Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,692
- 20,451
Naona kama mwanako ndio ametembea na Housegirl! Au ni lugha tu? Anyway, pole sana, muonye mwanao!Housegirl katembea na mwanangu
Naona kama mwanako ndio ametembea na Housegirl! Au ni lugha tu? Anyway, pole sana, muonye mwanao!Housegirl katembea na mwanangu
Hapo nimesoma juu ya mstari kaka mkubwa.We ungekuwa mtu wa HR waajiriwa wangepata habari yao!
ARGHHHHH...AM ON THE SIDE OF HG...hivi nyie wanajamii wenzangu ni mara ngapi mmewaruhusu hg wenu kutoka na na vibwana/viboyfriends vyao hata vikawapunguzie muhemko wa mwili?....
Hg naye ni binadamu kama wewe na ana-hamu ya kufanya mapenzi kama wewe...tena kuliko wewe maana anakula vizuri anashiba na hayupo bize ki-saikolojia kama nyie mnaofokewa na maboss wenu maofisini mkirudi mpaka muweke movie za ngono ndio stimu za mapenzi ziwajie...
sasa basi kwa misingi hii niliyoieleza awali...ni vizuri HG wakapewa uhuru wa kuwa na boyfriends na wafanye mapenzi kupunguza mihemko yao mikali...la sivyo ndio wataishia kuwabaka watoto wetu na kuwasagilia mbali vibinti vyetu...au hata kututega sie baba zao...NI
MAONI YANGU TUU JAMANI
Jamani nimesoma yote, nahs kizunguzungu, Eli umeshachukua hatua? and that baby atakua amefanywa nn sasa? niliwah kusikia eti hg alikua anampeleka mtoto kwa mwanaume alafu analipwa mama kila akirudi mtoto ameogeshwa na amelala, na anakua mchovu muda wote, she was 6yrs siku mama amekuja kujua ni too late na hg alitoroka. mbaya yule mtoto sasa ni teen lakini ameshakua dada poa cjui kama hajaathirika!
Ni kweli na Waifu ndo kawasha moto tayari huko home, nakubali kuwa nilifanya kosa kwani mwanzoni sikumwamini Waifu, nilimwona kama vile anamsoingizia lakini kila siku mtoto anazidi kuwa karibu na huyu binti ( Limama jitu zima)kuogeshwa aogeshwe nae, wale wote, dukanoi wote, kulala wote, kila kitu wote.... Kweli yamenikuta, naenda kumuondoa kwa amani tu, sina haja ya kumfanya lolote....
ndio maana watu huwa wanaua bila kukusudia ...hivi hawa ma H/G wote akili zao zinafanana miaka 6 ?
Huyu nadhani alikutegeshea vimtego wewe havikunasa kaamia kwa mtoto
Pole sana Elli.....
ARGHHHHH...AM ON THE SIDE OF HG...hivi nyie wanajamii wenzangu ni mara ngapi mmewaruhusu hg wenu kutoka na na vibwana/viboyfriends vyao hata vikawapunguzie muhemko wa mwili?....
Hg naye ni binadamu kama wewe na ana-hamu ya kufanya mapenzi kama wewe...tena kuliko wewe maana anakula vizuri anashiba na hayupo bize ki-saikolojia kama nyie mnaofokewa na maboss wenu maofisini mkirudi mpaka muweke movie za ngono ndio stimu za mapenzi ziwajie...
sasa basi kwa misingi hii niliyoieleza awali...ni vizuri HG wakapewa uhuru wa kuwa na boyfriends na wafanye mapenzi kupunguza mihemko yao mikali...la sivyo ndio wataishia kuwabaka watoto wetu na kuwasagilia mbali vibinti vyetu...au hata kututega sie baba zao...NI MAONI YANGU TUU JAMANI[/QUOTE]....Kuna ndugu yangu mmoja aliwahi kunishauri kuwa h/girl wetu tuwe tunamruhusu kila jumapili kwenda kutembea ili angalau huko barabarani vijana wamuone na yeye wampunguzie ganzi. Ilikuwa hata akichelewa kurudi mpaka saa 2 usiku hakuna kumuuliza alichelewa wapi tulikaa naye kwa miaka 3 mpaka mwenyewe akaomba kuondoka. Ni kweli mtu anakula tena top layer ukizingatia yuko engine room (jikoni), hakuna stress wala nini, hana wazo la bajeti ya mboga, unga, kitunguu wala sabuni wanajinenepea tu lazima watakuwa na hamu sana...akikosa ndio hapo anabeba vitoto vya kiume na vitoto vyenyewe vya siku hizi mh!
Haya mambo mbona tumeshayazungumza sana?
Hawa wasichana wa kazi ni wabaya sana...mimi naona huruma sana watoto wetu tunavyowaacha na hawa watu!
Lakini kuna njia gani mbadala?
Lakini NN si wote wenye uwezo wa kupeleka watoto daycare na sehemu nyingine hizo daycare hakuna.Njia mbadala ni kupeleka watoto daycare