Hii biashara ya ndege kuongozwa kisiasa itatuletea matokeo kati ya haya.Ni sawa na mtu anaenunua tv la million 3 ili aende sawa na jirani yake badala ya kuanza kwa kufungua kitega uchumi ambacho kingeingiza pesa kila siku kwa kutumia gharama hio hio ya 3m kisha angeweza nunua tv kwa faida inayopatikana.
Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
PJe, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya Awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com
Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
PJe, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya Awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com
Kiswahili "tumemamua" au "ameamua" sidhani kama tulishirikishwa
..ndege zimeanza lini safari?
..na msimu wa watalii ni lini?
..na watalii wengi wanatokea nchi gani?
..Kagame ambaye amemshauri Jpm kununua ndege ameshasalimu amri baada ya kuingia hasara mwaka hadi mwaka. Sasa ameamua kuuza hisa za Rwanda Air kwa Qatar.
..South Africa wanapokea abiria wengi, na watalii wengi kuliko Tz, lakini shirika lao la ndege linaendeshwa kwa hasara.
..Ni makosa kwa Tz kujiingiza ktk biashara kichaa ya usafiri wa anga.
..Biashara ya mashirika ya ndege inazifaa nchi zenye fedha za kuchezea kama Qatar, na UAE. Wenzetu wana mapesa ya kununua dreamliners 40 kwa mara moja.
Nimeona nikujibu kizungu.Tanzania is a country in East Africa with a population of over 50 million people and per capita income of just about 1000 USD. The country has one of the fastest growing graduates unemployment in the region with a very high dependent ratio and rapid population increase.
For the past few years the country has undergone tremendous change in the areas of infrastructure,human rights democracy,freedom as well as inflation.The inflation especially in food crops is rising steadily while the incomes of majority of the population is shrinking due to unemployment and low wages.
Despite all these Tanzania has invested heavily in infrastructure projects including the construction of the SGR, A Hydro Power Project as well the purchase of brand new aircraft to revamp the national career Air Tanzania.
The recent purchase of aircrafts which included a dream liner (Boeing 787-800) comes amidst divided opinion among the majority of the people in the country with some criticizing and others supporting the move.
Analyst have looked at the decision to purchase aircrafts amidst tight resources and majority of them are against the move due to the fact that resources a limited and an aircraft carries with it costs to maintain it and the current aviation market in the country cannot support the operations of a Dreamliner or Air crafts in general.
Some analyst believe that the next president will have to make tough decisions to dispose of the aircrafts and invest the monies where they will have major impacts such as in health,education,water and sanitation as well as in improving the business environment and youth empowerment .
Do you think the Dreamliner will take aways Tanzanians dreams?Let us discuss on other productive use to which the money used to pay for the dreamlines could have been used and the impact that would have.
Mkuu Mzalendo2015, kwanza namsupport rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya 5, sio kwasababu ni homeboy wangu, bali namsupport kwenye yale mema na mazuri, lakini kwenye mabaya namkosoa sana tuu.Pascal Mayalla,
Post zako nyingi sana zina support Utawala wa Magufuli, your homeboy lakini the same Magufuli is not supporting you as an individual...!!!Swali ni Je, wewe kama Pascal unafaidikaje na hii midege ya Bombadier, Dreamliner na Airbus?
Sasa unatuonesha maji!!!!
Mkuu uko vizuri. Idea yako iko sawa. Lakin kwenye kuchagua mradi gan mkubwa unaweza kuleta mult plier effect ni tatizo kwako. Unajua ukiangalia kwa mapana, mtanzania anahitaji kwanza kabisa umeme. Umeme ni kitu cha kwanza kabisa. Ni muhimu tukawa na umeme kila kona ya nchi ili kuwezesha shughuli ndogo ndogo za kiuchumi kwa kila mtanzania ikiwemo kilimo cha kisasa. Kwa maana hiyo mradi wa stigler gorge ni muhim sana. Unahitajika sana. Pamoja na mradi wa umeme vijijin - rea. Nategemea watanzania wapige kelele utekelezaji wa miradi hii uende kwa kasi sana.Kiuchumi, nchi zenye umasikini na kipato cha chini zinatakiwa kujikita kuwekeza katika vitu vitakavyoleta "multiplier effect".
