Huenda Vice President Dkt. Phillip Mpango alikuwa kwenye shambulizi la hatari, akafichwa mahali. Hii ndio maana ya "Alikuwa kwenye kazi maalumu"

Mkuu una maanisha could alikuwa under detention au house arrest, baada ya kuona kelele inaanza kuongezeka wakaona itakuwa kesi, wakamtoa kwa masharti na maelekezo maalam????

But Why under detention/arrest????
We don't know exactly what kind of bondage was he in...

However, vyovyote mtu anavyoweza kufikiri na kusema yaweza kuwa sahihi...

Si kwa makusudi kabisa wameamua kutudanganya wenyewe huku wakitambua kuwa wanatunganya?

Mambo hayako sawa huko serikalini. Kuna watu pengine wanatakiwa watoweshwe kwa njia ileile aliyotoweshwa jiwe...
 
We don't know exactly what kind of bondage was he in...

However, vyovyote mtu anavyoweza kufikiri na kusema yaweza kuwa sahihi...

Si kwa makusudi kabisa wameamua kutudanganya wenyewe huku wakitambua kuwa wanatunganya?

Mambo hayako sawa huko serikalini. Kuna watu pengine wanatakiwa watoweshwe kwa njia ileile aliyotoweshwa jiwe...
🙏🆒
 
Ni kwa sababu, haiingii akili hata chembe kwa yeyote mwenye akili timamu kuamini sababu ya kupotea kwa VP siku zaidi 30 bila taarifa yoyote rasmi ya serikali kule aliko na anafanya nini.

Baada ya muda, eti serikali inajitokeza na kudai kuwa VP alikuwa mahali fulani (hapatajwi) na alikuwa kwenye kilichopewa jina la "kazi maalumu" isiyotajwa.

La kujiuliza ni hili kuwa, hivi, ni kazi gani maalumu yenye maslahi kwa nchi hii isiyo na jina aliyokwenda kufanya VP kwa siku 30..?

Kinachofanya tujiulize swali hili ni wajihi na mwonekano wa VP baada ya kujitokeza. Anaonekana ni mtu mnyonge sana. Ni mtu mwenye mawazo mengi (troubled person). Ni kama vile kweli alikuwa anaumwa na labda alikuwa anapata matibabu sehemu.

Lakini kama alikuwa anaumwa na alikuwa anapata matibabu sehemu fulani hapahapa nchini au nje ya nchi, iweje taarifa za kuumwa kwake ziwe siri?

Kwanini haisemwi alikuwa anaumwa badala yake tunaambiwa alikuwa kwenye kazi maalumu? Kunafichwa nini?

Kuumwa mtu (kiongozi VP akiwemo) hakuwezi kufichika jamani. Ambacho si lazima kijulikane ni ugonjwa anaoumwa mtu. Hili linaweza kufichwa na haina shida yoyote...

Kuna hisia kali zinazoweza kuthibitika muda si mrefu kuwa lipo tatizo huko serikalini. Kuna Kila viashiria kuwa huyu mtu alikuwa hatarini na aidha alifichwa au alijificha mahali mwenyewe (Kwa ruhusa ya deep state) ili kujiokoa..!

Lakini kwanini kiongozi mkuu wa level ya VP awe hatarini? Kuna nini ndani ya serikali hii?

Wakati utasema tu, TUSUBIRI.
KUNA KITU INAITWA, "30 DAYS UNSTABED LEAVES "
Hii ni likizo ambayo mwombaji huomba kukaa mbali na uhusiano wowote wa shughuli azifanyazo!, stupid ppls hawafahamu hii kitu.
 
We don't know exactly what kind of bondage was he in...

However, vyovyote mtu anavyoweza kufikiri na kusema yaweza kuwa sahihi...

Si kwa makusudi kabisa wameamua kutudanganya wenyewe huku wakitambua kuwa wanatunganya?

Mambo hayako sawa huko serikalini. Kuna watu pengine wanatakiwa watoweshwe kwa njia ileile aliyotoweshwa jiwe...
Mkuu kwa mtazamo wangu naona mheshimiwa makamo wa Rais alikuwa kwenye lockdown! Nasema hivyo kwa sababu sasa hivi kuna upepo fulani hivi wa kuumwa, tukienda hospitali hukutwi na chochote isipokuwa maleria au UTI! Ila muziki wa ungonjwa huo hauna tofauti na Korona. Na upepo huu umepita na wengi!

Tunafahamu Mheshimiwa makamo wa Rais aliwahi kuugua Korona akaponea chupuchupu, wenzie kwenye ule msululu walitangulia!

Mkuu kwa umri na udhaifu wa afya ya makamo wa Rais inaonekana aliikwaa Korona tena! Viongozi wenzie wakaogopa kuambukizana, ikalazimika awekwe lockdown! Ndio kupotea namna ile!

Mkuu kimbembe kikawa kutangazia umma kuwa anaumwa Korona! Serikali ikaona kwa vyovyote vile ingezua taharuki na hofu kubwa mno kwenye jamii! Ndio maana Waziri mkuu Majaliwa akajitokeza kutuliza upepo kwa kusema yupo nje kwenye kazi maalum! Ilhali taarifa kuhusu nchi na kazi hazitajwi maana hakwenda kokote.

Anayejua kutazama anaelewa kuwa mheshimiwa makamo wa Rais hayuko sawa sawa kiafya ila alijitokeza kama ilivyo kuwa mwanzo kutuliza tetesi na taharuki iliyoanza kujitokeza.

Mkuu kwa sasa yupo chini ya uangalizi maalum wa kiafya! Nawasilisha!
 
Mkuu sio kilakitu unapaswa kujua.

KUNA MAMBO INABIDI UYAPUUZE TU NA SIO KULALAMIKA KAMA UMEKOSEWA NA MTU.

KAMA UNAMPENDA VICE PRESIDENT BASI SHUKURU KUWA NI MZIMA, HAYO MENGINE ACHANA NAYO MKUU.

PRIVACY YA MTU IHESHIMIWE.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wee! MAKAMU WA RAIS HANA PRIVACY, Ila Dr Mpango anayo na hatuwezi kuiingilia. Makamu wa Rais ni mtumishi wa umma si mtumishi wa CCM hivyo tunaomuhitaji binafsi kikazi tunataka tujue alipo tunapomkosa ofisini, hakuajiriwa ili awatumikie viongozi wanaomficha, tunayo haki ya kujua alipo anapokosekana ofisini.
 
KUNA KITU INAITWA, "30 DAYS UNSTABED LEAVES "
Hii ni likizo ambayo mwombaji huomba kukaa mbali na uhusiano wowote wa shughuli azifanyazo!, stupid ppls hawafahamu hii kitu.
Tatizo siyo hili tatizo tunatakiwa tujue kuwa yuko UNSTABED LEAVE hivyo tu,hii haiingilii privacy yake, you idiot.
 
Back
Top Bottom