Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Huduma za FastJet: Kero za watumiaji


Rogie achana na hawa watu waliotumwa na PW kwa malipo ya peanut, fahamu kuwa fitina na majungu ya PW at work!

huna lolote,precision wako juu nenda mele rud nyuma.
pw baby,i will die wiz you,cheap ina cost,uende mwz usirud na samaki inahusu.
 
huyu jamaa ni mpumbafu uwe unasoma kwanza terms na condition fast jet wanakwambia ukiwahi kubook ticket ndio utapata cheap ticket but ww unataka kuondoka kesho still unataka elfu 3 ...---- kweli MR..LOOK ..jua kuwa fast jet ni waingereza na ndio system za europe zipo hivyo ..tatizo watanzania mnatakwa mteremko kila kitu ..ww endelea na PW lako sisi wajanja tunaenda na fastjet kwani huwezi kukaa saa moja bila kula ..unalalamika sana juu ya chakula wakati kwenye foleni za daladala unakaa masaa 3 bila hata kunywa maji ..Pumbuff zenu wote mnao ponda fastjet
 
Kila nikitazama huduma zinazotolewa na FastJet, sioni kama ina uhai mbele ya safari. Precision nadhani wamejiimarisha, na wana ubunifu wa kweli wa kibiashara.

FastJet wana bei nafuu kuliko Precision, lakini saikolojia ya binadamu ni ya ajabu na hii itawasaidia wapinzani wa FastJet. Ukiingia kwenyue FastJet, unalazimika kununua maji (hata kama ni ya kunywea dawa), soda, bia, kahawa au chakula chochote. Ukiwa na mzigo hadi kilo 20, ni kazima ulipe dola 5 za Marekani. Kuanzia kilo 21 na kuendelea, kila inayozidi unapaswa kulipia dola 5. Ukiwa na ka-perfume au lotion, hata kama ni mikebe miwili, unapaswa ku-check in kwa kulipia dola 5( bila kujali ukubwa au uzito wa kitu).

Wenzao Precision wanachofanya ni kwamba nauli zao ziko juu, lakini ndani ya ndege wanatoa maji, pombe, soda na vyakula japo ni vya ujanja ujanja (hasa chakula). Wanaruhusu abiria kuwa na mzigo wenye uzito wa hadi kilo 30! Hii imewafanya abiria wanaotoka Mwanza wawe na samaki wengi. Ndoo zenye samaki ndizo zinazopamba Precision. FastJet hawataki kusikia kitu "ndoo za samaki".

Kwa mazingira yetu ya Kiafrika, unaona hapa Precision wana nafasi nzuri zaidi kibiashara. Kulithibitisha hili, nimeanza kuona FastJet wakianza kukosa wateja. Kwa mtazamo tu wa kawaida, sioni kama hawa jamaa watadumu kwenye soko. Kama wana madeni, TRA wafanye haraka! Hawa wanaweza kuwa kama Meridian Biao Bank! Wanaweza kutuacha kwenye mataa!!

Ni myazamo wangu tu.
 
hayo uliyo andika ayawezi sababisha fastjet kufa....au umetumwa.
 
hayo uliyo andika ayawezi sababisha fastjet kufa....au umetumwa.

Nimejaribu kutoa maelezo ya kile ninachodhani kinaweza kutokea. Jaribu kumuiga mtu kama Sheikh Yahya ambaye walau aliweza kutoa maelezo ya utabiri wake - wewe naona umeibuka kavukavu tu kuwa haifi! Jaribu kueleza kwanini haiwezi kufa kama mimi nilivyotoa sababu za kuwapo kwa kifo cha kampuni hiyo.
 
Fastjet lazima itakufa
hawako reliable that much kwenye price
watu wanne wanapanda ndege na kila mtu analipa kwa bei yake
 
Ni tafakari sahihi na sio mbaya kuwa na mtazamo huo.

Watu wanaacha samaki na perfume na lotion zao Airport pindi wanapokumbana na adha hii.

Kwa wale ambao pesa siyo ya manati wakipanda Fastjet na kuona hayo huwa hawarudi tena, utasikia mtu anasema bia ya kopo Kilimanjaro Tsh 5,000/= au kikombe cha chai 1,500/= kwa wenye pesa ya mawazo kama mimi nabaki kimya, siwezi hata kuuliza tena.

Kila njambo lina mwisho, watabadilika, ngoja wakusanye wateja kwanza na kulikamata soko watabadilika na kuongeza gharama zao na kuboresha huduma zao. Hii inanikumbusha mwanzo wa ATM za NMB bank, ilikuwa bure kuchukuwa pesa, watu tukamiminika huko, tukafaidi bure wakati huo, leo zinalipiwa na hata kuweka pesa kwenye account ambayo siyo yako unakatwa kiasi fulani cha pesa, hii yote ni biashara tu.
 
