Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Toa hoja acha mambo ya kipumbavu na mahaba, huu uzi unahitaji akili nyingi sana, nafikiri wewe wewe ndo utakuwa wa kwanza kutoa vikoments vya aina hiyo. Uzi umekuzidi kimo huu bosi , kuwa mpole hatuendi kwa mahaba humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaona akili nyingi kwenye huu uzi zaidi ya watu kuweka hoja za kuambiwa na za kugoogle kwenye internet.

Mtu anayesema xiaomi ni mbadala wa iphone ndo mwenye akili nyingi?

Xiaomi. Vivo. Oppo Huawei. Samsungu. HTC. LG. Lenovo. Hizo zote ni simu za jamii moja. Unapata wapi hizo akili nyingi za kusema ni mbadala wa iphone?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutufunga kamba, Silicon siyo expensive kama unavyodai, inapatikana kwa wingi sana duniani (mchanga) na haihitaji processing kubwa kuipata.

Na hiyo kudai China wanaunganisha tuu, hiyo ni kawaida kwa makampuni mengi sana, hata kampuni za magari, hazi tengenezi kila kitu wenyewe, mfano; utaona baadhi ya magari ya GM (US) yanatumia ABS module na multi port injection system kama Motronic kutoka Bosch (Germany) ambayo utakuta inatumia chipset kutoka Japan. Kadhalika Boeing pia wanatumia Engine za Rolls-Royce (UK) na GE (US).

Duniani kutegemeana, ukiona mwenzako mjuzi katika kitu kimoja au anatengeneza kwa gharama nafuu unaazima ujuzi, maisha yanaendelea.
Fuatilia smarter za silicon na germanium ziko wapi...!!!

Kama ni simple kila nchi ingeweza kutengeneza simu ....

Micro processing devices nyingi zinatengenezwa Singapore na South korea....

Processor na transistor za iPhone zinatengenezwa South korea na kwanini siyo marekani huko huko..??..

Nchi nyingi kama China anafanya electronic assembling devices na si kingine...

Kajitahidi sana ni kutengeneza clone microtransistor ambazo zinakuwa "clone" za simu original...

Hizi simu ambazo tunapata huku toka dubai au china ni clone phones from resmarted silicon conductors ..kwa maelezo zaidi waulize wanaofata mzigo wa iPhone China watakupa ABC kuhusu hiyo kitu...

Mwanzoni hata mimi niliamini mchina anatengeneza kweli but nimekuja kugundua anafanya assembling katika level kubwa sana na kajitahidi sana ni kuwa na uwezo wa kuassemble clone conductors za silicon kisha kupata a complete assembled phone( clone)....kwenye soko la simu huko china simu zinazoletwa huku Africa zinaitwa "clone" means copy ya original but its not an original one.

Juzi juzi ndo kapata smarter ya silicon toka sumsung group( south korea) ambapo sasa ndo anaanza kutengeneza micro processor katika grade ya juu na itakuwa katika ubora wa silicon kama zilivyo simu za iPhone na Sumsung pamoja na Nokia toka Taiwan...

Ndo mana hata Finland wamempa smarter ya silicon sasa hivi na ndo mana tumeona toleo jipya la Nokia android clone imetengenezwa ( assembling) China ila Microprocessor zote ni Singapore na south korea...

Simu mpya ya Nokia ukisoma kwenye maandishi wanasema imetengenezwa China lakini sio kweli..ili kukudhihilishia kuwa China anafanya assembling soma manufacturer wa simu yenyewe ,ni Faxconn toka Taiwan huko ila China ndo kaingia ubia wa kufanya assembling kwa sababu mashine za kufanya assembling zipo China huko ...

Nitakuwekea hapa chini ujue kwanini simu za Nokia zinafanyiwa release China ila kiwanda chake kipo Taiwan na Singapore huko ndo vinatengenezwa vifaa vyake...

Na haya ni makubaliano maalumu kati ya serikali ya China na nchi zenye uwezo mkubwa katika mambo ya kielectronic kumpa uwezo nae wa kuinua income yake ila sio kwamba assembling inashindwa kufanyika hata huko Nchi za Juu...

Usione kama watu hatujui ila tunashangaaa Unavyoipaisha China kama vile jamaa anafanya kila kitu... anahangaika na vitisho vya U.S.A kwa sababu hatafanya kazi kama hiyo..na akifanya kazi hiyo ndo pesa anapata kupitia manunuzi ya simu hizo kwao na ndo supplier wa African countries na Asia..
 
Unaweza ukapitia na maelezo kidogo hapa ili uone kwanini Simu imeoneshwa kufanyiwa release China ila Manufacturer ni Taiwan na kampuni haipo China..

Ukiambiwa China anafanya assembling usiwe unabisha kwa nguzu zote as if una data zote...
PhotoGrid_1552168340258.jpeg
PhotoGrid_1552168290682.jpeg
PhotoGrid_1552168386909.jpeg
 
Fuatilia smarter za silicon na germanium ziko wapi...!!!

Kama ni simple kila nchi ingeweza kutengeneza simu ....

