Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Humphrey Polepole akabidhi ofisi kwa Shaka

Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Wanakabidhiana stationery au ofisi?
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Huo umbea wako hauwezi kukufikisha popote. Kwani kuendesha V8 lazima uwe katibu mwenezi wa ccm? Mbona wengi tu wanaendesha hizo V8! Hata kwanafasi yake ya ubunge hawezi kushindwa kuendesha v8 kama anataka. Badala ya kuangalia mambo yako yanakwendaje unashinda humu ukipiga umbea!! Hata kama akishindwa kuendesha hiyo V8 wewe binafsi unafaidikaje na hilo? Pole!!
 
Huo umbea wako hauwezi kukufikisha popote. Kwani kuendesha V8 lazima uwe katibu mwenezi wa ccm? Mbona wengi tu wanaendesha hizo V8! Hata kwanafasi yake ya ubunge hawezi kushindwa kuendesha v8 kama anataka. Badala ya kuangalia mambo yako yanakwendaje unashinda humu ukipiga umbea!! Hata kama akishindwa kuendesha hiyo V8 wewe binafsi unafaidikaje na hilo? Pole!!
Huu uzi unazungumzia Polepole alivyokuwa anawakejeli watanzania juu yake anavyotembelea v8 ya ccm.
 
Huo umbea wako hauwezi kukufikisha popote. Kwani kuendesha V8 lazima uwe katibu mwenezi wa ccm? Mbona wengi tu wanaendesha hizo V8! Hata kwanafasi yake ya ubunge hawezi kushindwa kuendesha v8 kama anataka. Badala ya kuangalia mambo yako yanakwendaje unashinda humu ukipiga umbea!! Hata kama akishindwa kuendesha hiyo V8 wewe binafsi unafaidikaje na hilo? Pole!!
Sasa hivi hiyo v8 ya ccm ataisikia kupitia tbc na uhuru fm bila kuisahau channel ten
 
Kuna unyonge hapo mbona mie siuoni? Mwenyewe alisema CCM wana miiko yao huwezi ukawa Mbunge halafu katibu mkuu, wengi tulimwelewa kwa nia nzuri tu. Besides, badala ya kuhudumia wanaCCM milioni 19 sasa atahudumia Watanzania milioni 55. Unyonge wa nini Kamanda?
Mtafarijiana sana sukuma gang
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Chadema hawana ofisi ya kukabidhii kinyonge, mmebaki kaandika CCM CCM Kama vile saccos yenu haipo. Nyumbu hovyo kabisa.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.

President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.

Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?

Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Pole sana sukuma gang, safari hii mtaisoma namba hata kwa kirumi
 
Magembe naona huwa unatumia nguvu nyingi sana kuanzia kwa Sabaya na sasa huyu PolePole. Ume TARGET NINI HASA!!

Anyway najua unapambana
Wako watu wa wengi wa NGO, watazungumza wanachokijua. Mimi ikifika ukweli nasema Kama ulivyo, na sina cha kupoteza kwa umri wangu. Nafahamu mengi na kama ilivyo ada mengine nitahifadhi.

Kuna tulioshangaa kwenye siasa anaenda kufanya nini? Lakini mimi ni mtu wa corporate world yeye ni NGOs, na tuna juwa wengi kwenye NGO ni watu wa siasa.
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398

Nimetafuta hicho "kinyonge" sijakiona nikarudi kuangalia aliyeandika huu uzi nikakuta kha!

Kumbe ni Mmawia🙄🙄🙄🙄
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Hivi kamkabidhi nani
 
Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.

Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
V8 amekabidhi pia?
 
Haaaaha punguza kuunda maneno ambayo hayapo.

Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark, President wa Shirika lake ambalo limemkuza na kumsomesha. Na amekuwa mwakilisha kwa mambo ya policy for youth in Developing Countries kwa Danish Development Agency na Malkia Margerethe 11 wa Denmark.

Hao kina Maria Sarungi wanakua shavu lá Pole pole, ndio maana hakuna siku Maria Sarungi na NGOS karibu zote watamzungumzia vibaya Pole pole.

NGOs zinatamani arudi uwanjani wale shavu.

Hiyo hana maana kuwa kile sio kibanda chake!!
 
Nimetafuta hicho "kinyonge" sijakiona nikarudi kuangalia aliyeandika huu uzi nikakuta kha!

Kumbe ni Mmawia[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Stupid
 
Back
Top Bottom