Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Sa
Ubaya zaidi kule china kuna xaomi ambayo ni mbadala wa iPhone ni bei affordable kabisa.

China is iPhone's largest market na sidhani kama apple wako tayari kupoteza soko la watu wengi namna ile

kiukweli China nayo haikwepeki kabisa maana kwa sasa ndio jamii yenye purchasing power kubwa zaidi kuliko hata the whole Europe sasa kama mzalishaji unaachaje market base kubwa namna ile?

Sent using Jamii Forums mobile app
Salute 🤴
 
Hivi kwa akili yako unadhani China hanufaiki kikubwa kwa uwepo wa iPhone nchini kwake,unajua imetoa ajira kiasi gani na fedha ngapi wanapata?

Sent using Jamii Forums mobile app
anaye nufaika zaidi unadhani ni nani,na je unafikiri hizo tarrifs alizoweka marekani hapati hasara?maana bidhaa zake zote muhimu anatengeneza kule china

China ataongeza mass production ya xaomi ambayo ni mbadala wa iPhone kwa hiyo wewe unafikiri nani atakula hasara kubwa hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakifika uko wanazima Android system kwa simu zote zinazotengenezwa na China
Apo ndio Vita lazima mchina achemke na hana operating system yoyote. Kwa iyo itakuwa aibu kubwa Sana kwa Chinese

Sent using Jamii Forums mobile app
kaka android ni open source OS mtu yeyote anaweza kufanya modification akatengeneza OS yake tena kwa haraka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakifika uko wanazima Android system kwa simu zote zinazotengenezwa na China
Apo ndio Vita lazima mchina achemke na hana operating system yoyote. Kwa iyo itakuwa aibu kubwa Sana kwa Chinese

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kukumbusha tu kuna mobile OS nyingi tu kule china hata huawei na alibaba wanaza kwao,hawa alibaba wana ya kwao inaitwa YunOS,OS zingine kuna emotion os,smartisan OS,oxygen OS,mmi OS zipo nyingi sana mkuu na zote zimebase kwenye Linux kama iliyokua android OS na zinatumika China japo share kubwa ipo kwa android na iphone kwa hiyo hata kama unasema watazima hiyo android hawa jamaa wataendelea vizuri tu na simu zao na hasara itakua kwa producer wote wa simu duniani ambapo ni wa nje ya china

kuanzia iphone,sony,HTC,google pixel itabidi warudi wakatengenezee simu makwao huko maana kwa sasa asilimia 90 ya simu zina tengenezwa China.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakifika uko wanazima Android system kwa simu zote zinazotengenezwa na China
Apo ndio Vita lazima mchina achemke na hana operating system yoyote. Kwa iyo itakuwa aibu kubwa Sana kwa Chinese

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichosahau ni kwamba android OS ni open source kama Linux au hauelewi maana ya open source applications or operating systems

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kushindana kibiashara kwa kutegemea wizi wa Technology. Wachina ni mwisho kwa kuiba technology kutoka USA.

US-China trade talks: Technology theft may be biggest hurdle


Hot intellectual property

But an even thornier issue than the US trade deficit is intellectual property. Foreign companies have long complained that they are forced to hand over proprietary technology to Chinese partners in return for permission to sell their products to China's massive population.
As part of a list of recommendations for the US negotiating team, the American Chamber of Commerce in China said: "An interlocking set of policies … results in foreign companies being coerced or induced to transfer technology as a precondition for market access, or denied market access if they fail to do so."


USA wameshindwa ushindani wa kibiashara na zile sheria za WTO waliziweka wao lakini naona sasa hivi wanaziona chungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apple ana plan B, ambayo ni India, haitamsumbua sana.
Bado ishu iko pale pale india atachukua technology na ataanza kuunda za kwake na baadae marekani atasema anaibiwa technology na atasema tena kuna trade imbalance kwa kua atakua ana import kutoka india tena hapa marekani kama taifa wanakua hawaja solve tatizo kwa kukimbia China

Solution ni kurudisha viwanda nyumbani kwao kama rais wao anavyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna OS za mobile china zaidi ya 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachobeba operating system ni user friendliness yake, popularity na compactibility, china anaweza kua na operating system hata 100 ila kama hazina hizo sifa watatumia developers tu wa hyo operating system.

Kwa sasa consumers hawana haja ya kuanza na operating system mpya hadi waje waizoee miaka 10 ijayo wakati tayari kuna stable na user friendly os za maana kama ios au android, hata wachina hawana huo muda. Wachina hawana choice zaidi ya kudepend kwenye foreign tech.
 
Huu Uzi unahitaji akili kubwa aise humu siwezi kupiga fix kabisa

Soon nyumbu watatoa simu yao ambayo ni copy ya Samsung mkae mkijua

Asanteni

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hizi
Kiukweli USA ndiyo inayo tapatapa haitaki kuona multipolar world

Kila mtu anayefanya biashara vizuri anamuwekea vikwazo hapa inaonekana ameshindwa kufanya biashara ushindani umemshinda kwa kiasi kikubwa na nchi za ulaya zimeanza kumstukia

Mfano kujenga tu bomba la gas kutoka russia kwenda Germany hataki ili tu aje kuuza LNG yake ambayo ni very expensive kwa ulaya

Na Germany imesema haitakubali watajenga tu hilo bomba maana anajua faida zake na yule ndio powerhouse ya Europe na bomba kwa sasa lipo 70%

Juzi Italy imetangaza kujiunga na silk road project ya china ambayo inapunguza karibia nusu ya gharama za biashara kwa sasa marekani alivyosikia hivyo kaanza kumpiga mkwara Italy

One road,one belt (silk) ni muunganiko wa network za barabara,reli na meli na njia zingine za usafiri kuanzia china mpaka ulaya mpaka africa kwa hiyo itafikia kipindi utatoka na gari/train kutoka china mpaka ulaya mpaka africa hapo ita harakisha sana global trade kwa kiasi kikubwa sasa hapa marekani anaona wivu sana china atapata influence kubwa mno na faida pia

kila atakaye ingia kwenye hiyo project anampa vikwazo huko ni kutapa tapa aache watu wafanye biashara kama kashindwa ushindani akae pembeni au ajipange upya

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndo facy tunazohitaji maana usipokua makini utaona china anasurrender kumbe anayepata tabu ni US na shida ni Marekani kudhani dunia ya sasa inatishika naye kama enzi zile! Nchi zimejiimarisha na zina mifumo imara ya uchumi na teknolojia jambo ambalo ni hatari kwa USA
 
Niliskia kuwa wabunge huko china walikua wanahamasisha raia zao kutumia devices za huawei tu na sio nyingine .... yani wntaka kila raia atumie huawei tu.. na sio iphone . Sasa inakuaje wao wanareact sanaaa
 
Back
Top Bottom