House girl huyu nimfanyajee...?

House girl huyu nimfanyajee...?

Sorry nlijua ni mdada kukuita Vai, please am sorry! Ila hili jina bwana dah! Ni kweli mwanaume km hujaweka muhuri sehemu inakuwa utata (ukijiendekeza)

Sent from Mchina
usihofu mdau,,,ni a.k.a tuuuunilikua napigana kama van damme utotoni..wakanitunga jina shuleni van vikoi..badae simply vaikojoel:biggrin1:
 
huyu wa akili hii ndio anakuumiza kichwa? acha udhaifu kaka
 

Attachments

  • 1394747885611.jpg
    1394747885611.jpg
    28.8 KB · Views: 191
Kwa baba anae jieshimu .....kwa kitendo icho cha kuanza kukuonyesha makeke ya kimapenzi ulipaswa umcharaze viboko vya vya aja atambue wewe ni nani... Sasa ukikimbilia uku kuomba ushauri kwa jambo kama ilo na kubwa itakuaje? Aaaah
 
Huenda ulimtoa kijijini na hukumpa semina khusu matumizi ya vitu vya umeme so don't lament!
 
duh!!!!!!!!!!hapo penyewe,ila kama kawa siwaezi kukushauri mpaka uweke picha.
#team Weka picha#
 
mhhhhh kwa jinsi ulivomuelezea hapo..her naked glory loooh...poleh ake by now nahisi kashaliwa
 
mwanamke rijali??

mi nikajua sie wanaume ndio marijali kwa sababu asubuhi lazima dushelele liwike kwa kusimama kidete!

sijawahi sikia kwa mwanamke urijali unakuwaje!!
Hata wanawake rijali tupo, nitakuambia baadae jinsi tulivo...
 
Fursa kam hizi hazinipitii.Naishia kusikia kwa wenzangu.acha niendelee kuvumilia
 
kaka nahisi kama umeshamaliza kazi unatafuta namna ya kujifariji kwa kile ulichokifanya, hebu funguka maana unavyomuelezea ni zaidi ya maelezo. all in all devil is a liar be careful, the girl can be your downfall.
 
Back
Top Bottom