Mhh Always an Element of Doubt!...yaani nanihii mpaka akasahau chupi? no way bana...huenda kwenye kuanua nguo za maza hauz, chupi yake ikachanganyika nazo..
Mbona mu wepesi wa ku jump kwenye conclusions?
Mbu------------ I salute you man....nakweli, mimi ningesema, "...nilidhania chupi yako mama nanihii, nimeiokota nje!"
Dear mama
nina experiance ya vitu hivi niliwahi kuona nyumba moja baba analala na house chumbani na mke wake anajua hilo na wakati wanaenda kulala pamoja mke anajua ila niligundua kwamba yule mwanamke alikuwa anakosa nguvu fulani hivi ya kumwokoa -- hakui haki zake ni nini yeye kama mwanamke na kama mke wa mtu ( wamechukuwana mitaani ) so wengine huwa wanasema ahh hatujaowawna hana haki hizo -- wengine elimu zao na kutojua dunia inakwendaje kazi kukaa ndani tu
haya mambo ya house girl yamezidi, mie nitakuja kuweka house boy tu kwangu.
Kuhusu mahousegirl Mama mia nikueleze siri moja aliniambia jamaa ambaye kila kukicha mkewe anafukuza housegirl baada ya kugundua wana uhusiano na mumewe.Aliniambia yeye hupenda harufu orijino na mkewe ni mtu wa masabuni/mapafyumu kibao nikamwambia si umwambie aache kutumia akiwa nyumbani akajibu nimemwambia hasikii.
Dear mama
nina experiance ya vitu hivi niliwahi kuona nyumba moja baba analala na house chumbani na mke wake anajua hilo na wakati wanaenda kulala pamoja mke anajua ila niligundua kwamba yule mwanamke alikuwa anakosa nguvu fulani hivi ya kumwokoa -- hakui haki zake ni nini yeye kama mwanamke na kama mke wa mtu ( wamechukuwana mitaani ) so wengine huwa wanasema ahh hatujaowawna hana haki hizo -- wengine elimu zao na kutojua dunia inakwendaje kazi kukaa ndani tu
Hii hutokea sana tu,kuna jamaa mtaa wa pili ana vijisenti kidogo kaoa kwenye familia masikini basi ndugu kibao wa mkewe wanaishi pale,sasa huyu jamaa akitoka kulewa anachagua leo alale na nani kati ya hao ndugu,huyo mama kwa kujua shida iliyopo kwao na jamaa anavowasaidia mpaka kijijini anaishia kusikitika na kukonda tu.
Wakimama pamoja na majukumu mengi ya maisha ni vyema mkatambua wajibu wenu kama mama katika nyumba zenu,mkijisahau sana matatizo kama hayo lazima yatatokea tu!!!!!!
Tunza familia yako hasa mumeo!!!!
kila mama akitambua wajibu wake katika familia sidhani kama tutalalamika oo housegirl ananiharibia ndoa.
Mmhh jamani huu nao ni uozo uliokithiri,yaani kisa kwetu masikini ndo jamaa afanye hivyo sasa kama ni UKIMWI si familia nzima itaisha jamani,lakini huyo jamaa nae hana akili kabisa hivi haoni aibu kufanya mapenzi na ndugu wa mkewe,nadhani atakuwa na matatizo fulani maana haya mambo ni ya aibu jamani. Bado haiingii akilini kwamba shida za familiya ya mkewe yeye ndo awe amepata chance ya kuendekeza ufuska? huyo ana shida na kama hiyo nyumba ina housegirl siku mama na ndugu zake labda hawapo jamaa atamdandia housegirl.
Mi nimeona mwanamme anaetembea na binamu wa mkewe na mkewe anafahamu na wanaishi nyumba moja.Kuna mambo mengi sana yaliojoficha majumbani kwetu.