sisi tunapokea wageni ila kwa kutumia mgongo wa mashirika mengine: hio tayar ni opprtunity: wtu wanaosomea urubani wafanye wapi kazi? na una opportunity mezan, another thing: Tanzania has received the highest revenues kutoka kwa watalii since ndege zianze operation, nmeweka post jana: tanzania ni nchi ya nne mda huu Africa kwa mapato ya watalii, yamechangiwa na direct flight to Tanzania, before lazima upitie kona kona nyingi:
..ndege zimeanza lini safari?
..na msimu wa watalii ni lini?
..na watalii wengi wanatokea nchi gani?
..Kagame ambaye amemshauri Jpm kununua ndege ameshasalimu amri baada ya kuingia hasara mwaka hadi mwaka. Sasa ameamua kuuza hisa za Rwanda Air kwa Qatar.
..South Africa wanapokea abiria wengi, na watalii wengi kuliko Tz, lakini shirika lao la ndege linaendeshwa kwa hasara.
..Ni makosa kwa Tz kujiingiza ktk biashara kichaa ya usafiri wa anga.
..Biashara ya mashirika ya ndege inazifaa nchi zenye fedha za kuchezea kama Qatar, na UAE. Wenzetu wana mapesa ya kununua dreamliners 40 kwa mara moja.