kuna mahali wamama tunajisahau sana napo ni hapo kwa kumuachia h'gal kila kitu akifanye, mpaka kutandikiwa kitanda jamani, hapana!, hii nayo imekaa vibaya mama mkwe nae kamkubali/anahalalisha ndoa na h'gal, hapa agangamale na mumewe amckie na yeye ana msimamo gani, mana mwenye uamuzi wa mwisho ni mume hapa, akiwa na mcmamo ndoa itaendelea kudumu(apiga maombi sana, shetani ananyemelea ndoa yake), kumfukuza kama walivyosema wengine kutaleta tabu hapo ndani na ikiwa mama mkwe yupo hapo hatokubaliana na hilo, na la mwisho jamani wamama 2we na mipaka na h'gals we2 jamani, sio kuwahusisha/waachia mpaka na vyumba vye2 japo najua 2napotoka maoficn tunakuwa hoi but tujitahidi japo kidogo, sio kwa kuzuia kwamba acje akatembea na mume bali 2jue tu kwamba hapo pana2husu wawili(mume/mke)