Mkuu Mzalendo2015, kwanza namsupport rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya 5, sio kwasababu ni homeboy wangu, bali namsupport kwenye yale mema na mazuri, lakini kwenye mabaya namkosoa sana tuu.
Watanzania tuko zaidi ya million 50, kati ya hao wanaomsuport Magufuli ni over 20 millions, Magufuli atahitaji kuwasupport individual wangapi?.
Support yangu kwa Magufuli sio ya kujikomba komba kutafuta uteuzi ndio maana kwenye mazuri ndio napongeza lakini kwenye mabaya, nakosoa.
Kwenye hili la ndege, nimechangia vya kutosha. Karibu pande hizi
Wanabodi, JF ilipoanzishwa was meant to be the home of Great Thinkers. Hivyo katika mabandiko ya ma GT, they discuss the ideas hawajadili watu, hili ni bandiko kuhusu ideas, hivyo naomba sana kusisitiza hapa hatujadili watu na wala tusitajetaje majina yoyote ya watu. Hakuna jina la mtu yoyote...
www.jamiiforums.com
Wanabodi, Angalizo: Naomba kulianza bandiko kwa kwa angalizo, kama na wewe ni mmoja miongoni wa wale members humu wenye allergy na pongezi zozote kwa mazuri yoyote yanayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, naomba uishie hapa, nisije nikakuharibia siku yako. Declaration...
www.jamiiforums.com
Wanabodi, Angalizo: Naomba kulianza bandiko kwa kwa angalizo, kama na wewe ni mmoja miongoni wa wale members humu wenye allergy na pongezi zozote kwa mazuri yoyote yanayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, naomba uishie hapa, nisije nikakuharibia siku yako. Declaration...
www.jamiiforums.com
Wanabodi, Japo mimi ni miongoni mwa wale tuliopinga ununuzi wa ndege kwa cash money, na serikali yetu kufanya matumizi makubwa kama haya ya manunuzi makubwa kwa kutumia fedha za umma bila idhini ya Bunge, kwa sababu fedha za umma zinaongozwa na sheria, taratibu na kanuni, mtu hata ukiwa nani...
www.jamiiforums.com
P