Napanda sana hizi ndege za low budget kama Ryanair na Easy Jet na kila nikipanda ndege zinakuwa zinajaa sana. Sidhani kama huduma ya vinywaji ikitolewa itashindana na unafuu wa bei ya nauli. Kwa taarifa yako tu ni hivi karibuni shirika la Ryanair lilinunua ndege mpya 175 kwa vile biashara yao imeshamiri sana. Kwa taarifa zaidi soma hii habari hapa chini:

Ryanair to buy 175 new planes in welcome lift for Boeing | Business | The Guardian
 
Mkuu hayo unayoyaongea ndiyo siri na upekee wa fastjet ukilinganisha na mashirika mengine.mfano precission,unapolipa nauli unakuwa umelipia chakula,vinywaji na usafiri wa mizigo,bila kujali km unahitaji huduma hizo au hapana. Ubebe mizigo au usibebe utakuwa umeilipia. Lakini kwa fastjet unalipia huduma unayohitaji.km una mzigo utaulipia,km unahitaji maji utayalipia.km huitaji huduma hizo basi hauzilipii kinyumena wengine. Hiyo ndiyo ndiyo nafuu unayoiona kwenye nauli. Swala la pafyumu ni swala la watu wa usalama! Hata ukipanda precission km una pafyumu kubwa(over 100ml) utapata usumbufu pale checking point.
 
mleta uzi am sorry to say but hana xposure jamani uzi zingine ni kujichora tu hahaha....google for low budget airlines na angalia how they operate world wide e.g Ryanair na Easy Jet etc etc tena uyo easy jet ndo kaka wa fast jet.
 
Mkuu hayo unayoyaongea ndiyo siri na upekee wa fastjet ukilinganisha na mashirika mengine.mfano precission,unapolipa nauli unakuwa umelipia chakula,vinywaji na usafiri wa mizigo,bila kujali km unahitaji huduma hizo au hapana. Ubebe mizigo au usibebe utakuwa umeilipia. Lakini kwa fastjet unalipia huduma unayohitaji.km una mzigo utaulipia,km unahitaji maji utayalipia.km huitaji huduma hizo basi hauzilipii kinyumena wengine. Hiyo ndiyo ndiyo nafuu unayoiona kwenye nauli. Swala la pafyumu ni swala la watu wa usalama! Hata ukipanda precission km una pafyumu kubwa(over 100ml) utapata usumbufu pale checking point.

Mkuu,

Siku hizi tunatumia sana 'no frills' ama 'budge airlines' kwa safari fupi fupi na zisizokuwa za muda mrefu. Mara nyingi kama mtu unasafari ya siku moja ama mbili, huna mzigo mkubwa zaidi ya begi dogo la mkononi hakuna haja ya kulipia gharama kubwa. Binafsi nimetumia sana Easyjet na Ryanair na sioni shida yoyote ya kuvumilia saa moja ama masaa mawili bila kunywa ama kula kitu. Ikibidi nile chochote basi sitanung'unika kulipa dola chache kwa huduma hiyo, mradi bei ya nauli ni nafuu. Na sidhani kama ni kweli utabiri wako wa kuanguka kwa Easyjet utatimia, kwa huku niliko nayaona jinsi mashirika hayo yanavyowapa changamoto kubwa sana wenye mashirika ya ndege makubwa duniani, mpaka nayo yameshaanza kufikiria namna gani wafanye kupunguza gharama za uendeshaji.
Kuhusu 'liquids' usilaumu haraka Easyjet, hiyo ni sheria iliyotokana na kuongezeka kwa matishio ya ugaidi. Hakuna shirika lolote linalofanya huduma zake Ulaya linalokubali kubeba mizigo yenye mfumo wa majimaji 'liquid form' iliyozidi ml 100.

EU Aviation Cabin Baggage Security Regulations for all Passengers?
 
