Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Badala yake wangeamzisha route ya Mbeya. maana Precision wanatutesa sana na mabei yao
 
Nadhani hawa jamaa wanachukiwa sana na kina Precision and the like...... manake naona kama nauli zake zinalipika unless kuwe na hiden charges kibao!

Kwa nauli ndogo kama hii wanakosa abiria, je precision wenye nauli za kupaa mbona bado wana-operate!
 
Kwa nauli ndogo kama hii wanakosa abiria, je precision wenye nauli za kupaa mbona bado wana-operate!

Nadhani ni kwavile they are still new to the market, but with time all will be good for them!
 
Ila bora wamekuwa honest kwa abiria wao (kwa kuwarudishia pesa zao) kuliko wangeanza zile za kibongo, ooho ndege imechelewa, mara mtaondoka kesho au subirini tunawatafutia usafiri mwingine.
 
Hiyo route wameisitisha sababu ya uchache wa abiria kwa kipindi hiki ila wataianza tena mnamo mwez wa July na kuendelea,ila ukae ujue kuwa kwa asahv ni kuwa wanatarajia kuanza route ya kwenda afrika ya kusin na ndege yao moja iko huko na itakaa kwa kipindi kiref km advertisement na wiki hii mwishon au wik ijayo mwanzon wanapeleka ndege yao ingine lubumbashi km advertisement maana pia wanatarajia kuanzisha route ya Dsm-Lubumbashi! So usione hiyo route ya Kilimanjaro-Mwanza ukaona ndio wanaiiitegeeemea? Walaaah! Theny think outside the borders!
 
Hiyo route wameisitisha sababu ya uchache wa abiria kwa kipindi hiki ila wataianza tena mnamo mwez wa July na kuendelea,ila ukae ujue kuwa kwa asahv ni kuwa wanatarajia kuanza route ya kwenda afrika ya kusin na ndege yao moja iko huko na itakaa kwa kipindi kiref km advertisement na wiki hii mwishon au wik ijayo mwanzon wanapeleka ndege yao ingine lubumbashi km advertisement maana pia wanatarajia kuanzisha route ya Dsm-Lubumbashi! So usione hiyo route ya Kilimanjaro-Mwanza ukaona ndio wanaiiitegeeemea? Walaaah! Theny think outside the borders!

Huu ndo great thinker... Si kutoa lawama
 
Mkuu FASTJET wamesimamishwa ROUTE YA KIA TO MWANZA NA MWANZA TO KIA kwa muda kutokana na uchache wa abiria hususani kipindi hiki cha mvua kwa Tangazo lao ni kuwa Abiria wote ambao walikuwa wameshakata tiketi wanarudishiwa full amount walizolipa ROUTE YA KIA TO MWANZA NA MWANZA TO KIA Itaanza tena rasmi tarehe 01/ JULY/2013..Pole
 
Kumbe Ndo product za CSEE hizi... Yaani hujui hata reason ya kwa nini wamepiga stop hiyo ruti.. Wewe umeshaanza kutoa hisia zako hapa. Huduma za ndege ndo rahisi duniani sema ufisadi wa kitanzania tu hapa... Thread yako haihalalishi shirika kufa

Ni bora ukachunguza kwanza sababu za wao kusitisha

Wabongo wavivu wa kuhoji kaka, ni wepesi wa kusema "NILISEMA". Huyu jamaa hata sijui alikuwa anapataje hizo kurasa za magazeti anayoandikia, he sounds kanjanja!
 
NIlishaweka uzi hapa nikisema hili shirika muda si mrefu litabaki katika historia tu hapa nchini. Ni wababaishaji mno! Wameshachuma vya kutosha, sasa wanaanza kukata ruti ili baadaye waondoke kilaini.

Acha tabia za kusema "NILISEMA" zinakufanya uonekane Low Mkuu! Haujafanya juhudi yyoyote kujua ni kwa nini safari hizo zimesitishwa, yaani hata kwenye website ambayo ndiyo sehem rahisi zaidi kupata habari haujajisumbua kuingia, achilia mbali kuwapigia simu, leo hii unaconclude kuwa shirika linakufa. Binafsi sijaona ubabaishaji wowote wa Fastjet so far, labda kama una sababu binafsi!
 
