House girl huyu nimfanyajee...?

House girl huyu nimfanyajee...?

Duuuhh...ulimvyimsifia, kama nakuona ulivyochora makopakopa akilini mwako. Afu eti tukushauri..tukushari nn wakati ushamega hebu toka hapa. una wife na mchepuko nyumba moja sipati kikija kunuka..!
 
Nina miaka 37 , nina mke wangu niliefunga nae ndoa kwa miaka mitano sasa na tumebahatika kupata watoto wawili.

Recently, Nilitoa onyo hapa nyumbani kwangu kuwa hakuna mtu kuwasha taa kwenye chumba ambacho hayupo kwa muda huo ( majanga ya Prepaid meter ).

Siku moja jioni, Niliona taa ya chumbani kwa house girl wetu inawaka na wakati huo nilihisi atakuwa jikoni anapika, nikajisemea moyoni, "hii mijitu migumu sana kuelewa" huku nikiwa naingia kwenye hicho chumba ili niizime hiyo taa only to see the maid in her naked glory towelling and both of her huge 'twin peaks' are very firm on her chest..!

Nilionyesha mshituko mkubwa nilipomuona na nikahisi atanifikiria vibaya. ( House girl wetu ana umri wa miaka 18 kwasasa and she has a crazy physique body of a local girl ).

Nilimuomba msamaha na pia kumsisitiza kuwa awe anafunga mlango kama yuko ndani.

Chakushangaza alitabasamu na kunijibu "samahani baba, karibu".

Tangu siku hiyo amekuwa akiniangalia kwa macho ya matamanio ( coy looks ) kitu ambacho hakuwa akikionesha hapo mwanzo.

Na pia amekuwa akijaribu kwa njia zote kuomba afanye usafi pale ambapo mke wangu anakuwa hayupo na vituko vingine vingi tu siwezi kuvitaja vyote hapa.

Sasa najiuliza je? Nimwambie mke wangu kuhusu hili jambo? Au tumfukuze huyu house gal arudi kijijini? Or Should I simply ignore and play along ?"

Je, wewe unataka? Je, yeye anataka? Je, wote mnawaka tamaa ya kila mmoja? Je, sio mtoto kwa maana kwamba hayupo chini ya miaka 18?

Ukiweza kujibu hayo maswali basi chukua uamuzi sahihi.

Angalizo. Mungu wako atakuhukumu bila kujali ulishauri vizuri ama vibaya.
 
Shetani huyo anataka kukuharibia maisha yako na mkeo. Au ukilala nae tu unalo mwanzo wa matatizo na hapo atakapo anza kutomweshimu mkeo ndio utajua na kujuta as mke atajua jambo lipo.

Pia anaweza kuwa na magonjwa, huyo ni tamaa tu na wivu anataka kukuchuma na kukumaliza hana huruma.

Bora umwambie mkeo jifanye jambo lilitokea jana yake mwache aamue atakalo.

Ila why haukuangalia jikoni kwanza kama yupo au hayupo?
 
Umenikumbusha wiki iliyopita nilivyomgegeda beki tatu wetu hadi saizi anahisi aibu kuniita baba, sinaga mchezo mie ni kugegeda tu....afu mke wangu ananiamini kama nini.
 
Umeme wa chumba cha dada unakutoa imani jamani . Mwekee bulb za umeme mdogo. Kama wewe uliweza kuingia room kwake tena bila hodi why not asiingie kwako. Naye ni ke kama mkeo. Mengine utajaza mwenyewe.
 
Nina miaka 37 , nina mke wangu niliefunga nae ndoa kwa miaka mitano sasa na tumebahatika kupata watoto wawili.

Recently, Nilitoa onyo hapa nyumbani kwangu kuwa hakuna mtu kuwasha taa kwenye chumba ambacho hayupo kwa muda huo ( majanga ya Prepaid meter ).

Siku moja jioni, Niliona taa ya chumbani kwa house girl wetu inawaka na wakati huo nilihisi atakuwa jikoni anapika, nikajisemea moyoni, "hii mijitu migumu sana kuelewa" huku nikiwa naingia kwenye hicho chumba ili niizime hiyo taa only to see the maid in her naked glory towelling and both of her huge 'twin peaks' are very firm on her chest..!

Nilionyesha mshituko mkubwa nilipomuona na nikahisi atanifikiria vibaya. ( House girl wetu ana umri wa miaka 18 kwasasa and she has a crazy physique body of a local girl ).

Nilimuomba msamaha na pia kumsisitiza kuwa awe anafunga mlango kama yuko ndani.

