Huduma ya internet ya bei nafuu zaidi tz 2500 tu!

Status
Not open for further replies.

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Kampuni ya Yecco(T)Ltd inakuarifu kuwa sasa utapata modem za kisasa za internet ambapo utakuwa unalipa elfu mbili miatano tu kwa mwezi! Contact 0715865544
 
coverage...?

MB au GB ngapi ... toa full info hapa JF ....sio mpaka uingie gharama za kupiga smu kupata details
 
coverage...?

MB au GB ngapi ... toa full info hapa JF ....sio mpaka uingie gharama za kupiga smu kupata details
Asante broda kwa swali hili!
Airtel wanalipisha kiasi hichohicho ambapo wanasema ni kwa mwezi, ambapo wanatoa 400MBS, lakini mtu anaweza kuzimaliza MBs hizo ndani ya siku 10, na akanunua zingine!
Je hawa wanatoa MBs ngapi, au ni unlimited service?!
 
Airtel nao wezi, kimahesabu kwa Tanzania 1GB ni Tsh 5000 hii ni kwa makampuni yote yanayotoa internet. Hivyo 2500 ilipasa tupate 500MB. Hivyo kila bundle ikalkuleti ukichukulia 1GB=5000 Tshs.
 
Airtel nao wezi, kimahesabu kwa Tanzania 1GB ni Tsh 5000 hii ni kwa makampuni yote yanayotoa internet. Hivyo 2500 ilipasa tupate 500MB. Hivyo kila bundle ikalkuleti ukichukulia 1GB=5000 Tshs.

mkuu ... hii ni bei elekezi kutoka authority gani..?
 
jamani mbona haya mambo kama tarehe 1 April vile.
Naombeni website ya yecco ili tumalize zogo
 
mkuu ... hii ni bei elekezi kutoka authority gani..?

kama ulikuwa hufahamu ndo ufahamu sasa. 1GB=5000 kwa ilivyo sasa na ni kwa makampuni yote uyajuayo yanayotoa bundle cha muhimu tupige kelele ishuke!
 
Kampuni ya Yecco(T)Ltd inakuarifu kuwa sasa utapata modem za kisasa za internet ambapo utakuwa unalipa elfu mbili miatano tu kwa mwezi! Contact 0715865544

muanzisha mada anaitwa yericko na kampuni inaitwa yecco........ naomba muongozo mheshimiwa spika
 
Kweli Watanzania wote ni Misukule.
Yaani wametutongoza na kutulainisha kwamba Internet nilazima iuzwe kwa MB nasi tumelainika na kuingia Gauge.

Simu tunalanguliwa kwa kuuziwa muda wa kimagendo tumekubali na kuridhika.

Mjadala mzima kuhusu namna tunavyouziwa huduma ya Simu na Internet umeingia Gundu na haukubaliki kabisa.

Internet inatakiwa kuuzwa kutokana na speed yake ya kudownload vitu au ku upload. Mambo ya capacity ni yao ndani kwa ndani.


Ni mpka tutakapo amka na kuwakabiri wezi hawa sivyo tutaendelea kufa kifo cha Mchicha.
 
Kweli Watanzania wote ni Misukule.
Yaani wametutongoza na kutulainisha kwamba Internet nilazima iuzwe kwa MB nasi tumelainika na kuingia Gauge.

Simu tunalanguliwa kwa kuuziwa muda wa kimagendo tumekubali na kuridhika.

Mjadala mzima kuhusu namna tunavyouziwa huduma ya Simu na Internet umeingia Gundu na haukubaliki kabisa.

Internet inatakiwa kuuzwa kutokana na speed yake ya kudownload vitu au ku upload. Mambo ya capacity ni yao ndani kwa ndani.


Ni mpka tutakapo amka na kuwakabiri wezi hawa sivyo tutaendelea kufa kifo cha Mchicha.

kweli kabisa, yapasa tuuziwe kwa speed sio ilivyo sasa
 
kama ulikuwa hufahamu ndo ufahamu sasa. 1GB=5000 kwa ilivyo sasa na ni kwa makampuni yote uyajuayo yanayotoa bundle cha muhimu tupige kelele ishuke!

mi napata hzo MB 400 na sikumaliza! I think i have more than enough, na ninashinda mtandaoni na kulala pia!
 
Kweli Watanzania wote ni Misukule.
Yaani wametutongoza na kutulainisha kwamba Internet nilazima iuzwe kwa MB nasi tumelainika na kuingia Gauge.

Simu tunalanguliwa kwa kuuziwa muda wa kimagendo tumekubali na kuridhika.

Mjadala mzima kuhusu namna tunavyouziwa huduma ya Simu na Internet umeingia Gundu na haukubaliki kabisa.

Internet inatakiwa kuuzwa kutokana na speed yake ya kudownload vitu au ku upload. Mambo ya capacity ni yao ndani kwa ndani.


Ni mpka tutakapo amka na kuwakabiri wezi hawa sivyo tutaendelea kufa kifo cha Mchicha.

hili nalo neno!
 
Hata hizo zinazoitwa "unlimited" haziko km ziitwavyo. Inakuwaje ziwe unlimited huku unakuwa limited na MB/GB fulani?!
 
mimi niko hapa china ninalipa tsh.2000 kwa 10GB na average kwa mwezi nahitaji kama 15-18GB ili kukidhi mahitaji yangu sasa jamani bado tunaongelea mambo ya MB tena karne hii? mimi nahisa mb hazitoshi unatakiwa ufikirie kununua package kubwa , na tofauti iliyopo sisi tunalipa kwa mwezi na kwa mwaka kama unataka unafuu unalipa maramoja unaenjoy kwa raha zako . Chamuhimu inabidi ufanye juu chini bei zishuke home
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom