Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Dr Mashinji hakumkabidhi J J Mnyika ofisi!
 
Atarudi kwenye kibanda chake cha M-Pesa pale Bahari beach!!
Haaaaha punguza kuunda maneno ambayo hayapo.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark, President wa Shirika lake ambalo limemkuza na kumsomesha. Na amekuwa mwakilisha kwa mambo ya policy for youth in Developing Countries kwa Danish Development Agency na Malkia Margerethe 11 wa Denmark.

Hao kina Maria Sarungi wanakua shavu lá Pole pole, ndio maana hakuna siku Maria Sarungi na NGOS karibu zote watamzungumzia vibaya Pole pole.

NGOs zinatamani arudi uwanjani wale shavu.
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
mbona kafurahi sana kwa mujibu wa picha
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Kuna unyonge hapo mbona mie siuoni? Mwenyewe alisema CCM wana miiko yao huwezi ukawa Mbunge halafu katibu mkuu, wengi tulimwelewa kwa nia nzuri tu. Besides, badala ya kuhudumia wanaCCM milioni 19 sasa atahudumia Watanzania milioni 55. Unyonge wa nini Kamanda?
 
Haaaaha punguza kuunda maneno ambayo hayapo.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark, President wa Shirika lake ambalo limemkuza na kumsomesha. Na amekuwa mwakilisha kwa mambo ya policy for youth in Developing Countries kwa Danish Development Agency na Malkia Margerethe 11 wa Denmark.

Hao kina Maria Sarungi wanakua shavu lá Pole pole, ndio maana hakuna siku Maria Sarungi na NGOS karibu zote watamzungumzia vibaya Pole pole.

NGOs zinatamani arudi uwanjani wale shavu.
Magembe naona huwa unatumia nguvu nyingi sana kuanzia kwa Sabaya na sasa huyu PolePole. Ume TARGET NINI HASA!!

Anyway najua unapambana
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Huyu hapa
 
Back
Top Bottom