Mradi utakaomuongezea kila Mtanzania mtu mzima kipato kwa shilingi 10 kwa siku ni wa muhimu kiuchumi kuliko a big white elephant project.
Mchumi kila mara anatakiwa aangalie value for money, bang for buck.
Kwenye kununua midege, kwa mfano, hatujapata value for money. Tena kuna uwezekano mkubwa midege ikatutia hasara kubwa sana.
Ni kama vile tumenunua kitu kwa kuangalia ujiko zaidi ya uchumi.
Chief kuajiri ni kazi ya sekta binafsi na sio serikali.Hata uchambuzi wake hauna mantiki kwa sababu hakuna sekta iliyowekwa pembeni na serikali hii. Tofauti ni kiasi cha pesa tu. Lakini pia wasisahau kwamba kuna wakati nchi hii ilitenga bajeti kubwa kwenye sekta za elimu na afya kuliko sekta zingine.
Elimu(2005-2007); Afya(2007-2010); nishati mafuta, gesi na umeme(2011-2015); infrastructure(2015-present).
Sasa ubaya nini tukijipangilia mambo yetu? Serikali itawezaje kuajiri bila kuimarisha Macro-economy?
Mifano yako yote haiko relevant na mada iliopo mezaniHivi ni kweli watanzania hatuelewi umuhimu wa hizi ndege kweli?
Hivi ni kweli kuna mtoto asielewa sababu ya kwanini baba yake amenunua lory la mizigo au basi la abiria badala ya kumfungulia duka kwanza.
Hivi ni kweli kuna mpangaji asie elewa umuhimu na faida ya kujenga nyumba yake.
Au mpaka leo kuna mtanzania ambae haelewi faida ya kujenga shule za sekondati kila kata nchi nzima badala ya kuboresha kwanza zile zilizo itwa shule za vipaji maalumu.
Hivi kuna mtanzania wa kawaida anae elewa hela za kuendesha elimu bila malipo na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu zinatoka wapi.
Inamana tunaka kusema kwamba ni afadhali hizo hela zilizonunua ndege zingegawanywa katika wizara mbali mbali zikatekeleze miradi ya maendeleo kuliko kunua ndege zitakazo leta faida zaidi hata kwa miaka kadhaa ijayo kisha faida ndo itumike.
Hivi kweli kuna mtu anaogopa kuanzisha mradi flani kwa kumuangalia flani anaelega lega kisha mtaji aliokua nao anakula wote?
Hivi kweli kuna mtu asiefahamu kwamba kuyumba kwa biashara kuna changizwa na vitu vingi ikiwemo poor managment
Hivi kweli tuache kununua ndege eti kwakua ethiopia shirika lao limeyumba basi nalakwetu litayumba bila kujiuliza sababu za kwanini limeyumba pengine ni poor managment je sisi tuki improve managment hatuwezi kufanya vizuri?
Mambo ni mengi sana ngoja niishie hapo kwanza.
Ukweli ni kuwa hya mandege yanatutia hasara, nasapoti rais ajaye ayauze yoteHayo maneno hapo juu mabeberu wana andaa namna ya kuja kupiga hela. Yaani ikitokea kaja rais mwingine 2025 basi cha kwanza mafisadi na mabeberu watataka kuliua shirika la ndege kwa kujiuzia bei ya kutupwa kwa kisingizio cha eti kwenda kuzizika hizo hela kwenye non-income generating activities. Nadhani uchaguzi wa rais 2025 kigezo kimojawapo ni rais atakaye linda yale yote yaliyo asisiwa na Dkt Magufuli, iwapo mgombea urais akionekana ni mtaka kuuza ndege (mfano), basi huyo hafai. Na hapo historia inaweza kujirudia kwa sababu Mzee Mwinyi na Mkapa waliondoa misingi ya Mwl Nyerere, akaja Mzee Kikwete akajaribu kurudisha ila ilikuwa ilishaharibiwa kabisa, sasa Dkt Magufuli anarejesha tena. Iwapo hiyo misingi itavurugwa 2025-2030 itatuchukua marais watatu kumpata rais kama Dkt Magufuli, yaani mpaka 2050 ndiyo tena tunaweza pata rais mchapa kazi.
