DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Jiulize, kabla ya maamuzi ya kununua ndege, nchi ililllkuwa na hali gani? Acheni mizengwe
Natamani nicheke lkn nafsi inanikatazaMihula mwisho ni miwili ile ile, ila for the sake of national development, we can give him enough time as long as it takes mpaka akamilishe miradi yake yote.
P
Hivi kutukana ndiyo mnavyofundishwa huko lumumba?Sisomi tena
Kama sijaelewa kosa lako kushindwa kufikisha ujumbe.
Until then acheni siasa mavi
..Rwanda wamesalimu amri kwenye biashara ya ndege.
..shirika lao la ndege halijawahi kupata faida tangu lianzishwe.
..majuzi wamechukua uamuzi wa kuuza baadhi ya hisa kwa Qatar Airways.
Nchi isiyomiliki usafiri wa anga ni sawa na Nchi iliyokufa kiuchumi
Hao nia yao ni 10% tukulipaswa kuwa na uwiano, maendeleo ya watu yatengeneze uhitaji wa vitu.
English please!Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
P![]()
Je, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya Awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com
Mbona nyie ccm mnaongea kama hamna akili. Nani kakwambia maisha huwa yanasimama kupisha ununuzi wa ndege Kwanza? Unataka vijana wafe Kwanza kwa kukosa ajira. The man has said about increasing unemployment rate in Tanzania and yet you are uttering nonsense.Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
P![]()
Je, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya Awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com
I am responding to the EUROPEAN whose thread is in English. I want to make sure he understands my response.Kwani ukiandika kiswahili hutaeleweka?
Jana nimemsikia Mh Rais ametuambia Tetembee kifua mbele tupo vizuri.Tanzania is a country in East Africa with a population of over 50 million people and per capita income of just about 1000 USD. The country has one of the fastest growing graduates unemployment in the region with a very high dependent ratio and rapid population increase.
For the past few years the country has undergone tremendous change in the areas of infrastructure,human rights democracy,freedom as well as inflation.The inflation especially in food crops is rising steadily while the incomes of majority of the population is shrinking due to unemployment and low wages.
Despite all these Tanzania has invested heavily in infrastructure projects including the construction of the SGR, A Hydro Power Project as well the purchase of brand new aircraft to revamp the national career Air Tanzania.
The recent purchase of aircrafts which included a dream liner (Boeing 787-800) comes amidst divided opinion among the majority of the people in the country with some criticizing and others supporting the move.
Analyst have looked at the decision to purchase aircrafts amidst tight resources and majority of them are against the move due to the fact that resources a limited and an aircraft carries with it costs to maintain it and the current aviation market in the country cannot support the operations of a Dreamliner or Air crafts in general.
Some analyst believe that the next president will have to make tough decisions to dispose of the aircrafts and invest the monies where they will have major impacts such as in health,education,water and sanitation as well as in improving the business environment and youth empowerment .
Do you think the Dreamliner will take aways Tanzanians dreams?Let us discuss on other productive use to which the money used to pay for the dreamlines could have been used and the impact that would have.
Hivi kutukana ndiyo mnavyofundishwa huko lumumba?
mda mwingine ni watu hawaelewi haya mambo yanavokwenda: its impossible kua na watalii na hauna ndege ya kuwaleta obvious
Huwezi endeleea bila kuwa na kitu cha kuingiza pesa za kigeni ndani. Ndege ni moja ya biashara nzuri sana ya export inayokuingizia pesa ndani na time to market is very short.
Biashara zinazozungurushwa ndani mnazotaka ndo zitawatia watu umasikini zaidi.
Ukitaka kufahamu hilo, nenda kijijini kwenu kawape milion 100 uwafungie wafanye biashara wao kwa wao, wasitoke nje, rudi baada ya miaka 5 utakuta wamekuwa masikini zaidi, na hizo milion 100 zimepugua zaidi maana zingine zimechanika na zingine zimepotea.
Mkumbuke biashara inayofanyika humo ndani bila export hiyo si biashara bali ni service. Hii service itaenda kwa pyramid scheme na mwisho kuanguka.
Magufuli na serikali yake kununua ndege is the right approach.
Aibu kwa kujisemesha vitu usivyo vijua. Miradi ya afya , elimu ,kilimo iko juu zaidi kutekelezwa.vituo zaidi ya 300 vimejengwa kwa mkupuo, elimu vivyo hivyo. Ikila kona ujenzi tu.
..siyo kweli.
..mbona watalii tuliopokea wakati ATC imekufa ni wengi kuliko watalii tuliopokea wakati shirika hilo likiwa na ndege zinazoruka kwenda ulaya?
..vilevile kama lengo ni kuhudumia watalii mbona kipaumbele cha ATCL ni route za India na China badala ya Europe ambako ndiyo soko letu kubwa la watalii?
..Kitakachotuletea watalii ni vivutio tulivyo navyo, jinsi tunavyovitangaza, na huduma tunazitoa kwa watalii.
..Kenya wamekuwa na shirika la ndege lakini Tz tunapokea watalii wengi kuwazidi. Tena watalii wengine wanateremka na ndege Kenya lakini wanavuka mpaka kufuata vivutio vilivyoko Tz.
..siyo kweli.
..mbona watalii tuliopokea wakati ATC imekufa ni wengi kuliko watalii tuliopokea wakati shirika hilo likiwa na ndege zinazoruka kwenda ulaya?
..vilevile kama lengo ni kuhudumia watalii mbona kipaumbele cha ATCL ni route za India na China badala ya Europe ambako ndiyo soko letu kubwa la watalii?
..Kitakachotuletea watalii ni vivutio tulivyo navyo, jinsi tunavyovitangaza, na huduma tunazitoa kwa watalii.
..Kenya wamekuwa na shirika la ndege lakini Tz tunapokea watalii wengi kuwazidi. Tena watalii wengine wanateremka na ndege Kenya lakini wanavuka mpaka kufuata vivutio vilivyoko Tz.
Direct flights to Tanzania zinazofanywa na ATCL or KLM,Swiss Air,Turkish na akina emirates?sisi tunapokea wageni ila kwa kutumia mgongo wa mashirika mengine: hio tayar ni opprtunity: wtu wanaosomea urubani wafanye wapi kazi? na una opportunity mezan, another thing: Tanzania has received the highest revenues kutoka kwa watalii since ndege zianze operation, nmeweka post jana: tanzania ni nchi ya nne mda huu Africa kwa mapato ya watalii, yamechangiwa na direct flight to Tanzania, before lazima upitie kona kona nyingi:
Direct flights to Tanzania zinazofanywa na ATCL or KLM,Swiss Air,Turkish na akina emirates?