Chakushangaza alitabasamu na kunijibu "samahani baba, karibu".

Tangu siku hiyo amekuwa akiniangalia kwa macho ya matamanio ( coy looks ) kitu ambacho hakuwa akikionesha hapo mwanzo.

Na pia amekuwa akijaribu kwa njia zote kuomba afanye usafi pale ambapo mke wangu anakuwa hayupo na vituko vingine vingi tu siwezi kuvitaja vyote hapa.

Sasa najiuliza je? Nimwambie mke wangu kuhusu hili jambo? Au tumfukuze huyu house gal arudi kijijini? Or Should I simply ignore and play along ?"

hapo kwenye RED inaonesha jinsi gani ulivyokua na nyege mshindo((pevertic terms umetumia sana))
well ungekua upo makini na ndoa yako usingewazia tena na kusahau siku hiyo hiyo au kumfukuza kazi kutokana na kukukoseha heshma ya kukukaribisha wakati anajua yupo uchi\
well kama huliziki kwa mkeo we mega tu mdau..ila nyonyaa hizo chuchu to the extremee:biggrin1:
....mie niachie namba ya wife tu naona atakua nae anapungukiwa kitu:A S thumbs_up:
 
mtume alialalisha mkidhi aja yake pia kumbuka anayo haki ya kupenda na kupendwa hivyo amekupenda
 
Umenikumbusha wiki iliyopita nilivyomgegeda beki tatu wetu hadi saizi anahisi aibu kuniita baba, sinaga mchezo mie ni kugegeda tu....afu mke wangu ananiamini kama nini.

Ngoja nivae miwani, hii kitu gani umeandika? Huoni shy hata kwa screen unatype hii ujinga!?


Sent from Mchina
 
hapo kwenye RED inaonesha jinsi gani ulivyokua na nyege mshindo((pevertic terms umetumia sana))
well ungekua upo makini na ndoa yako usingewazia tena na kusahau siku hiyo hiyo au kumfukuza kazi kutokana na kukukoseha heshma ya kukukaribisha wakati anajua yupo uchi\
well kama huliziki kwa mkeo we mega tu mdau..ila nyonyaa hizo chuchu to the extremee:biggrin1:
....mie niachie namba ya wife tu naona atakua nae anapungukiwa kitu:A S thumbs_up:

Ushauri kama huu mtu lazima apige U-turn fastaaa


Sent from Mchina
 
kama yupo makini...ila siku hizi vigumu sana, huyu jamaa anahisi asipomkata huyo bek 3 atakua kapungukiwa mkono yan

Mbona kama unasikitika Vai? Mwache ale tuu kizuri shea na nduguyo


Sent from Mchina
 
Nina miaka 37 , nina mke wangu niliefunga nae ndoa kwa miaka mitano sasa na tumebahatika kupata watoto wawili.

Recently, Nilitoa onyo hapa nyumbani kwangu kuwa hakuna mtu kuwasha taa kwenye chumba ambacho hayupo kwa muda huo ( majanga ya Prepaid meter ).

Siku moja jioni, Niliona taa ya chumbani kwa house girl wetu inawaka na wakati huo nilihisi atakuwa jikoni anapika, nikajisemea moyoni, "hii mijitu migumu sana kuelewa" huku nikiwa naingia kwenye hicho chumba ili niizime hiyo taa only to see the maid in her naked glory towelling and both of her huge 'twin peaks' are very firm on her chest..!

Nilionyesha mshituko mkubwa nilipomuona na nikahisi atanifikiria vibaya. ( House girl wetu ana umri wa miaka 18 kwasasa and she has a crazy physique body of a local girl ).

Nilimuomba msamaha na pia kumsisitiza kuwa awe anafunga mlango kama yuko ndani.

Chakushangaza alitabasamu na kunijibu "samahani baba, karibu".

Tangu siku hiyo amekuwa akiniangalia kwa macho ya matamanio ( coy looks ) kitu ambacho hakuwa akikionesha hapo mwanzo.

Na pia amekuwa akijaribu kwa njia zote kuomba afanye usafi pale ambapo mke wangu anakuwa hayupo na vituko vingine vingi tu siwezi kuvitaja vyote hapa.

Sasa najiuliza je? Nimwambie mke wangu kuhusu hili jambo? Au tumfukuze huyu house gal arudi kijijini? Or Should I simply ignore and play along ?"

