How the Dreamliner is Killing Tanzanians dream?

Kenya wenzetu wako very strategic serikali inamiliki just potion ya hisa za shirika, hisa nyingi zinamilikiwa na watu binafsi

is that strategic? sasa hio ni ndege ya wananchi ama ndege ya watu binafsi, na yale mapato yaliokua yanategemewa kutumika kwenye ujenzi wa taifa yanatumika kwenye ujenzi wa familia za watu: is that startegic according to you?
 
Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
P
Pascal, pascal unazeeka vibaya ndugu yangu...sijui nani anakushikia akili zako siku hizi...hivii hiyo miradi itakamilika lini? Hata tuseme kama unavyoomba kila siku na kitushawishi humu tuondoe ukomo wa madaraka fine....hiyo miradi probably itaanza lipa after 50 years plus ....if and only if kama itakamilika....Bro hatujachagua maendeleo ya vitu...hakukua na mijadala ya kitaifa isipokua ni watu flan wenye mamlaka wameamua iwe hivyo....pasco mbona una njaa saana siku hizi? Au unataka teuzi nini? I felt proud of you siku ile ikulu ulivyo uliza maswali very critical.... Ila umebadilika ghafla huna tofauti na kakobe...nahisi kuna namna pengine umeshakua fixed na unafanya kazi kwa kupewa maelekezo....
Kwasisi tunaokujua muda mrefu tushakustukia hasa mimi sikuamini tena na namba yako ya sim naifuta.
 
Pascal, pascal unazeeka vibaya ndugu yangu...sijui nani anakushikia akili zako siku hizi...hivii hiyo miradi itakamilika lini? Hata tuseme kama unavyoomba kila siku na kitushawishi humu tuondoe ukomo wa madaraka fine....hiyo miradi probably itaanza lipa after 50 years plus ....if and only if kama itakamilika....Bro hatujachagua maendeleo ya vitu...hakukua na mijadala ya kitaifa isipokua ni watu flan wenye mamlaka wameamua iwe hivyo....pasco mbona una njaa saana siku hizi? Au unataka teuzi nini? I felt proud of you siku ile ikulu ulivyo uliza maswali very critical.... Ila umebadilika ghafla huna tofauti na kakobe...nahisi kuna namna pengine umeshakua fixed na unafanya kazi kwa kupewa maelekezo....
Kwasisi tunaokujua muda mrefu tushakustukia hasa mimi sikuamini tena na namba yako ya sim naifuta.

ELimu bado sana aisee kwako: So here is the basic economics: ukitaka watu wawe na high purchasing power lazma uongeze pesa za kutosha kwenye mzunguko, (rahisi eeh? Not that easy) Before u even do it you have to remember why at first place we have limited amount of money: kuongeza pesa kwenye mzunguko ni rahisi sana, how do we do it: Print more money, the more you print wape watu: Have you noticied what problem you have caused? everyone will have enough of it and it will be useless, Wafanya biashara watapandisha bei, so whats the alternative kila mtu anataka kua na high purchasing power:?


SOLN: Invest heavily, the more you invest the more money flows in that area(including foreign currency): People will receive alot of it without money loosing its value: whether the project will last 50 years or 100 years, that's the problem for another time caused by citizens not choosing the right leader:, at the moment its only USA who can print alot of money just for anything they want because its the backup currency of almost every country on earth, they can even print and use it to pay dept: for our situation there is no way than investment:

SOLN2: DEPT
 
Pascal, pascal unazeeka vibaya ndugu yangu...sijui nani anakushikia akili zako siku hizi...hivii pasco mbona una njaa saana siku hizi? I felt proud of you siku ile ikulu ulivyo uliza maswali very critical.... Ila umebadilika ghafla...nahisi kuna namna pengine umeshakua fixed na unafanya kazi kwa kupewa maelekezo....
Kwasisi tunaokujua muda mrefu tushakustukia hasa mimi sikuamini tena na namba yako ya sim naifuta.
Mkuu Bruce Lee, miongoni mwa changamoto za uzee ni ama kuzeeka vizuri, ama kuzeeka vibaya, sasa inapotokea mimi ndio nimeangukia kundi la kuzeeka vibaya, adhabu yake ndio kunifutia Number tangu toka kwenye simu yako?. Haya Bruce, ifute tuu maana kufutiwa namba pia ni changamoto za uzee.
P
 
Naona unajizungusha zungusha tu hata hueleweki unachokiongea unaleta nadharia za darasani na sio uhalisia....lazima ujue kutofautisha kati ya maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu...korosho huko tayari bei imeanguka....we unapima maendeleo kwa kua na mandege mengi au madaraja makubwa? Acheni unafiki njooni kwenye uhalisia ...kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa sio mlipa kodi na hauna biashara yoyote ya maana....
ELimu bado sana aisee kwako: So here is the basic economics: ukitaka watu wawe na high purchasing power lazma uongeze pesa za kutosha kwenye mzunguko, (rahisi eeh? Not that easy) Before u even do it you have to remember why at first place we have limited amount of money: kuongeza pesa kwenye mzunguko ni rahisi sana, how do we do it: Print more money, the more you print wape watu: Have you noticied what problem you have caused? everyone will have enough of it and it will be useless, Wafanya biashara watapandisha bei, so whats the alternative kila mtu anataka kua na high purchasing power:?


SOLN: Invest heavily, the more you invest the more money flows in that area(including foreign currency): People will receive alot of it without money loosing its value: whether the project will last 50 years or 100 years, that's the problem for another time caused by citizens not choosing the right leader:, at the moment its only USA who can print alot of money just for anything they want because its the backup currency of almost every country on earth, they can even print and use it to pay dept: for our situation there is no way than investment:

SOLN2: DEPT
 
Mkuu Bruce Lee, miongoni mwa changamoto za uzee ni ama kuzeeka vizuri, ama kuzeeka vibaya, sasa inapotokea mimi ndio nimeangukia kundi la kuzeeka vibaya, adhabu yake ndio kunifutia Number tangu toka kwenye simu yako?. Haya Bruce, ifute tuu maana kufutiwa namba pia ni changamoto za uzee.
P

P
Hahahahahaha we jamaa unajua hua simuelewagi kabisa siku hizi
 
Hii ni ajabu sana, hivi inamaana hamuoni kabisa miradi ya maji ilivotapakaa nchi nzima? Hamuoni vituo vya afya vinavojengwa kwa kasi nchi nzima, hamuamini kuwa elim ni bure darasa la kwanza mpaka sekondari? Hamuoni wanafunzi wetu wakipokea mikopo kwa ajili ya elim ya juu? Hamauoni huduma za mama na mtoto? Hivi vyote mbn vinaenda sambamba na hayo maendeleo uliyoyataja ya watu? Kipi hivi leo kikichobaki nyuma? Eti baadae tutarudi kwny maendeleo ya watu, kweli??????
Na ukiwekeza huko watasema nchi kubwa haina ndege.
 
Back
Top Bottom