Ndugu zangu ninahitaji kuunganishwa na huduma ya internet ya TTCL nyumbani kwangu.
Kwakweli ni aibu kusema nilikuwa natumia huduma ya Zantel ambayo ilikuwa nzuri na nilipopata changamoto au hitilafu walikuwa wanakuja haraka sana kunipa huduma sema gharama ilikuwa juu kwani nilikuwa nalipa 150,000 kwa mwezi.
Nilienda kwa rafiki yangu mmoja nikakuta anatumia internet ya TTCL na akanishawishi kwa kuwa gharama ni nafuu yani 50,000 kwa mwezi
Cha ajabu nimefuatilia kweli nikaunganishwa ila kwa miezi mitatu sasa imepata hitilafu na sipati huduma na nimefuatilia siku zote hizi bila ya mafanikio
Naomba wadau wa hii kampuni yetu ya kizalendo wanisaidie kwa hili, kama utendaji wenyewe ndio huu mama ana kazi kuyafanya haya mashirika yetu yakawa na tija na kushindana kwenye soko maana hao waliopewa dhamana hawajali hata kidogo
Kwakweli ni aibu kusema nilikuwa natumia huduma ya Zantel ambayo ilikuwa nzuri na nilipopata changamoto au hitilafu walikuwa wanakuja haraka sana kunipa huduma sema gharama ilikuwa juu kwani nilikuwa nalipa 150,000 kwa mwezi.
Nilienda kwa rafiki yangu mmoja nikakuta anatumia internet ya TTCL na akanishawishi kwa kuwa gharama ni nafuu yani 50,000 kwa mwezi
Cha ajabu nimefuatilia kweli nikaunganishwa ila kwa miezi mitatu sasa imepata hitilafu na sipati huduma na nimefuatilia siku zote hizi bila ya mafanikio
Naomba wadau wa hii kampuni yetu ya kizalendo wanisaidie kwa hili, kama utendaji wenyewe ndio huu mama ana kazi kuyafanya haya mashirika yetu yakawa na tija na kushindana kwenye soko maana hao waliopewa dhamana hawajali hata kidogo