Housigeli anataka kuniharibia ndoa yangu jamani

Sasa Mpishi hapo ni house girl
Nyumba anaipendezesha house girl
Watoto anawalea na kuwabembeleza na kuwalisha na kuwaogesha house girl.
Sasa baba au mama mkwe atamsifiaje huyo mke wake wkt kila kitu anafanya house girl pamoja na chakula cha usiku house girl anampa baba....aaah sifa ziende kwa house girl bana.
samahani fidel lakini huyo house girl si ndo kazi yake au?
 
Kama una uhakika anakuchonganisha na mumeo. Muondoe kazini haraka sana.
 
mie naona huyo mama mkwe hana haki ya kuingilia maisha ya mtoto wake..khaaaa
 
Mama Mia kama jipange upya na ndoa yako kama unahitaji tena kufundwa tutafute makungwi tumejaa kila kona ili urudishe heshima ya nyumba yako bibi..
 
Sina mengi.
Ila nimefall in love na avatar yako. Hebu niPM contacts zako ni do the needful.
Hahaha I know u r in love with it... you want it? ofcourse u can have it...remember? anything for u Chrispo anything at all !!! ok ntaku PM
 
Hahaha I know u r in love with it... you want it? ofcourse u can have it...remember? anything for u Chrispo anything at all !!! ok ntaku PM
Please usije ukakosea ukamkopi homeboi wangu Kaizer! He is as dangerous as Jacob Zuma!
 
Timua huyo house girl mapema mama usije ukajutia pale ambapo maji yakishamwagika hayazoleki!
 
kuna mahali wamama tunajisahau sana napo ni hapo kwa kumuachia h'gal kila kitu akifanye, mpaka kutandikiwa kitanda jamani, hapana!, hii nayo imekaa vibaya mama mkwe nae kamkubali/anahalalisha ndoa na h'gal, hapa agangamale na mumewe amckie na yeye ana msimamo gani, mana mwenye uamuzi wa mwisho ni mume hapa, akiwa na mcmamo ndoa itaendelea kudumu(apiga maombi sana, shetani ananyemelea ndoa yake), kumfukuza kama walivyosema wengine kutaleta tabu hapo ndani na ikiwa mama mkwe yupo hapo hatokubaliana na hilo, na la mwisho jamani wamama 2we na mipaka na h'gals we2 jamani, sio kuwahusisha/waachia mpaka na vyumba vye2 japo najua 2napotoka maoficn tunakuwa hoi but tujitahidi japo kidogo, sio kwa kuzuia kwamba acje akatembea na mume bali 2jue tu kwamba hapo pana2husu wawili(mume/mke)
Wanawake wengine mnakomaa na kuwazuia h/g kuingia chumbani kutandaika kitanda wakati
ninyi wenyewe hamtandiki,chumba kizima timbwili timbwili
wakati chumba cha h/g kimepangwa vizuri na kufagiliwa,
sasa hapo mama kama wewe ni mtu wa safari tegemea mzee kuwa anapumzika kwa h/g

Cha kufanya hapa ni wamama nao kujitambua,siku za mapumziko
pigeni kazi,angalau mme wako ajue wewe ni mpiga kazi na siku usipofanya
anajua wazi kwamba ni majukumu yamekubana.

Tatizo mnadai mko bussy ofisini,mishahara yenu haionekani,karo za watoto-mme,chakula na mavazi mme
kazi nyumbani afanye h/g ambaye naye mshahara analipa mzee,kitanda asipotandika baba kitatandikwa jmosi,
Huduma kitandani nazo mgogoro,hapo tegemea kusaidiwa na beki tatu.
 
Back
Top Bottom