We nae hutumii hta akili kufikiriI don't see a clear point here. Should Magufuli invest in water was that development compared to flights which in return makes money and employment to the people?
By the way, don't you see water projects going on everywhere? Don't you see number health facilities being in various stages of construction?
I guess this is not a Tanzanian post, a Tanzanian should have the answers to the doughts indicated in the post.
We Tanzania have decided to accept what Magufuli is doing. He is right by more than 80%.
Mkuu Mzalendo2015, kwanza namsupport rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya 5, sio kwasababu ni homeboy wangu, bali namsupport kwenye yale mema na mazuri, lakini kwenye mabaya namkosoa sana tuu.
Watanzania tuko zaidi ya million 50, kati ya hao wanaomsuport Magufuli ni over 20 millions, Magufuli atahitaji kuwasupport individual wangapi?.
Support yangu kwa Magufuli sio ya kujikomba komba kutafuta uteuzi ndio maana kwenye mazuri ndio napongeza lakini kwenye mabaya, nakosoa.
Kwenye hili la ndege, nimechangia vya kutosha. Karibu pande hizi
Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.
Wanabodi, JF ilipoanzishwa was meant to be the home of Great Thinkers. Hivyo katika mabandiko ya ma GT, they discuss the ideas hawajadili watu, hili ni bandiko kuhusu ideas, hivyo naomba sana kusisitiza hapa hatujadili watu na wala tusitajetaje majina yoyote ya watu. Hakuna jina la mtu yoyote...www.jamiiforums.com
Dreamliner imejaa wiki nzima! Hongera ATCL na pongezi kwa Rais Magufuli, unaona mbali
Wanabodi, Angalizo: Naomba kulianza bandiko kwa kwa angalizo, kama na wewe ni mmoja miongoni wa wale members humu wenye allergy na pongezi zozote kwa mazuri yoyote yanayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, naomba uishie hapa, nisije nikakuharibia siku yako. Declaration...www.jamiiforums.com
Dreamliner imejaa wiki nzima! Hongera ATCL na pongezi kwa Rais Magufuli, unaona mbali
Wanabodi, Angalizo: Naomba kulianza bandiko kwa kwa angalizo, kama na wewe ni mmoja miongoni wa wale members humu wenye allergy na pongezi zozote kwa mazuri yoyote yanayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, naomba uishie hapa, nisije nikakuharibia siku yako. Declaration...www.jamiiforums.com
PATC Sasa Yaanza Kuleta Heshima ya Nchi, Yapunguza Tanzania Kufanywa Shamba la Bibi, FastJet Yapumulia Mashine, Soon Itafungasha Virago!.
Wanabodi, Japo mimi ni miongoni mwa wale tuliopinga ununuzi wa ndege kwa cash money, na serikali yetu kufanya matumizi makubwa kama haya ya manunuzi makubwa kwa kutumia fedha za umma bila idhini ya Bunge, kwa sababu fedha za umma zinaongozwa na sheria, taratibu na kanuni, mtu hata ukiwa nani...www.jamiiforums.com
Km issue ni ajira kwanini hyo mapesa ya ndege tusiwekeze kwenye kilimo ambapo inaweza kuajiri hadi 80%ya populationMtoa hoja anasema Tz kuna shida kubwa mno ya ajira na hivyo utegemezi unaongezeka sana. Ni kweli kabisa lkn suluhu yake ni nini? Watu wengi tunafikiri ya kuwa sekta ya utalii ikiendelezwa inaweza kutusaidia mno katika kupunguza tatizo la ajira.Huwezi kuwa na sekta imara ya utalii kama huna shirika la ndege .na hii dhana ya kutegemea shirika la jirani , jirani ambaye ni mshindani wako ndicho kitu kilichodumaza sana sekta utalii.Hivi umewai jiuliza kwanini Tz ambayo ni ya pili Kwa wingi na ubora wa vivutio vya utalii duniani lkn tunapokea watalii wachache hata tukujilinganisha na jirani tu.
Pili mtoa mada anasema badala ya kujenga sekta ya usafirashaji wa anga tuwekeze kwenye sekta ya Elimu,Afya ,Maji na kuboresha mazingira ya biashara. Mimi naona ni busara kujenga sekta zote hizo Kwa wakati mmoja.na ndicho kitu kinachofanyika muda huu.