Micro processing devices nyingi zinatengenezwa Singapore na South korea....

Processor na transistor za iPhone zinatengenezwa South korea na kwanini siyo marekani huko huko..??..

Nchi nyingi kama China anafanya electronic assembling devices na si kingine...

Kajitahidi sana ni kutengeneza clone microtransistor ambazo zinakuwa "clone" za simu original...

Hizi simu ambazo tunapata huku toka dubai au china ni clone phones from resmarted silicon conductors ..kwa maelezo zaidi waulize wanaofata mzigo wa iPhone China watakupa ABC kuhusu hiyo kitu...

Mwanzoni hata mimi niliamini mchina anatengeneza kweli but nimekuja kugundua anafanya assembling katika level kubwa sana na kajitahidi sana ni kuwa na uwezo wa kuassemble clone conductors za silicon kisha kupata a complete assembled phone( clone)....kwenye soko la simu huko china simu zinazoletwa huku Africa zinaitwa "clone" means copy ya original but its not an original one.

Juzi juzi ndo kapata smarter ya silicon toka sumsung group( south korea) ambapo sasa ndo anaanza kutengeneza micro processor katika grade ya juu na itakuwa katika ubora wa silicon kama zilivyo simu za iPhone na Sumsung pamoja na Nokia toka Taiwan...

Ndo mana hata Finland wamempa smarter ya silicon sasa hivi na ndo mana tumeona toleo jipya la Nokia android clone imetengenezwa ( assembling) China ila Microprocessor zote ni Singapore na south korea...

Simu mpya ya Nokia ukisoma kwenye maandishi wanasema imetengenezwa China lakini sio kweli..ili kukudhihilishia kuwa China anafanya assembling soma manufacturer wa simu yenyewe ,ni Faxconn toka Taiwan huko ila China ndo kaingia ubia wa kufanya assembling kwa sababu mashine za kufanya assembling zipo China huko ...

Nitakuwekea hapa chini ujue kwanini simu za Nokia zinafanyiwa release China ila kiwanda chake kipo Taiwan na Singapore huko ndo vinatengenezwa vifaa vyake...

Na haya ni makubaliano maalumu kati ya serikali ya China na nchi zenye uwezo mkubwa katika mambo ya kielectronic kumpa uwezo nae wa kuinua income yake ila sio kwamba assembling inashindwa kufanyika hata huko Nchi za Juu...

Usione kama watu hatujui ila tunashangaaa Unavyoipaisha China kama vile jamaa anafanya kila kitu... anahangaika na vitisho vya U.S.A kwa sababu hatafanya kazi kama hiyo..na akifanya kazi hiyo ndo pesa anapata kupitia manunuzi ya simu hizo kwao na ndo supplier wa African countries na Asia..

Sent using Nokia 8 Plus

Tatizo sio ugumu wa kutengeneza bali ni kuwa makampuni kama Sumsung, Intel, Toshiba, Texas instrument n.k yalisha tawala hiyo biashara na hizi siyo direct to consumer business kwamba utamuuzia kila mtu. kama huna uhusiano na watengeneza vifaa vya electronics huwezi ingia biashara hiyo ukatoka.
 
Kwenye suala zima la teknolojia China yupo nyuma sana.

Vumbuzi nyingi zilizoenda shule zinafanyika nchi za magharibi ila mass production inafanyika China.

Anachoweza fanya mchina ni reverse engineering. Anaichukua product anaisoma then anatengeneza clone.

Ndio maana unaona televisheni ziandika Singsang ili wajinga wahisi zimetengenezwa na Samsung.

Iwe software au hardware, China yupo nyuma mno.

Anachoweza pekee ni kudukua makampuni ya west kuiba teknolojia.

China huyohuyo aliiba teknolojia toka kampuni ya At&t. Akawaibia Siemens teknolojia ya kutengeneza treni za umeme.

Hiyo 5G imefanyika kwa partnership kati ya Huawei, Nokia na Siemens ila wenyewe hawawezi fika popote.

Hata Chips na Semi Conductors zinazoendesha mitambo ya 5G zinatengenezwa marekani.

China ni mwizi kupita maelezo. Mitambo anayokuja ifunga afrika lazima kuna backdoor inaachwa kwa ajili ya kudukua. Mfano wa ile mitambo ilofungwa makao makuu ya umoja wa afrika.

Mwaka jana kuna components za servers zilizouzwa makampuni ya ulaya wameweka vifaa vya kudukua system nzima hadi congress ikaingilia kati.

China hana uwezo wa kusimama na nchi kama Finland let alone Japan kwenye ugunduzi. Wao kama sisi tu Afrika, sema wao wana skilled cheap labour ya kufanya mass production.

Huawei au kampuni yeyote ya china haiwezi simama na Apple au Nokia kwenye ubora wa bidhaa zao. Never Ever.

Ulaya na marekani wameamua kwenda South East Asia kama Thailand, Malaysia, Phillipines na India. Wanaweka huko mitambo yao.