Mkuu Mwalupale pole sana kwa changamoto uliyonayo. As a man, najua unalopitia.
Ni rahisi sana kwa mtu kuja hapa na kukulaumu kuwa huyo binti ni mwanao wanashindwa kujua kuwa ww ulimwona mwanamke aliyekamilika na hadi unaleta mada jamvini maji yamekufika shingoni. Jambo la kufanya
1. Usimwambie mkeo, najua ww utakuwa unafanya jambo zuri lakini utakuwa ni mwanzo wa mkeo kutokukwamini japo haupo hivo.
2. Najua picha ya huyo HG akiwa chumbani bado ipo kichwani, dhamiria kwa dhati kuiondoa. Mwambie avae mavazi ya heshima na asikuzoe na usiwe naye karibu.
3. Kama kweli unaipenda ndoa yako na unapenda watoto wako wakue wakiwa na wazazi wote wawili ambao hawajatengana, USIMGEGEDE huyo HG.
Mm kipindi nasoma chuo niliwahi ishi na kaka yangu, akafanikiwa kuoa. Mdogo wa shemeji yangu (naye mdada) akawa anamtembelea dada yake.
Weekend moja niliamua kwenda ufukweni kubadili mazingira,na kwa sababu yy alikuwepo na hakuwa na chakufanya, akasema angefurahi kama tungeenda wote. Nilienda naye na tukapiga story mbili..tatu tukarudi home. Yeye akarudi home kwao na mm nikaendelea na yangu. Ikapita kama wiki tatu akani-text na kuniuliza "mbona kimya",nikamjibu "shule ngumu si unajua mziki wa coet ulivo".
Weekend iliyofuata akaja home na bahati nzuri/mbaya kaka yangu ana mke wake walienda kwa shangazi yetu. Binti akanikuta home, naangalia mieleka, nakumbuka ilikuwa "wwe special".
Akakaa kama nusu saa akasema anaenda chumbani (nikamwambia poa maana huwa anakuja na anajua chumba cha wadada). Baada ya muda akatoka akiwa amejifunga kanga (nusu ya mapaja inaonekana na ramani yote ya kifua kama kilivo). Akaniambia mbona "sabuni ya kuoga haiko bafuni?" Mimi nilikuwa cjamwelewa lengo lake kwa kuwa ni mdogo wa shemeji, nikamwambia "subiri nikupe sabuni maana humu ndani kila mtu hutumia sabuni yake". Nikafungua sabuni nikampa akasema "usingehangaika kufungua ungenipa ya kwako" wakati huo akaanza kuona aibu. Nikampa sabuni nikampotezea kwa wakati huo
Wanajamvi usiombe yakukute. Ile picha ikawa inanijia kila mara na nikawa na wakati mgumu sana nikajipa moyo ni kweli alikuwa anahitaji sabuni na hakuwa na nia nyingine. Ikawa kila akija home ananiletea Zawadi. Nikapima upepo na nikajua kama brother atajua hakuna shida na shemeji hawezi jua maana japo ni ndugu, shemu yuko busy na mambo yake.
Kwa jinsi alivokuwa mrembo,nikasema siwezi nikadhulumu nafsi yangu, nikampa haki yake and she enjoyed as much as I did.
Mchezo ukaendelea, asikwambie mtu, mapenzi ni mapenzi tu, mwanaume unaweza kuficha hyo siri but some women are too weak to do that. Kilichotokea ni kwamba almanusura ndoa ya bro ivunjike na maana shem alipogundua moto wa petrol ulikuwa na uafadhali
Mkuu achana na HG.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sio tu mwanamke, mimi ni mwanamke rijali...

mwanamke rijali??

mi nikajua sie wanaume ndio marijali kwa sababu asubuhi lazima dushelele liwike kwa kusimama kidete!

sijawahi sikia kwa mwanamke urijali unakuwaje!!
 
Mbona kama unasikitika Vai? Mwache ale tuu kizuri shea na nduguyo


Sent from Mchina
kweli kabisa mkuu....ila nasikitika unaeza kuta mkewe ni zaidi mara 100 ya huyo beki 3 kwenye kila kituu..ila sisi wanaume tuna theory zetu nyama usiyoionja kuitolea udenda muhimuu
 
kweli kabisa mkuu....ila nasikitika unaeza kuta mkewe ni zaidi mara 100 ya huyo beki 3 kwenye kila kituu..ila sisi wanaume tuna theory zetu nyama usiyoionja kuitolea udenda muhimuu

Sorry nlijua ni mdada kukuita Vai, please am sorry! Ila hili jina bwana dah! Ni kweli mwanaume km hujaweka muhuri sehemu inakuwa utata (ukijiendekeza)

Sent from Mchina
 
Back
Top Bottom