Mdau nadhani umemalizia vizuri sana kusema huo ndio mtazamo wako. Hii imetoa nafasi kwa mtu mwenye hoja nyingine naye atoe kama mtazamo wake. Kwangu mie Fast Jet haiwezi kufa kwa sababu za kibiashara (yaani kukosa wateja). Hii ni kwasababu Business Model ya FastJet ni toafuti kabisa na ya Precision. Hawa wao wamejikita kwenye segment ya Price Sensitive Customers. Pyschology na behaviour za hawa wateja zinaangalia tu price, hayo mengine sio issue sana kwao. Kwa mazingira ya Tanzania hili kundi bado ni kubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu kuwa duni na pia halikuwa limezoea kupanda ndege, hivyo uwepo wa FastJet kwao ni kama wamepanda chati kutoka kwenye mabasi.
Kundi hili hata iweje haliwezi kulipa nauli kama ya Precision ni bora apande basi. Fanya utafiti mdogo tu, fastjet ikishuka pale JKNIA angalia reaction ya tax drivers. Hata hawasumbuki maana customers wa fastjet wakitua pale huwahi nje kuchukua daladala. So wateja hawa hawawezi kukauka na bado hata wateja waliokuwa wanajututumua kulipa nauli za precision wengine wanashift kwenda fastjet. Kwa hivyo fastjet hawawezi kufa kwa sababu za kibiashara, labda madeni waliyorithi toka fly540 au hujuma nyingine maana uwepo wa shareholders wenye conflict of interest (viongozi) kwenye precision ni sehemu ya matatizo yaliyoiua Air Tanzania.
 
Kila nikitazama huduma zinazotolewa na FastJet, sioni kama ina uhai mbele ya safari. Precision nadhani wamejiimarisha, na wana ubunifu wa kweli wa kibiashara.
FastJet wana bei nafuu kuliko Precision, lakini saikolojia ya binadamu ni ya ajabu na hii itawasaidia wapinzani wa FastJet. Ukiingia kwenyue FastJet, unalazimika kununua maji (hata kama ni ya kunywea dawa), soda, bia, kahawa au chakula chochote. Ukiwa na mzigo hadi kilo 20, ni kazima ulipe dola 5 za Marekani. Kuanzia kilo 21 na kuendelea, kila inayozidi unapaswa kulipia dola 5. Ukiwa na ka-perfume au lotion, hata kama ni mikebe miwili, unapaswa ku-check in kwa kulipia dola 5( bila kujali ukubwa au uzito wa kitu).
Wenzao Precision wanachofanya ni kwamba nauli zao ziko juu, lakini ndani ya ndege wanatoa maji, pombe, soda na vyakula japo ni vya ujanja ujanja (hasa chakula). Wanaruhusu abiria kuwa na mzigo wenye uzito wa hadi kilo 30! Hii imewafanya abiria wanaotoka Mwanza wawe na samaki wengi. Ndoo zenye samaki ndizo zinazopamba Precision. FastJet hawataki kusikia kitu "ndoo za samaki". Kwa mazingira yetu ya Kiafrika, unaona hapa Precision wana nafasi nzuri zaidi kibiashara. Kulithibitisha hili, nimeanza kuona FastJet wakianza kukosa wateja. Kwa mtazamo tu wa kawaida, sioni kama hawa jamaa watadumu kwenye soko. Kama wana madeni, TRA wafanye haraka! Hawa wanaweza kuwa kama Meridian Biao Bank! Wanaweza kutuacha kwenye mataa!!

Ni myazamo wangu tu.

Mkuu,

Kwa mtazamo wangu Fastjet itaendelea kuwepo kuwahudumia watu wenye safari za muda mfupi na ambao hawalalamiki kwa kukosa kunywa soda kwa muda wa masaa mawili. Binafsi nimetumia sana usafiri wa Easyjet na Ryanair kila ninapokuwa na safari ya siku mbili tatu ambayo sina lazima ya kubeba mzigo zaidi ya begi langu la mkononi. Kwa namna bei zao zilivyo poa sioni kwa nini nilalamike.

Cheap Flights - Book cheap flights to Europe with Ryanair
 
na kuongezea kila mwezi wanabeba 40,000 abiria piga hesabu kwa siku ni wangap? more than 1,000 iyo ndo inaitwa budget airlines...ata supermarjet kiwanja unakuta kwa mfano kahawa haina nembo yoyote (no frills) inauzwa bei rahisi na kuna nyingine ina nembo ya let say nescafe inauzwa bei ya juu lkn kahawa ni ile ile ila unakuwa umelipa zaidi koz of that label so chagua ni lako ukiingia supermarket!!
 
Low-cost airline principles:


All Low-cost airlines have a different service offering, by definition they offer some or most of the below.

