nakushauri mfukuze mara moja. kuna ndugu yangu alikuwa na hausi geli toka iringa, alikuwa mdada. akapata safari, akamwacha na mmewe na watoto. housegirl alianza kumwekea dawa yule mbaaba, dingi likaanza kumchukia mkewe aliyemzalia watoto bila kupenda, siku wakamkamata housegirl akiletewa dawa na rafiki yake toka iringa ili ammalize kabisa yule mama mwenye nyumba achukue ndoa. baba likuwa anafanya mapenzi nae kwa nguvu za dawa, akampenda housegirl kuliko mkewe. alipokuja kugundua na dawa imeisha nguvu, alimpeleka hadi polisi, dingi lilitaka kumkatakata vipande kwasababu alikuwa ameshaitesa sana ndoa, ndani kulikuwa kama jehanamu kwa muda mrefu katika ndoa. msichana alifukuzwa kama mbwa, sasa hivi anafanya kazi kwenye mgahawa fulani hapa mtaani. watu hawana hata hamu nae, wanajuta kumfahamu. ukitaka kuwa na house girl, chukua kale kanakomaliza tu shule kule iringa au mikoa mingine,kakianza kuwashwa kidogo tu, mpe zawadi na nauli aende nyumbani akasalimie wazazi moja kwa moja.