Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Waondoke hao, wakishirikiana na baba yao mwendazake walituharibia sana chama chetu!! sasa tunataka kuijenga upya CCM yetu.

Afu asiondoke na chenji yetu, lile fungu la kununua wabunge na madiwani wa CDM nasikia masalia kibao bado anayo.
Lazima apukutishwe hizo chenji ili arudi kwao koromitje vizuri
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Mlevi kamkabidhi kata mlevi mwenzie. Wote ni vituko vitupu.
 
Wale wote waliochezea uchaguzi Mkuu Mungu kawaaibisha bado Mahela na Job
 
Na huo ndio mwisho wa hadithi ya polepole. 2025 hata ubunge atakuwa hana atakuwa kama akina sisi tu. Azitunze vizuri pesa za ubunge otherwise amekwisha
Kuhusu pesa bado anazo zile za udalali na Ununuzi wa kina waitara na yule wa siha kwani alichukua 10% na wengine aliwanunua malikauli na pesa akazichimbia! Bado Ana ukwasi wa kufa mtu!
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Kumbe hana tofauti na Prof.ASSAD huyu
 
Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi

????? SGR ya wapi imepewa $$ 300??? Angekuwa na ukwasi huo asingefanya biashara ya kununua watu!!!
 
Mnazijua VIETIII nyie moja ya kauli ya kifedhuli sana hahahah!
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Pole afisa habari wa chakubanga. Au ndio chakubanga mwenyewe,maana kwa detail hizo unamjua chakubanga kuliko anavyojijua mwenyewe!
 
Back
Top Bottom