Hawa jamaa ni wa kupigwa vita duniani kote. Ni parasites waliopitiliza. They are way below standards kwenye kila kitu dunia nzima.

Ukija Afrika, unamkuta mchina anafanya kazi za kuchimba mtaro, halafu anaitwa muwekezaji. Wakati huwezi mkuta mzungu anafanya hizo kazi hata nchini kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huyo jamaa amesumarize content nzima za jinsi gani China inavyo fanya Surveilance kwa wananchi wake.

Australi na baadhi ya nchi wamepiga marufuku Huawezi na ZTE kufanya kazi nchini kwao kwasababu haya makampuni ni agents wa serikali ya uchina.

ZTE wamemsaidia Maduro kufanya surveilance wananchi wake.
A new Venezuelan ID, created with China's ZTE, tracks citizen behavior

Soma hiyo habari hapo.

Hiyo ni mifano michache ya jinsi gani China ni nyoka dunia hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizo ni allegations tu na hakuna ushahidi na hata devices za marekani huwa zina spy na ndio maana russia waligoma kutumia Windows 10 kwa kua inatuma taarifa Microsoft

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchina ni wa kupigwa vita duniani kote,hata Aliko Dangote alishawahi kuelezea hili.
Mchina anajaza mabidhaa yasiyo na ubora tena kwa Bei Chee hii inasabisha wenyeji kushindwa kushindana kwenye soko na kuwaachia wachina watawale soko. Hii Trump kaipunguza na tumeona faida ya kupiga bidhaa za hawa jamaa tariffs maana tangu Trump aongeze ushuru wa Chuma na alumina leo hii viwanda vya alumina vimeanza kujengwa tena Marekani. US Steel CEO: We're reopening an idled plant and bringing back 500 jobs due to Trump tariffs

“If you look at what president Trump is doing right now—not that I agree with what he is doing because they are in a totally different economy to what we are—but if you look at where we are today, where there’s no protection, then you are not going to have any industries, Dangote said to rousing applause.



Africa’s richest man thinks Donald Trump is onto something with higher tariffs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unaona marekani kudukua ni sahihi?

Ila akidukiliwa yeye ni shida au siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani na China ni vitu viwili tofauti kabisa.

China wana sheria inayotaka kampuni zao na hata zile za nje zinazotoa huduma ndani ya China kuisaidia au kutoa taarifa za udukuzi kwa serikali wakati kwa Marekani ni tofauti,kampuni ina Uhuru wa kutoa au kutotoa msaada kwa serikali. Nadhani unakumbuka lile saga la Apple vs FBI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani na China ni vitu viwili tofauti kabisa.

China wana sheria inayotaka kampuni zao na hata zile za nje zinazotoa huduma ndani ya China kuisaidia au kutoa taarifa za udukuzi kwa serikali wakati kwa Marekani ni tofauti,kampuni ina Uhuru wa kutoa au kutotoa msaada kwa serikali. Nadhani unakumbuka lile saga la Apple vs FBI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanguka kwa China ni rahisi kuliko USA.

USA anaweza simama mwenyewe kwenye kila nyanja ila China hana pa kusimamia.

Teknolojia za Uchina ni za kutegemea Ulaya na Marekani kwa kiasi kikubwa.

Hao wa magharibi wakifunga viwanda vyao uchina na kuvirudisha nyumbani ndo mtaona anavyoyumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachina nuksi sana, nilinunua steering power ya gari ndani ya mwezi steering jiwe, ikabidi ninunue used mjapan mwezi wa 3 sasa steering laini kama maini. Hawa kunguni wanatia sana hasara na wanaowashabikia nawashangaaga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaona akili nyingi kwenye huu uzi zaidi ya watu kuweka hoja za kuambiwa na za kugoogle kwenye internet.

Mtu anayesema xiaomi ni mbadala wa iphone ndo mwenye akili nyingi?

Xiaomi. Vivo. Oppo Huawei. Samsungu. HTC. LG. Lenovo. Hizo zote ni simu za jamii moja. Unapata wapi hizo akili nyingi za kusema ni mbadala wa iphone?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo ulivyojibu tu inatosha haijalishi hoja ina ukweli au la

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya marekani na china unadhani nani atapata hasara zaidi kama china akiacha kutengeneza iPhone fikiria halafu uje na jibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala ni kwamba iphone zitaendelea kuwa assembled na kuuzwa na marekani wataendelea kupata faida hata zikiwa asembled india. China watakosa wanachopata kitaamia india (nimeitaja india kwa sababu india kuna cheap and skilled labour kama china, makampuni mengi ya kibepali wanaenda huko kama alternative) sasa nidadavulie, ni nani atalose hapo?
 
unasemaje anaongoza market share halafu hapo hapo ukasema alipitwa?... ina maana haongozi.... msitulishe matango pori nyinyi
Kuna mtu anatangeneza simu ya 1000usd na mwingine anatengeneza simu ya 300usd. So ukiambiwa aple anaongoza market share regardres kapitwa kwenye suply inabidi utumie akili ndogo kama hii.
 
Back
Top Bottom