Standardized fleet (Lower training, maintenance costs. purchase aircraft in bulk)
Remove non-essential features (Non-reclining seats, no pilot autothrottle, no frequent flyer schemes)
Use of secondary airports (Lower landing fees, marketing support)
Rapid turnaround (Less time on the ground, more flights per day)
On-line ticket sales (No call-centres or agents)
On-line check in (Fewer check in desks)
Impose baggage charges (Less bags mean quicker loading of aircraft, extra revenue for checked bags)
Do not use jet-ways (Avoid extra airport charges)
Have staff do multiple jobs (Cabin crew also check tickets at the gate, clean aircraft)
Hedge fuel costs (Buy fuel in advance when it is cheaper)
Charge for all services (On board services, reserved seating, extra baggage)
Do not use reserved seating (Slows down the loading of the aircraft)
Fly point to point (Passenger transfers to other flights not accommodated)
 
Kila nikitazama huduma zinazotolewa na FastJet, sioni kama ina uhai mbele ya safari. Precision nadhani wamejiimarisha, na wana ubunifu wa kweli wa kibiashara.
FastJet wana bei nafuu kuliko Precision, lakini saikolojia ya binadamu ni ya ajabu na hii itawasaidia wapinzani wa FastJet. Ukiingia kwenyue FastJet, unalazimika kununua maji (hata kama ni ya kunywea dawa), soda, bia, kahawa au chakula chochote. Ukiwa na mzigo hadi kilo 20, ni kazima ulipe dola 5 za Marekani. Kuanzia kilo 21 na kuendelea, kila inayozidi unapaswa kulipia dola 5. Ukiwa na ka-perfume au lotion, hata kama ni mikebe miwili, unapaswa ku-check in kwa kulipia dola 5( bila kujali ukubwa au uzito wa kitu).
Wenzao Precision wanachofanya ni kwamba nauli zao ziko juu, lakini ndani ya ndege wanatoa maji, pombe, soda na vyakula japo ni vya ujanja ujanja (hasa chakula). Wanaruhusu abiria kuwa na mzigo wenye uzito wa hadi kilo 30! Hii imewafanya abiria wanaotoka Mwanza wawe na samaki wengi. Ndoo zenye samaki ndizo zinazopamba Precision. FastJet hawataki kusikia kitu "ndoo za samaki". Kwa mazingira yetu ya Kiafrika, unaona hapa Precision wana nafasi nzuri zaidi kibiashara. Kulithibitisha hili, nimeanza kuona FastJet wakianza kukosa wateja. Kwa mtazamo tu wa kawaida, sioni kama hawa jamaa watadumu kwenye soko. Kama wana madeni, TRA wafanye haraka! Hawa wanaweza kuwa kama Meridian Biao Bank! Wanaweza kutuacha kwenye mataa!!

Ni myazamo wangu tu.[/QUOTES
Sina uhakika kama unajua unachoandika.....fastjet itakufa kama meridian Bank kwa kutobeba samaki...Nahisi. I hope you are not suggesting kwamba fastjet haitakufa kama itabeba samaki MWZ.
 
Kila nikitazama huduma zinazotolewa na FastJet, sioni kama ina uhai mbele ya safari. Precision nadhani wamejiimarisha, na wana ubunifu wa kweli wa kibiashara.
FastJet wana bei nafuu kuliko Precision, lakini saikolojia ya binadamu ni ya ajabu na hii itawasaidia wapinzani wa FastJet. Ukiingia kwenyue FastJet, unalazimika kununua maji (hata kama ni ya kunywea dawa), soda, bia, kahawa au chakula chochote. Ukiwa na mzigo hadi kilo 20, ni kazima ulipe dola 5 za Marekani. Kuanzia kilo 21 na kuendelea, kila inayozidi unapaswa kulipia dola 5. Ukiwa na ka-perfume au lotion, hata kama ni mikebe miwili, unapaswa ku-check in kwa kulipia dola 5( bila kujali ukubwa au uzito wa kitu).
Wenzao Precision wanachofanya ni kwamba nauli zao ziko juu, lakini ndani ya ndege wanatoa maji, pombe, soda na vyakula japo ni vya ujanja ujanja (hasa chakula). Wanaruhusu abiria kuwa na mzigo wenye uzito wa hadi kilo 30! Hii imewafanya abiria wanaotoka Mwanza wawe na samaki wengi. Ndoo zenye samaki ndizo zinazopamba Precision. FastJet hawataki kusikia kitu "ndoo za samaki". Kwa mazingira yetu ya Kiafrika, unaona hapa Precision wana nafasi nzuri zaidi kibiashara. Kulithibitisha hili, nimeanza kuona FastJet wakianza kukosa wateja. Kwa mtazamo tu wa kawaida, sioni kama hawa jamaa watadumu kwenye soko. Kama wana madeni, TRA wafanye haraka! Hawa wanaweza kuwa kama Meridian Biao Bank! Wanaweza kutuacha kwenye mataa!!

Ni myazamo wangu tu.

Nimeshapanda Fastjet takribani mara 3,nilikuwa na kibegi kdg na sikukilipia,na WAMETANGAZA KUWA KWA SASA WAMEANZA KUBEBA SAMAKI(source: www.fastjet.com). Hivi kweli kusafiri kutoka Mwanza unahitaji kunywa bia/soda!!??
 
Back
Top Bottom