Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Yule ni bilionea, amepiga hela ndefu kwenye ile project ya kununua wapinzani uchwara,yale maradhi yake tu ndiyo yanamfanya aonekane mchovu.
Yule ni bilionea, amepiga hela ndefu kwenye ile project ya kununua wapinzani uchwara,yale maradhi yake tu ndiyo yanamfanya aonekane mchovu.
Marafhi Tena mkuu? Hebu tupeane code tafadhali.
 
Wewe ndio wasema, hakuna aijuae kesho,tuweke akiba ya maneno.
Wala sihitaji akiba ya maneno maana kwa sasa amekwisha na ndio maana nimesema ajitahidi atunze pesa meaning zitamsaidia mbele hata akihitaji kugombea Jimbo lazima awe na hela that's it. Kwa sasa amekwisha akiibuka hiyo ni yake na Mungu wake.
 
Unaongea umbea kweli; ni nani alikuambia kuwa nafasi za uongozi ndani ya CCM ni za kudumu? unadhani kuweli kuwa pole pole alikuwa hajui hilo? Tangu Moses Nnauye mwenyewe aliywkuwa anajulikana kama "Katibu wa Oganaizesheni, unenezi na Propaganda"hadi mtoto wake Nape Nnauye na leo huyu Pole Pole huwa inajulikana wazi kuwa madaraka yao yana mwisho; sasa wewe kudai kuwa kakabidhi kinyonge, ulitaka afanye nini ndipo ujue kakabidhi kwa kuelewa kuwa muda wake umekwisha
Wakati wa baba yenu yupo ikulu mlikuwa mnajua au kufikiria kuwa mtaishi kwenye nafasi zenu milele.

Ndiyo maana mlikuwa mnaomba katiba ibadilishwe ili atawale milele kisa ni shujaa wa Afrika.
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Bado anayo ya kibunge!
 
Wote watatu hawakua na akiba ya maneno. Kuanzia 1.mwendazake,2. Mshika Dola ambaye alitumia Dola kubaki kwenye Dola lakini kwa kua alikua Hana upeo na uungwana Dola ikamponyoka na Sasa hivi Yuko ligi moja na mzee Halima. This world buana....3. Dogo slowmotion
Ha ha ha!!! Umenichekesha sana kuhusu ya mshika dola na dola imemponyoka!!! Ameloaje!!!! Piga kelele kwa mshika dola ambaye imemponyoka! Weweeeeeeeh!
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
USD 300. Dola mia tatu.

Ndiyo za kusema ni mzito? Mbona ni bora abaki kua mbunge
 
Haaaaha punguza kuunda maneno ambayo hayapo.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark, President wa Shirika lake ambalo limemkuza na kumsomesha. Na amekuwa mwakilisha kwa mambo ya policy for youth in Developing Countries kwa Danish Development Agency na Malkia Margerethe 11 wa Denmark.

Hao kina Maria Sarungi wanakua shavu lá Pole pole, ndio maana hakuna siku Maria Sarungi na NGOS karibu zote watamzungumzia vibaya Pole pole.

NGOs zinatamani arudi uwanjani wale shavu.

Hapa pana "Connection"...imenikumbusha pale alipojitapa kuwa msipate taabu kuhangaika jinsi ya kumwona Mwendazake bali watu wamwone yeye naye atamaliza kila kitu.

Ukweli pamoja na matatizo yake lakini ana kipaji cha kufanya connection mahala popote
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Anapaswa sasa ajikabidhi polisi.
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
mbona ni box sio office
 
Wako watu wa wengi wa NGO, watazungumza wanachokijua. Mimi ikifika ukweli nasema Kama ulivyo, na sina cha kupoteza kwa umri wangu. Nafahamu mengi na kama ilivyo ada mengine nitahifadhi.

Kuna tulioshangaa kwenye siasa anaenda kufanya nini? Lakini mimi ni mtu wa corporate world yeye ni NGOs, na tuna juwa wengi kwenye NGO ni watu wa siasa.
Misleading....
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
kumbe ana ndoa za siri na, mabeberu
 
Back
Top Bottom