Selfishness inatusumbua sana wa tz ,mara nyingi mada za kuilalamikia fast jet huwa zinatoka kwa watu ambao ni wateja wa precison air , simply watu ambao pesa kwao sio issue sana.
Ukweli ni kuwa kuna watu wengi ambao ndege wamepanda baada ya ujio wa fast jet ,na hawataweza kumudu gharama za usafiri wa anga ikitokea fast jet wataondoka .
Kikubwa ninachokiona ni kuwa kuna watu wanahisi ile sifa ya kutumia usafiri wa anga ilikuwa inawastahili wao tu ,na sasa inapotea kwa sababu sasa kila mtu hata wa chini anaweza kuafford usafiri huo! Fast jet wako clear sana kwenye term and condition , lakini utakuta watu wanalalamikia kulipishwa mizigo na onboard food & refreshment . Check in times plus journey times kwa karibu destination zote za fast jet nchini hazizidi masaa manne ,kwa wenye shida ya kusafiri tu chakula hakiwezi kuwa issue .
Nashangaa safety issue ambayo ni muhimu sana kwenye usafiri wa ndege na ambayo Fastjet ana rank juu sana ukilinganisha na Precision air huwa haizungumziwi na watu hawa kama moja ya credit kwa fast jet .