House girl huyu nimfanyajee...?

House girl huyu nimfanyajee...?

Ukiwa mume na baba wa watoto 2 mtunzie mkeo heshima yake then umchukulie huyo bek3 kama mwanao na balehe inamsumbua!!
 
Nina miaka 37 , nina mke wangu niliefunga nae ndoa kwa miaka mitano sasa na tumebahatika kupata watoto wawili.

Recently, Nilitoa onyo hapa nyumbani kwangu kuwa hakuna mtu kuwasha taa kwenye chumba ambacho hayupo kwa muda huo ( majanga ya Prepaid meter ).

Siku moja jioni, Niliona taa ya chumbani kwa house girl wetu inawaka na wakati huo nilihisi atakuwa jikoni anapika, nikajisemea moyoni, "hii mijitu migumu sana kuelewa" huku nikiwa naingia kwenye hicho chumba ili niizime hiyo taa only to see the maid in her naked glory towelling and both of her huge 'twin peaks' are very firm on her chest..!

Nilionyesha mshituko mkubwa nilipomuona na nikahisi atanifikiria vibaya. ( House girl wetu ana umri wa miaka 18 kwasasa and she has a crazy physique body of a local girl ).

Nilimuomba msamaha na pia kumsisitiza kuwa awe anafunga mlango kama yuko ndani.

Chakushangaza alitabasamu na kunijibu "samahani baba, karibu".

Tangu siku hiyo amekuwa akiniangalia kwa macho ya matamanio ( coy looks ) kitu ambacho hakuwa akikionesha hapo mwanzo.

Na pia amekuwa akijaribu kwa njia zote kuomba afanye usafi pale ambapo mke wangu anakuwa hayupo na vituko vingine vingi tu siwezi kuvitaja vyote hapa.

Sasa najiuliza je? Nimwambie mke wangu kuhusu hili jambo? Au tumfukuze huyu house gal arudi kijijini? Or Should I simply ignore and play along ?"

Sasa ulianzaje kuingia chumbani bila kupiga hodi?hata kama ulihisi yuko jikoni na taa inawaka kwa nini usiende kumwangalia jikoni ndipo umwambie akazime taa?ki ukweli we ndo ulikuwa wa kwanza kumkosea adabu na ndo mana na yeye anakukosea adabu!Na mbali na hayo jifunze kuwaheshimu hata watu ambao wana umri mdogo kwako hata kama we ndo unawaweka mjini (baba mwenye nyumba) heshima ni muhimu!fanya hivyo uone kama mambo hayo ya kipuuzi utakutana nayo!
 
Back
Top Bottom