boksi... kuna kitu tulihitaji kukiona baada ya tabasamu la kinywa macho yamesemaje!!???
 
Pole afisa habari wa chakubanga. Au ndio chakubanga mwenyewe,maana kwa detail hizo unamjua chakubanga kuliko anavyojijua mwenyewe!
Kwa hiyo anatuaminisha kwamba ile NGO ya pale kijitonyama kalikuwa kamradi ka upigaji???
 
Tatizo macho yamefunikwa na boksi... kuna kitu tulihitaji kukiona baada ya tabasamu la kinywa macho yamesemaje!!???
Machozi yanamtililika maana zile sifa kubao, majigambo na mbwembwe vyote sasa kwisha.

Utawala wa mjomba wake ndiyo umeanguka na hakuna tena wa kuwashika mkono .
 
Mkuu hao sukuma gang wanapeana matumaini baada ya kupata PIGO kubwa sana maishani.
Naam Mkuu na inapaswa sasa nyoka watolewe sumu kisha wang'olewe meno ili wasije eneza sumu yao kwenye jamii kama walivyofanya awali... rasmi walikuwa wanaipeleka nchi kwenye ujambazi wa kidola, wananchi walishaanza kupigania nafsi zao kuliko haki zao...
 
Naam Mkuu na inapaswa sasa nyoka watolewe sumu kisha wang'olewe meno ili wasije eneza sumu yao kwenye jamii kama walivyofanya awali... rasmi walikuwa wanaipeleka nchi kwenye ujambazi wa kidola, wananchi walishaanza kupigania nafsi zao kuliko haki zao...
Meneno murua maneno kuntuuuuu
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena.

View attachment 1795398
Dah! Sijui wengine kama tutapata bahati ya kuona makabidhiano kama haya kati ya Mbowe na Mwenyekiti mwingine!
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Kuna watu humu wana roho mbaya Sana na afadhali mwl Nyerere aliwashtukia mapema
Katika hali yoyote ile polepole katumikia nchi hiyo ni heshima kubwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom