cancellation ya safari ya ndege si jambo la ajabu duniani. pole kwa disappointment lakini jipe moyo utaondoka saa 4
Nakubali si jambo la ajabu, lakini taarifa inabidi itolewe atleast 24 kabla ya safari.
cancellation ya safari ya ndege si jambo la ajabu duniani. pole kwa disappointment lakini jipe moyo utaondoka saa 4
Ni kweli maana walikuwa na safari tatu kulingana na wateja kwa muda fulani lakini wakipingua wanaondoa safari moja. Nadhani sasa watabaki na ile ya saa nne na na saa moja kutoka Dsm - Kia.
Halafu mbons Precion nao huwa wana cancel sana safari watu hawalalamiki?
Nadhani katika hili kuna shida, mpaka sasa sijaona njia muafaka zaidi ya kuwafikia wateja wengi kwa wakati mmoja bila kuleta madhara kibiashara, mf ukitangaza kwenye TV's unaweza kujikuta unapiteza wateja wengi kwa wakati mmoja tofauti na wakija wakapewa taarifa.Nakubali si jambo la ajabu, lakini taarifa inabidi itolewe atleast 24 kabla ya safari.
Unakumbuka atcl ilitoboka kioo cha nbele?
Nakubali si jambo la ajabu, lakini taarifa inabidi itolewe atleast 24 kabla ya safari.
Niko hapa Dar international Airport, yaani ni kizungumkuti jamaa wame cancel ndege
Ya asubuhi ya kwenda KIA ambayo wengine ndio tulikuwa tunawahi kazini . Hawa jamaa biashara imeanza kuwashinda.
Kibaya zaidi hawajatufahamisha, wengine tumeamka saa 9 usiku ili tuwahi.
Pole ndg yangu ila kumbuka rahisi aghali. Hayo mafast jet yenu yatawatoa roho sikumoja.
Sio kweli 24hrs kabla ya safari ..
Kuna checks nyingine unafanya lisaa au masaa mawili kabla ya safari ..
mfano mdogo tu umewasha ndege una subiri Ts & PS ( temperature na Pressure ) instruments
ziende kwenye "Green range" au ziwe kwenye range inayotakiwa kabla ya flight na haikutokea hivyo.
Inabidi wa cancel flight kuangilia na kuchunguza nini kulikon ...
Hapo chachaa'''''Hebu tupe sababu za kusupport point yako hiyo fastjet itatutoaje roho,manake mie nilipanda Airbus yao moja ni kali kuliko hivyo vikopo vyenu vya precision.
Napendaga watu wajuzi kuongelea uzoefu, big-up shastiSio kweli 24hrs kabla ya safari ..
Kuna checks nyingine unafanya lisaa au masaa mawili kabla ya safari ..
mfano mdogo tu umewasha ndege una subiri Ts & PS ( temperature na Pressure ) instruments
ziende kwenye "Green range" au ziwe kwenye range inayotakiwa kabla ya flight na haikutokea hivyo.
Inabidi wa cancel flight kuangilia na kuchunguza nini kulikon ...
Una lako jamboHivi Afrodenzi weye Rubani? Huwa naona unaenda kwenye details hasa. Naomba unifundishe
kuendesha, nataka kurusha vile vidogodogo kama ya BS........Unifundishe wewe tu nahisi nitaelewa haraka.
Bora ku cancel safari kuliko ku panda ndege mbovu.
Una lako jambo
soko la Tz linaonekana ni zuri kwa kila kitu na ukifanya feasibility study unaona neema nje nje lakini ukiingia kwenye ground mambo ni tofauti. Hii ndio sababu hata kampuni nyingi zinazowekeza hapa wanajitahidi kubuni strategy ya ziada ya 'Tanzania strategy' mbali na zile zinazotumika kwingineko duniani. Mojawapo ni 'do not keep time'!Ni kweli maana walikuwa na safari tatu kulingana na wateja kwa muda fulani lakini wakipingua wanaondoa safari moja. Nadhani sasa watabaki na ile ya saa nne na na saa moja kutoka Dsm - Kia.
Halafu mbons Precion nao huwa wana cancel sana safari watu hawalalamiki?
Hivi Afrodenzi weye Rubani? Huwa naona unaenda kwenye details hasa. Naomba unifundishe
kuendesha, nataka kurusha vile vidogodogo kama ya BS........Unifundishe wewe tu nahisi nitaelewa haraka.
Tell him.
Mie huwa nashukuru sana nikisikia ndege iko cancelled nikiwa ardhini, sitaki niambiwe ndege mbovu nikiwa hewani.
Niko hapa Dar international Airport, yaani ni kizungumkuti jamaa wame cancel ndege
Ya asubuhi ya kwenda KIA ambayo wengine ndio tulikuwa tunawahi kazini . Hawa jamaa biashara imeanza kuwashinda.
Kibaya zaidi hawajatufahamisha, wengine tumeamka saa 9 usiku ili tuwahi.