Noname
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 1,269
- 28
samahani fidel lakini huyo house girl si ndo kazi yake au?Sasa Mpishi hapo ni house girl
Nyumba anaipendezesha house girl
Watoto anawalea na kuwabembeleza na kuwalisha na kuwaogesha house girl.
Sasa baba au mama mkwe atamsifiaje huyo mke wake wkt kila kitu anafanya house girl pamoja na chakula cha usiku house girl anampa baba....aaah sifa ziende kwa house girl bana.