NIlishaweka uzi hapa nikisema hili shirika muda si mrefu litabaki katika historia tu hapa nchini. Ni wababaishaji mno! Wameshachuma vya kutosha, sasa wanaanza kukata ruti ili baadaye waondoke kilaini.

Kuwa Mwandishi habari haimanishi unajua kila kitu,kama hujui mambo ya Aviation funga domo lako!Mbona Precision wamekatisha Route yao ya FAJS(J'burg) ina mana nao wanataka kufirisika?mbona PW route yao ya Kigoma na Musoma wameitoa,ina mana wamefirisika?...tatizo la waandishi wa bongo mnataka kuchambua hata habari msizo na weledi nazo!Route ya K'njro to Mwanza haina abiria..Period
 
Fastjet mmeondoa route ya kilimanjaro to mwanza wakati watu tayari wanatiket washalipia,mnasema watu warudishiwe ela zao ndio sheria za za mmamlaka ya anga zinasema hvyooo au mnafikiri kila anayepanda ndege yupo cheap kama bei zenu za nafuuuu,ktk ili mjipange sana jitaidi watu wasfiri kama mm ninatakiwa kusafiri alhmisi tar 25 to mwanza mnitafutie mbadala wa kufika mwanza...Naona amjuwi sheria za airline

Tatizo watanzania huwa hatusomi "Vigezo na Masharti", yasome kwanza kabla haujapoteza vijisenti vyako kutafuta consultancy kwa wakili! FastJet wako open na wamekurudishiA Nauli yako. Sababu ya kusitisha route hiyo mbona wamesema kaka, au hasira tu...mjue nao wanafanya biashara arifu!
 
Badala yake wangeamzisha route ya Mbeya. maana Precision wanatutesa sana na mabei yao
Kweli nauli za precisionair zinaumiza ile mbaya.Nadhani hakuna haja ya fastjet kuumiza vichwa na hao abiria kiduchu wa Kilimanjaro-Mwanza. Mbeya abiria kibao hata wakiweza ndege zote wahamishie kule sababu zitajaa kwenda na kurudi.
 
In Mbeya we need Fastjest to rescue air transport because precisionair despite being un affordable by many even those who afford it do not get service without pressure. Always tickets are full but amazingly once you seem to pay more you get it. To travel with them and atleast to be sure of a ticket you have to make booking for up to a month before travelling.
 
Kweli nauli za precisionair zinaumiza ile mbaya.Nadhani hakuna haja ya fastjet kuumiza vichwa na hao abiria kiduchu wa Kilimanjaro-Mwanza. Mbeya abiria kibao hata wakiweza ndege zote wahamishie kule sababu zitajaa kwenda na kurudi.

Niliwahi kuskia jamaa wa Fatjet wanaongelea swala la Mbeya nadhani waliongelea swala la uhakika wa mafuta pale uwanja wa songwe!
 
Niko hapa Dar international Airport, yaani ni kizungumkuti jamaa wame cancel ndege
Ya asubuhi ya kwenda KIA ambayo wengine ndio tulikuwa tunawahi kazini . Hawa jamaa biashara imeanza kuwashinda.
Kibaya zaidi hawajatufahamisha, wengine tumeamka saa 9 usiku ili tuwahi.
 
Bora ku cancel safari kuliko ku panda ndege mbovu.
Ni kweli maana walikuwa na safari tatu kulingana na wateja kwa muda fulani lakini wakipingua wanaondoa safari moja. Nadhani sasa watabaki na ile ya saa nne na na saa moja kutoka Dsm - Kia.

Halafu mbons Precion nao huwa wana cancel sana safari watu hawalalamiki?
 
cancellation ya safari ya ndege si jambo la ajabu duniani. pole kwa disappointment lakini jipe moyo utaondoka saa 4
 
Back
Top Bottom