Hii takataka ya mwendazakeWatu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.
Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.
Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Yule ni bilionea, amepiga hela ndefu kwenye ile project ya kununua wapinzani uchwara,yale maradhi yake tu ndiyo yanamfanya aonekane mchovu.Na huo ndio mwisho wa hadithi ya polepole. 2025 hata ubunge atakuwa hana atakuwa kama akina sisi tu. Azitunze vizuri pesa za ubunge otherwise amekwisha
AsanteHuo unyonje ni upi!?? Alipaswa afanyeje!??
Huyo mbwiga anaishi kwa matumaini ya kuonwa na sponsorMagembe naona huwa unatumia nguvu nyingi sana kuanzia kwa Sabaya na sasa huyu PolePole. Ume TARGET NINI HASA!!
Anyway najua unapambana
Kumbe ni mtu wa Njombe?
Wewe ndio wasema, hakuna aijuae kesho,tuweke akiba ya maneno.Na huo ndio mwisho wa hadithi ya polepole. 2025 hata ubunge atakuwa hana atakuwa kama akina sisi tu. Azitunze vizuri pesa za ubunge otherwise amekwisha
Au labda ni nyaraka zinazohusiana na wizi wa kura.Wanakabidhiana stationery au ofisi?
Duuh! Makabidhiano yamo ndani ya hilo boksi la maxons!Watu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.
Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.
Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
Mbona wewe hujaweka hiyo akiba!Wewe ndio wasema, hakuna aijuae kesho,tuweke akiba ya maneno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na kukabidhi ofisi kinyonge, unaijua vieite wewe?
Kwa hiyo wewe ndiye mpambe wake! Uzuri mliyemtegemea amekwisha oza!Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.
President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.
Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?
Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.
Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Jibu la "kinyonge" hili😂😂😂😂😂Stupid
Unyonge wa moyoni mwake wewe uliuonaje? Alikukaribisha ndani ya moyo wake ukaingia na ukauona huo unyonge? Porojo tupu.kwa unyonge mkubwa moyoni
Mtu mmoja akatufunga kamba hapa eti Mmawia ana masters! Labda kama alisomea matusiJibu la "kinyonge" hili😂😂😂😂😂
Hahaaaaa......Duuh! Makabidhiano yamo ndani ya hilo boksi la maxons!
Ni vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.
President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.
Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?
Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.
Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.
Mtu mmoja akatufunga kamba hapa eti Mmawia ana masters! Labda kama alisomea matusi
Unaongea umbea kweli; ni nani alikuambia kuwa nafasi za uongozi ndani ya CCM ni za kudumu? unadhani kuweli kuwa pole pole alikuwa hajui hilo? Tangu Moses Nnauye mwenyewe aliywkuwa anajulikana kama "Katibu wa Oganaizesheni, unenezi na Propaganda"hadi mtoto wake Nape Nnauye na leo huyu Pole Pole huwa inajulikana wazi kuwa madaraka yao yana mwisho; sasa wewe kudai kuwa kakabidhi kinyonge, ulitaka afanye nini ndipo ujue kakabidhi kwa kuelewa kuwa muda wake umekwishaWatu siku zote wanasema kuwa hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.
Wengine wanasema hakuna binadamu yeyote aijuaye kesho yake.
Polepole leo hii amekabidhi ofisi kwa mteule mpya kwa unyonge mkubwa moyoni maana zile mbwembwe za kuwakebehi watanzania kuwa yeye anatembelea VIII EITIII sasa basi tena. View attachment 1795398
KABLa CHADEMA HAIjAFA wanakufa WAO.mungu huyuNi vizuri haufahamu mengi, ila hana cha kupoteza kabisa kama suala ni pesa labda kwenye siasa.
President wa NGO yake aliokuwa akifanyia kazi na iliyomkuza na kumsomesha anamtaka muda wowote arudi kuwa Regional Director.
Kwa request yake Pole pole Bosi wake alii petition nchi yake kwa mfuko wa maendeleo ya nchi za dunia ya tatu Denmark ikatoa 300 USD kwa mradi wa SGR kitu gani kitamsumbua kurudi?
Pole pole sio mwepesi hivyo kama unavyo weza kumuona kwa haraka. Ni ngoma nzito.
Ni rafiki wa karibu na Prince Frederik wa Denmark president wa Shirika lake. Na amekuwa mwakilisha policy for youth in Developing Countries kwa kwa Danish Development Agency na Margerethe 11.