Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Akauna kesi mkuu hayta wakaikau؛lsaza wikai yshahdi ndege aikauukaa watakachofanya nikutakiwa kukupa ndege nyingine na s nauli
 
Nadhani hawa jamaa wanachukiwa sana na kina Precision and the like...... manake naona kama nauli zake zinalipika unless kuwe na hiden charges kibao!

Zinalipika ila tatizo ni ''T's and C's apply''
 
Ningeshangaa lile shirika hodhi liwaachie hi route which is the most payable to them kwa hapa nchini
 
kaka shukuru Mungu mnarudishiwa pesa! mie hapa sijarudishiwa na ATCL tangu kipindi kile ife 2010,mnakumbuka wakati uleee, yaani nimefatilia nimechoka!wameniboa nimekasirika hadi hasira ziliisha zenyewe wamekuwa wakitupiana mpira weee nikaamua kuachana nao...
 
Nilikuwa na trip ya Mwanza next month ila imepigwa stop, kwanini ?
 
NIlishaweka uzi hapa nikisema hili shirika muda si mrefu litabaki katika historia tu hapa nchini. Ni wababaishaji mno! Wameshachuma vya kutosha, sasa wanaanza kukata ruti ili baadaye waondoke kilaini.
 
Nadhani hiyo ndio itakuwa first time wana-cancel safari
 
kaka shukuru Mungu mnarudishiwa pesa! mie hapa sijarudishiwa na ATCL tangu kipindi kile ife 2010,mnakumbuka wakati uleee, yaani nimefatilia nimechoka!wameniboa nimekasirika hadi hasira ziliisha zenyewe wamekuwa wakitupiana mpira weee nikaamua kuachana nao...[/QUOT


Tuko wengi
 
ha ha ha lako afadhali kuna ndugu yangu alienda kikazi zanzibar jana yupo mizunguko yake anapigiwa simu njoo uchukue hela hakutakuwa na ndege tena hadi mwezi sijui wa ngapi yaani kwa nini watu wanafikiri wenzao wajinga we need to get somewhere where even the government can be sued. kwa nini watu wabebe matatizo za wengine?
 
NIlishaweka uzi hapa nikisema hili shirika muda si mrefu litabaki katika historia tu hapa nchini. Ni wababaishaji mno! Wameshachuma vya kutosha, sasa wanaanza kukata ruti ili baadaye waondoke kilaini.

Kumbe Ndo product za CSEE hizi... Yaani hujui hata reason ya kwa nini wamepiga stop hiyo ruti.. Wewe umeshaanza kutoa hisia zako hapa. Huduma za ndege ndo rahisi duniani sema ufisadi wa kitanzania tu hapa... Thread yako haihalalishi shirika kufa

Ni bora ukachunguza kwanza sababu za wao kusitisha
 
Hakuna demand.., (abiria ya hiyo route ni wachache sana) especially hii rainy season.., kwahio wamecancel hio route na nyingine pia kwa muda..

Kuna taarifa wameshatoa angalia website yao au kuna uzi humu ndani unaelezea
 
NIlishaweka uzi hapa nikisema hili shirika muda si mrefu litabaki katika historia tu hapa nchini. Ni wababaishaji mno! Wameshachuma vya kutosha, sasa wanaanza kukata ruti ili baadaye waondoke kilaini.

Kwahio kama litakufa mwaka kesho ndio tusilitumie (save money) mwaka huu ?

Hizi Low budget airlines sio kitu cha ajabu duniani, labda ni kigeni tu nchini.., wenzetu kuna mpaka mabasi low budget.. (it makes economic sense) kuliko ndege kwenda tupu kujalizia zile extra empty seats kwa bei nafuu
 
NIlishaweka uzi hapa nikisema hili shirika muda si mrefu litabaki katika historia tu hapa nchini. Ni wababaishaji mno! Wameshachuma vya kutosha, sasa wanaanza kukata ruti ili baadaye waondoke kilaini.

unataka Jet isafirishe abiria 15 kati ya Mwz jro.. ile sio Cessena wala Folk ndugu yangu. Hakuna Demand hakuna Biashara....
 
Back
Top Bottom