Housigeli anataka kuniharibia ndoa yangu jamani

Housigeli anataka kuniharibia ndoa yangu jamani

Mimi sikusoma yote yaliyoelezwa na wanaJF huko kabla. Ila Mama Mia nina wasiwasi umekasmisha majukumu yako kwa house girl! Wanawake hasa kama ukivyosema kuwa ni mtu wakusafirisafiri unahatarisha ndoa yako sana. Unapokaa na msaidizi wako kuna mambo ambayo unatakiwa uwe na uhakika kuwa ni lazima ufanye even you are tired! Kumwandalia mumeo yafuatayo, kumpokea mumeo arejeapo (kumfungulia mlango na kupokea hata malboro alokuja nayo), maji ya kuoga, chakula, na kuhakikisha yuko smart kama vile shati na suruali ni safi na hata chupi yake ni safi, tai kama ni muhimu siku hiyo. Unapomwachia house girl kufanya haya unampa nafasi yeye kutangaza biashara yake.
Mfano, wewe umewahi nyumbani, bwana anakuja anafunguliwa mlango na house girl na labda alikuwa bafuni anajitupia ka kanga kamoja ka India, ameshakula blue band na uji wa mtoto hapo kwako na mbaya zaidi hajui kuwa ni kosa kuwa hivo. Mama wewe umelala chumbani, umechoka! Ooo baba karibu, pole na kazi, maji yapo bafuni nk. Unategemea nini? Mtu mzima anajiapiza kuwa hapo lazima amege japo kidogo!
Nitaendele jumatatu natoka kidogo. Weekend njema

EEka umenena!! baba hadi sabuni amtafutie hg sasa kwanini asiwe mke, kwani yeye anatofauti gani na ww, jamani nyumba nyingine hadi nguo za ndani za familia anafua hg,...jamani hawa ni wasaidizi sio wafanyakazi,
 
Last edited:
Kazi kweli kweli,

Jamani baba kampa taarifa mkewe mbona hamlioni hilo? Kwanini mama asiamini dhamira ya baba kumpa taarifa ni njema? Kwanini swala liwe mwanaume asipotunzwa atatoka nje? Mwanaume ama mwanamke anaweze kutoka nje hata matunzo yaweje.

Ushauri wangu, tusiwafanye kinamama kuishi na wasiwasi kwamba nisipofanya hiki ama kile nitaachika. Kwa wasiwasi huo kinamama hawatakuwa wanaishi maisha yao, ila watakuwa wanaishi kwa ajili ya kuwafurahisha wenza wao. Maisha ya ndoa ni zaidi ya kupika, kufagia, na kuchemsha maji ya kuoga. Ni mambo mema yakifanyika pale nafasi inapokuwepo lakini kama haipo basi ndio hivyo - mtu na mwenza wake waeleweshane. Halafu lazima tufike mahali tufikiri, kipato cha mama ni muhimu katika kutunza familia, sasa kama mwenzio unajua yupo kazini na wewe unatumia nafasi hiyo kufanya unavyojisikia, kwanini mama awe na wasiwasi? Nadhani wewe mwenyewe ujisute! Si kusema kwasababu mwenzio hafanyi hivi basi mimi ndio rukha ufuska! Ni kuporomoka kwa maadili binafsi.

Rai yangu, kinamama achane wasiwasi! Ikumbuke sababu ya kwanini mpo wote! kama hakuna ndio ushikwe na wasiwasi. Pia kama unawasiwasi wa kuibiwa kila siku ni bora ufunge virago uanze upya maana utamu wa ndoa uko wapi hapo?

Kwenye hili swala, pa kuanzia ni hapo hapo kwa baba! Yeye amuulize mumewe kama anapaswa kuwa na wasiwasi. Kisha waamue pamoja nini cha kufanya. Nadhani kwa kuwa baba keshamueleza mama yake yeye hataki mke mwingine. Case closed! Hadithi za kuanza kumueleza mama sijui mimi ni mfanyakazi! kwani hakuona hilo mwanzoni? Sometime silence is better than words.
 
mmmmmmm jamani hii sasa inachosha...last week nimenda kusaida ndoa ya rafiki yangu hgirl kalipuka....mmh jana napigiwa na mzazi wangu dadako uko kumefuka nini Mzee chupi ya HGIRL imekutwa chumbani.....sasa jamani ni njaa/ukame ama kuna ladha...,,tofauti..jamani wanaume kama ndoa inawashinda mnazikimbilia......za nini???
 
Mie ndo mana sioi, no disappointment kwa mtu yeyote.
 
swala kubwa hapa ni kwamba house girl anaachiwa kazi zote za ndani kiasi cha kwamba anaonekana muhimu zahidi kuliko mke .mambo ya chakula mama mwenye nyumba unatakiwa wewe ndio umfanyie mme wako hili hajue jinsi gani unajua kupika na kila kitu.sasa siku hizi mambo ya msosi house girl mpaka sasa wazee ambao hawawezi kujizuia wanaona kama chakula chake kitamu basi ngoja nijaribu mambo yake mengine. kitu kingine acheni tabia ya house girl kuishi nao ,wawe wanakuja tu asubuhi au jioni wanafanya kazi wanazo hitajika kufanya wakimaliza waondoke. sema na mshahara mumuongezee kwa vile ataitaji kupanga sehemu ya kuishi.
 
mmmmmmm jamani hii sasa inachosha...last week nimenda kusaida ndoa ya rafiki yangu hgirl kalipuka....mmh jana napigiwa na mzazi wangu dadako uko kumefuka nini Mzee chupi ya HGIRL imekutwa chumbani.....sasa jamani ni njaa/ukame ama kuna ladha...,,tofauti..jamani wanaume kama ndoa inawashinda mnazikimbilia......za nini???

...yaani nanihii mpaka akasahau chupi? no way bana...huenda kwenye kuanua nguo za maza hauz, chupi yake ikachanganyika nazo..
Mbona mu wepesi wa ku jump kwenye conclusions? 🙂
 
Mhhhhhhh,naombeni mnielekeze namna ya ku post topic mpya humu,sielewi.
 
kikulacho daima ki nguoni mwako, ladha hazifanani!ndo maana kuna wali na ugali.
 
mmmmmmm jamani hii sasa inachosha...last week nimenda kusaida ndoa ya rafiki yangu hgirl kalipuka....mmh jana napigiwa na mzazi wangu dadako uko kumefuka nini Mzee chupi ya HGIRL imekutwa chumbani.....sasa jamani ni njaa/ukame ama kuna ladha...,,tofauti..jamani wanaume kama ndoa inawashinda mnazikimbilia......za nini???

MM, nyie mkisusa wenzenu wanakula 😉, labda njemba ilizidiwa ikaamua kucheza uwanja wa nyumbani badala ya kwenda uwanja wa ugenini.
 
Mhhhhhhh,naombeni mnielekeze namna ya ku post topic mpya humu,sielewi.

Page 1 of 2612311>Last »
menu_open.gif

Threads in Forum : Mahusiano, mapenzi, urafiki
Forum Tools
menu_open.gif
Search this Forum
menu_open.gif

...Nenda kwenye Forum tools,... "click", itakuletea option ya kuanzisha new thread.
 
Mhhhhhhh,naombeni mnielekeze namna ya ku post topic mpya humu,sielewi.

Kama unataka kupost kwenye jukwaa hili la mapenzi, ukiclick hapo juu kwenye mahusiano, mapenzi na urafiki utapelekwa kwenye page nyingine ambapo utaona 'new thread' ukiclick hapo kwenye new thread basi wewe kama kawa unaweza kupost topic mpya kwenye majukwaa yote unayoruhusiwa kufanya hivyo. Karibu sana jamvini.
 
Ma h/girls punguzeni speed;

Sio wenye nyumba ndio wapunguze speed?

Hili swala linaweza kuwa ni employee sexual harassment.

Wewe umeliweka kama ni wafanyakazi ndio wanafukuzia mwajiri.

Naona si vema hivyo, maana ni kuangalia upande mmoja tu.
 
samahani hivi kwa bibi ya house girl na ya mama mwenye nyumba zina tofauti gani? Na nasikia mke mzuri ni ambaye mchana ni house girl,magoli ya karibu ndio mazuri kufanyia mazoezi,pole zake!
 
...yaani nanihii mpaka akasahau chupi? no way bana...huenda kwenye kuanua nguo za maza hauz, chupi yake ikachanganyika nazo..
Mbona mu wepesi wa ku jump kwenye conclusions? 🙂

Au tuseme panya kaibeba na kuihamishia chumbani kwa mzee😉!
 
samahani hivi kwa bibi ya house girl na ya mama mwenye nyumba zina tofauti gani? Na nasikia mke mzuri ni ambaye mchana ni house girl,magoli ya karibu ndio mazuri kufanyia mazoezi,pole zake!

Labda: Mchele mmoja, mapishi mbalimbali😕!
 
Au tuseme panya kaibeba na kuihamishia chumbani kwa mzee😉!

...nakweli, mimi ningesema, "...nilidhania chupi yako mama nanihii, nimeiokota nje!" 🙂
 
Hapa hakuna kibaya ni huyo mtoto aneyeshinda nae ndo kaipeleka hiyo chupi chumbani tusiwe wepesi wa kusema mzee kamega!
 
Hapa hakuna kibaya ni huyo mtoto aneyeshinda nae ndo kaipeleka hiyo chupi chumbani tusiwe wepesi wa kusema mzee kamega!

H/g alifua nguo za nyumba nzima(including zake mwenyewe),baba alipowahi kurudi akaanua zote tu bila kujua kama kuna kufuli ya H/g mle. LOL!
 
Zipo familia haya yanatokea. Baba anamega h/girl then kama anavijana wakubwa wanachangia, km yupo shamba boy pia naye anapita maana ndio mshikaji mkuu. Sasa kama kuna maambukizi chain inazunguka finally familia nzima inatoweka. Maana sidhani katika kufanya haya na h/girl watu huwa wanakumbuka afya zao! Ni kama kuvizia vile!
 
Back
Top Bottom